Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Ujinga ni nini maa a we sio wa imani yangu iheshimu imani yangu ikibidi hata ujinga wa gu uheshimu
 
Unafanyaje ili wachawi wasije kwako kulieta uchawi
 
Unadai ni HOBBY kama ni hobby kwanini usiende kuwachezea mchana au kwenda kufukua makaburi mchana badala ya usiku wa manage?
BAK Kila kitu kina formula zake ujue..!
Tukijadiliana kwa utashi itapendeza sana ila rukitumia emotion tutajikuta tunaanza kukoseana heshima ikija swala la imani za kikristu na islamu hakuna shida kujadili kama mtu anaona hawezi himili jipe muda ni jambo la kawaida.... madhara ya ushirikina unawea fananisha na madhara ya ukristu au uislam laa hasha tukubaliane pasipo makubaliano
 
Asante sana
 
Utamjuaje mtaalam wa kweli? Anakaa kijijini au mjini anadai pesa au hadai?
Na Kuna story kuwa Kuna wakati wachawi wanaenda kwa waganga wa kienyeji na kuwaomba wasimsaidie mtu fulani, je kuna ukweli wowote?
 
I like ur gentleness..I real salute you! Wachache sana wanajua kuheshimu hisia za watu bila kuchukulia personal...nimejifunza sana hapo[emoji115]
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mshana choma tu hayo matunguri usirithishe mtu.
Niko njiani kwenda kuyateketeza nimezingatia ushauri wenyu na kuuheshimu sana
 
Hivi kafara ya binadamu inaweza kumdhuru binadamu yoyote ambaye wanamtaka wao hao washirikina!!!
 
Hongera sana Mkuu. Wewe ni mmoja wa watu hapa jamvini ambao nawaheshimu sana pamoja na kuwa hayo uliyokuwa unayafanya ulale kuwa yananikera sana na kuniogopesha. Sikutegemea kama ushauri wangu na wengine humu ungeopokea. Ahsante sana Mkuu.
๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ I salute you and youโ€™ll always have my deepest respect.
Niko njiani kwenda kuyateketeza nimezingatia ushauri wenyu na kuuheshimu sanaView attachment 1774818
 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] pomoja sana brother n my apology kwa kukwazika na haya yote ... I have made a promise in front of everyone of you! I will deliver it!
See my location n time
 
No need of apologies Bro. Let bygones be bygones. Thank you ๐Ÿ™๐Ÿพ so much ๐Ÿ‘๐Ÿฝ
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] pomoja sana brother n my apology kwa kukwazika na haya yote ... I have made a promise in front of everyone of you! I will deliver it!
See my location n timeView attachment 1774821
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ