cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ww ndo hujaielewa hiyo mesege.
Nielezee ulivyo elewa wewe?
Mwanamke lazima mwanamke amshike mkono.. Maana wanaume mumezidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndo hujaielewa hiyo mesege.
Kwanini akazie bikra pilu hajui historia ya wazazi wake?Huna akili sasa una muuliza hilo swali kwani yeye alisha lala na mama yake?
Mm nadhani hilo swali ungemuuliza baba yake na sio mtoto.
Mbona umezaliwa nje ya ndoa ilikuwaje?Ndio kasoro mama yako ndio kafunga ndoa bila bikra.
Tunawekeza hisia,maono,mali,akili , dedication kwenu tukiamini mtakua backup in time tukiwahitaji coz maisha ni milima na mabonde!Usiwe mkatili
Wewe ukifika dukani utakuwa na Imani na soda uliyokuta mtu kanywa kabakisha au utachukua soda mpya....??Mnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
ANAMAANISHA ALIMKAZIA MWANZO ILI KUJIFANYA MWAMINIFU KWA MUMEWE HAKUMKAZIA KWA KUWA ANAMPENDA NA KUMHESHIMU MUMEWE......."nimekukazia" maana yake ni alikuwa mgumu kwa huyo ex hakumpa papu..
Kama ukitokea kuwa bomu mbeleni let's tuyaone.. 😂
Lete zingine tukufafanulie..
Ukome kuchungulia kutafuta matatizo.. Mkeo anaonekana alijitambua
Nadhani wewe hujaelewa afsa.Nielezee ulivyo elewa wewe?
Mwanamke lazima mwanamke amshike mkono.. Maana wanaume mumezidi
Kwa nilivyoelewa hio sms ni kwamba mke alimtolea nje EX wake kipindi ndoa yenu ikiwa changa, ila kwa sasa sijajua kama ndio ameanza kumpa mbunye au la. Mwendelezo wa chat ndio utaonesha kwamba kashaliwa au bado. Ungetuma zote ili tukupe tafsiri halisi.
Kama huna bikira tulia usisumbue watu huko kaolewe uliko bikiliwaKwanini akazie bikra pilu hajui historia ya wazazi wake?
Huyo mwanamke ni changudoa.....kitendo tu cha mwanamke kuweka uhuru wa mawasiliano na mwanaume mwengine kwa faragha maana yake huyo mwanamke hana nia njema kwenye ndoa hiyo......Hii picha imeonyesha uhalisia kabisa wa wabongo,hakika wanasema mbogo mpe picha tu atakupa headline mpk hitimisho ya story utafikiri alikuwepo,mkuu akili kumkichwa huku utaongeza stress tu hakuna kitu kizuri kama communication kwenye mahusiano,mwite mwenzi wako mkae chini mweke mambo sawa nyeusi iwe nyeusi na nyeupe iwe nyeupe
Haya ni mawazo yako tu story kamili hakuna anaeijua maana mtoa mada hajaweka mwendelezo wa hiyo chart unadhani kama kuna walakini baada ya hapo kwanini mtoa mada hajaweka au kusema wazi ni hii sentensi pekee ndoimempa walakini yaliyoendelea itakua ya kawaida tuHuyo mwanamke ni changudoa.....kitendo tu cha mwanamke kuweka uhuru wa mawasiliano na mwanaume mwengine kwa faragha maana yake huyo mwanamke hana nia njema kwenye ndoa hiyo......
Huyo mwanamke ni MALAYA....
Iwe kaanza kutoa au hajaaza kutoa lakini jawabu kupitia hizo chat huyo ni malaya
Kwa wale mnaotaka kujua hii conversation ilikuaje;Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
"Nilikuwa nakunyima kwa kuwa ndoa yangu ilikuwa bado changa na kujenga uaminifu kwa mume wangu"......Haya ni mawazo yako tu story kamili hakuna anaeijua maana mtoa mada hajaweka mwendelezo wa hiyo chart unadhani kama kuna walakini baada ya hapo kwanini mtoa mada hajaweka au kusema wazi ni hii sentensi pekee ndoimempa walakini yaliyoendelea itakua ya kawaida tu
Una hoja Ebu toa ufafanuzi degree yake itakua na faida gani?Uwaminifu ndo nini???
Oa mwanamke walau hako na degree moja ya 1.5 GPA