Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Nimepita unapopita; sio pepesi Kama unavyowaza, unaitaji utulivu sana, Tafuta wale wazee ambao Bado wanaishi na wake wa ujana wao na hawakuwahi kutalikiana wakushauri!

Kama yatakuwa magumu njoo PM kuna mbinu nyingi za kijeshi tulitumia na saaa tuna amani na afya, ukicheza kwenye mazingira haya, tunakuzika chap kwa haraka!
 
Kwa nilivyoelewa hio sms ni kwamba mke alimtolea nje EX wake kipindi ndoa yenu ikiwa changa, ila kwa sasa sijajua kama ndio ameanza kumpa mbunye au la. Mwendelezo wa chat ndio utaonesha kwamba kashaliwa au bado. Ungetuma zote ili tukupe tafsiri halisi.
 
Usiwe mkatili
Tunawekeza hisia,maono,mali,akili , dedication kwenu tukiamini mtakua backup in time tukiwahitaji coz maisha ni milima na mabonde!

Sasa mkishaona njia imenyooka,ukinzani haupo mmejipata!tukiwa kwenye crisis yaani pale tunapowahitaji walau mfanye lile agizo la mungu kwenu la msaidizi!

Sasa hapo ndio Adhabu mnatupa ya UBINAFSI Wenu dhahiri shahiri!unafikiri Nini tufanye!!?
 
Hapo mkuu hakuna haja ya kuuma uma maneno...... UMEOA MALAYA......

Ndio maana nawaambia vijana usicheze mbali na simu ya mkeo...... utagundua mengi mapema na utayaepuka mengi......

Kuna watu wanameza vidonge vya ARV kwa kuwa hapo mwanzo aliogopa kushika simu ya mpenzi au mke wake.....

SHIKA HIYO SIMU NA UIPEKUE KAMA HATAKI HUYO NI MTUHUMIWA.......ACHANA NAYE...
 
"nimekukazia" maana yake ni alikuwa mgumu kwa huyo ex hakumpa papu..

Kama ukitokea kuwa bomu mbeleni let's tuyaone.. 😂

Lete zingine tukufafanulie..

Ukome kuchungulia kutafuta matatizo.. Mkeo anaonekana alijitambua
ANAMAANISHA ALIMKAZIA MWANZO ILI KUJIFANYA MWAMINIFU KWA MUMEWE HAKUMKAZIA KWA KUWA ANAMPENDA NA KUMHESHIMU MUMEWE.......

HIYO INA MAANA YA KUWA KWA SASA YUKO TAYARI KUMVULIA CHUPI KWA KUWA ITAKUWA NGUMU KWA MUMEWE KUMSHUKU KWANI ALISHAMJENGEA MAZINGIRA YA KUMUAMINISHA KUWA YEYE NI MUAMINIFU
 
Kwa nilivyoelewa hio sms ni kwamba mke alimtolea nje EX wake kipindi ndoa yenu ikiwa changa, ila kwa sasa sijajua kama ndio ameanza kumpa mbunye au la. Mwendelezo wa chat ndio utaonesha kwamba kashaliwa au bado. Ungetuma zote ili tukupe tafsiri halisi.

Kaka hapa Kuna intention na willingness ya mwanamke kutoa Mbunye; kwa kifupi mke wa jamaa anajitetea kwa X Kwa Nini hatutoa Mbunye, na sasa anasema mifumo yote ya ndoa na mume wake alivyo fala inamruhusu kumpa!

Naamini Bado ajampa, jamaa anaweza piga mkwara mkali ikatuliza dhoruba, ila ajue kabisa mwanamke wake ni changamoto, hao wahuni watakuja kumla tu huko baadae ni dhahiri shayiri?
 
Hii picha imeonyesha uhalisia kabisa wa wabongo,hakika wanasema mbogo mpe picha tu atakupa headline mpk hitimisho ya story utafikiri alikuwepo,mkuu akili kumkichwa huku utaongeza stress tu hakuna kitu kizuri kama communication kwenye mahusiano,mwite mwenzi wako mkae chini mweke mambo sawa nyeusi iwe nyeusi na nyeupe iwe nyeupe
 
Hii picha imeonyesha uhalisia kabisa wa wabongo,hakika wanasema mbogo mpe picha tu atakupa headline mpk hitimisho ya story utafikiri alikuwepo,mkuu akili kumkichwa huku utaongeza stress tu hakuna kitu kizuri kama communication kwenye mahusiano,mwite mwenzi wako mkae chini mweke mambo sawa nyeusi iwe nyeusi na nyeupe iwe nyeupe
Huyo mwanamke ni changudoa.....kitendo tu cha mwanamke kuweka uhuru wa mawasiliano na mwanaume mwengine kwa faragha maana yake huyo mwanamke hana nia njema kwenye ndoa hiyo......

Huyo mwanamke ni MALAYA....

Iwe kaanza kutoa au hajaaza kutoa lakini jawabu kupitia hizo chat huyo ni malaya
 
Yaani hapo anamaanisha ndoa yenu ilivyokuwa changa alikuwa anamkazia huyo mtu wake ili kujenga uaminifu kwako, sasa tayari ashajenga msingi wa uaminifu hivyo hawezi kumkazia tena, kwakuwa umeshajua msingi bomoa na thamani choma moto, halafu unamzalisha chap chap atapoteza mvuto atatulia
 
Huyo mwanamke ni changudoa.....kitendo tu cha mwanamke kuweka uhuru wa mawasiliano na mwanaume mwengine kwa faragha maana yake huyo mwanamke hana nia njema kwenye ndoa hiyo......

Huyo mwanamke ni MALAYA....

Iwe kaanza kutoa au hajaaza kutoa lakini jawabu kupitia hizo chat huyo ni malaya
Haya ni mawazo yako tu story kamili hakuna anaeijua maana mtoa mada hajaweka mwendelezo wa hiyo chart unadhani kama kuna walakini baada ya hapo kwanini mtoa mada hajaweka au kusema wazi ni hii sentensi pekee ndoimempa walakini yaliyoendelea itakua ya kawaida tu
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Kwa wale mnaotaka kujua hii conversation ilikuaje;

Me: "...hahaaa ivi unajua ww una vituko sana?"
Ke: "vituko gan ss bby"
Me: "we kwann ulinikazia sana kule mwanzoni?"
(Hapa weka hiyo msg kwenye uzi)
Me: "ahaa sawaa.. ujue nilianza kuhisi labda unataka kunichinjia baharini!"
Ke: "amnaa.. ilikua ni lazima niweke mazingira vizuri kwanza jamaa asije akashtuka"
Me: "hapo sawa, nimekuelewa. Kwahiyo lini tena tunaonana? "
Ke: "ngoja tuone weekend hii"
Me: "ok"
Ke: "jamaa amerudi, usitume tena msg. Bye"
Me:
 
Haya ni mawazo yako tu story kamili hakuna anaeijua maana mtoa mada hajaweka mwendelezo wa hiyo chart unadhani kama kuna walakini baada ya hapo kwanini mtoa mada hajaweka au kusema wazi ni hii sentensi pekee ndoimempa walakini yaliyoendelea itakua ya kawaida tu
"Nilikuwa nakunyima kwa kuwa ndoa yangu ilikuwa bado changa na kujenga uaminifu kwa mume wangu"......
 
Back
Top Bottom