Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kaa kimya wewe huna hata mkeMutomber mbususu nyingi kadri pesa inavyo ruhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa kimya wewe huna hata mkeMutomber mbususu nyingi kadri pesa inavyo ruhusu
baki na huyohuyo, ukimwacha ukaoa mwingine unaweza pigwa events za kukufanya uwe chizi, bse huna uwezo wakumjua next lady ata-behave vipiHivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.a
Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
View attachment 3226457
😀😀😀 hapa nikivuna mpunga tu, nakuja kuwekeza kwako wawiliUnapenda kuzaa zaa nje wewe mzee watoto kirundo ndio mana umefilisika. Ushaenda kijijini?
Mbona hasira ivyo jamani,yaani ukweli utabakia kuwa ukweli hata Kama dunia nzima unaiona Kama ni uwongo, yaani mama zako kutokuwa na bikra ndio ihalalishe Mana ya bikra kweli, jiulize why uliumbwa nayo, na je kwa nini unalazimisha mme wako awe na pesa kwani baba yako alikuwa nazo. Mwanaume kwako anahitaji mwili wako uwe safi na wewe unahitaji matunzo ,mbona unakasirika ama umeshatolewa na hujaolewa bado,pole Kama hunayo, so Mungu inabidi auumbe upya aitoe iyo bikra, jinsi unavyojisikia ufahari moyoni kwa mmeo kukuhudumia ndivyo na yeye anajisikia ufahari kuwa na mwili ambao hakuwahi kiguswa na mwanaume mwingine, pia njia ya watt wake haijakojolewa na mikojo ya Kila ainaMnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Mimi sihitaji watoto nahitaji hela 😜😀😀😀 hapa nikivuna mpunga tu, nakuja kuwekeza kwako wawili
Ukiwa na mmoja ni majanga, si unaona amekuja kuomba ushauri? Lasivyo magonjwa ya moyo yatamsonga kama sio kisukari; huku msababishi akiendelea kupokea 'pipe' za wengine.Kwahio uNataka na mwenzako awe na watoto nje ya ndoa kama ww mkuu
Kwani mke nse muhimuKaa kimya wewe huna hata mke
Sio muhimu lakini kila siku mstari wa mbele kuchangia mada za waliooa as if na wewe mzoefu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani mke nse muhimu
Ya kwamba umegundua unaishi na mzinzi ndani alafu unywee na ukae kimia?Watu wanaongea tu hapa kwasababu hayajawakuta. Yakiwakuta wananywea hakuna lolote wanafanya
Huwezi kukaa kimya lazima uongee na uonyeshe hasira. Lakini wengine wanavyosema ampige chini kwenye uhalisia mara nyingi haipo hivyo. Wengi tu wanasamehe na kuendelea na maishaYa kwamba umegundua unaishi na mzinzi ndani alafu unywee na ukae kimia?
Nahitaji mkee bwana weee nimechoka nyetoSio muhimu lakini kila siku mstari wa mbele kuchangia mada za waliooa as if na wewe mzoefu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hupati mke ng"oooNahitaji mkee bwana weee nimechoka nyeto
[emoji817]Piga chini huyo mambo ni mengi muda mchache, msaliti hana second chance.
Kwa hili Mimi nakushauri tuliza akili na potezea Tu! Mweleze ukweli Kwa upole Labda anaweza badilika maana hakuna binadamu aliyekamilika! Na usilogwe kumtafuta mwanamke mwingine eti ku-revenge utakuja juta! Kwani itakuwa NI kujiongezea matatizo mapya!Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu.
View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519
Why jamani na mie nahitaji mke nipate experience ya ndoaHupati mke ng"ooo
Suala la kusamehe na kutosamehe linafuatana mtu ulie mfanyia hicho kitendo ni wa namna gani.Huwezi kukaa kimya lazima uongee na uonyeshe hasira. Lakini wengine wanavyosema ampige chini kwenye uhalisia mara nyingi haipo hivyo. Wengi tu wanasamehe na kuendelea na maisha
Hata ukimpeleka kaburini machungu ya kugongewa yataendelea kukutesa milele na milele aminaSuala la kusamehe na kutosamehe linafuatana mtu ulie mfanyia hicho kitendo ni wa namna gani.
Wengine kukupiga chini tu ana hakikisha ana kupeleka kaburini kabisa.