Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Mshana mimi walinifanyia ya kuwa chizi ili nimetoboa wamenishindwa eti watu wananiàmbia huwa inajirudia tena mkuu je ni kweli au niwe nafanya maombi tu
 
Naomba niwe wazi tu kwako Mshana nakuamini Sana na nakupenda Sana uko makini Sana wewe,the boss na kikulachochako wote nyie ndo nawafuatilia Sana

Ila kwenye Hili la uchawi au ushirikina asee sitakaa niamini Kama Kuna kiumbe ambacho kinaweza kupotea au kupaa na ungo hizo zote kwangu Ni Kama uwongo tu labda useme mtu kulogwa maana unaweza ukawekewa hata kitu flani kwenye chakula ukipata matatizo ya kiafya tutasema umelogwa ila Hilo sijui la kubadilisha sura hawana uwezo huo.

Nina mengi ya kusema itoshe tu kwa kusema yanayosemwa mengi Ni tofauti na ambayo unaweza ukayaona
Una umri gani wewe?

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo mshana si ndo kuamini chumvi na kutomuamini mungu, Hiyo ni kimshirikisha mungu, Yani wewe una amini kazi ya mungu ifanywe na chumvi kweli, camon get serious, Uliposema tutangulize maombi nilikuelewa sana
1. Kumumunya kibonge kimoja na kukinenea ulinzi, vikwazo mafanikio, kinga nk
2.Kushika chumvi mkononi kuinenea na kuirusha mbele
3. Kuchukua kibonge cha chumvi kiweke kwenye soksi au kiatu mguu wa kulia na hakikisha ukitoka ndio utangulie
 
Mshana mimi walinifanyia ya kuwa chizi ili nimetoboa wamenishindwa eti watu wananiàmbia huwa inajirudia tena mkuu je ni kweli au niwe nafanya maombi tu
Pole sana uliponaje? Mshike sana Mungu na zingatia sana maombi
 
Hakuna mchawi aliyewahi kustaafu, once a witch always a witch. Yale makufuru mnayofanya kujiunga na uchawi hayasameheki mbinguni wala duniani, ni moto wa milele tu
Natambua umepotoka pakubwa lakini si kosa lako unahitaji kuelimishwa kwa upole na kwa hekima.. Kumbuka chini ya jua hakuna kidumucho milele..! Kila chenye mwanzo huwa na mwisho
Neno la Mungu linasema Ijapokuwa dhambi zako ni nyekundu kama bendera, yeye atazisafisha ziwe kama theluji...Ya kale yamepita na tazama yamekuwa mapya!
 
Sasa hapo mshana si ndo kuamini chumvi na kutomuamini mungu, Hiyo ni kimshirikisha mungu, Yani wewe una amini kazi ya mungu ifanywe na chumvi kweli, camon get serious, Uliposema tutangulize maombi nilikuelewa sana
Tunapoumwa hatukai tu nyumbani na kufanya maombi bali huenda hospital na kumuomba Mungu ampe kibali daktari cha kulitambua tatizo na kutupa tiba sahihi.. Halafu alete uponyaji kupitia dawa
Tunapotaka kusafiri hatufanyi tu maombi na kukaa nyumbani, bali tunaiombea barabara isafishwe kwa damu ya Kristo, tunamuombea dereva aweze kuendesha vema atufikishe salama na tunakiombea chombo kisipate hitilafu yoyote njiani
 
Kwa sababu sipendi wanga, wachawi na warozi. Hawana cha maana chochote wanachokifanya zaidi ya kuwaweka juu roho binadamu wenzao hivyo waishi kwa hofu kubwa asilimia kubwa ya maisha yao na mara nyingi huwaharibia kabisa maisha yao na kuwa unproductive citizens. Choma moto hizo tunguli zako badala ya kumrithisha mtu na hapo ndiyo uanze zoezi la kumrudia Mungu wako.

Dah yan mi nateseka sana mwanangu anapungua damu kila mara na sicklecelly Hana nahis ni urozi tu japo bado sijajaribu kwa waganga naona Kama mambo yatakua mengi sana MUNGU amsaidie bint angu kwa kweli MUNGU ni mwema sana
 
Dah yan mi nateseka sana mwanangu anapungua damu kila mara na sicklecelly Hana nahis ni urozi tu japo bado sijajaribu kwa waganga naona Kama mambo yatakua mengi sana MUNGU amsaidie bint angu kwa kweli MUNGU ni mwema sana
Sikushauri kabisa kwenda kwenda kwenye ushirikina
 
Sickle cell anemia ni ugonjwa ambao hauhusiani na wanga. Waganga watakulia pesa zako bure. Hospital ndiyo mahala pake.
Dah yan mi nateseka sana mwanangu anapungua damu kila mara na sicklecelly Hana nahis ni urozi tu japo bado sijajaribu kwa waganga naona Kama mambo yatakua mengi sana MUNGU amsaidie bint angu kwa kweli MUNGU ni mwema sana
 
Sickle cell anemia ni ugonjwa ambao hauhusiani na wanga. Waganga watakulia pesa zako bure. Hospital ndiyo mahala pake.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Maombi na hospitali
Niliombewe nilikuwa nimefungwa nikafunguliwa
Na dawa za hospital ndio nimetumia
Aaamen Hallelujah... Nguvu za shetani kupitia mawakala wake zimeshindwa[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534]
 
Kwenye karai la maji wengine wabishi wanajionyesha kinyume (matako) haonyeshi uso mpaka ageuzwe na mganga wa ngazi ya juu. Na kama uko sawasawa kukugeza hawawezi wanaishia kukuita mchawi.
 
Kwenye karai la maji wengine wabishi wanajionyesha kinyume (matako) haonyeshi uso mpaka ageuzwe na mganga wa ngazi ya juu. Na kama uko sawasawa kukugeza hawawezi wanaishia kukuita mchawi.
Duh[emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Hatua za kuwa mshirikina (combine ya uchawi, uganga, ulozi, kuwanga, kuroga na kuwanga)...! Haya yote ndio yanatengeneza neno USHIRIKINA!

Hatua ya chini kabisa ni kuweza kupaa na ungo na kuingia kwenye majumba ya watu na kuwachezea... Katika hatua hii pia kuna masomo mengine kama chuma ulete, kuchukua kitu cha mtu mbele yake bila mwenyewe kukuona, kupiga zongo nk

Hatua ya pili ni uwezo wa kujigeuza maumbile, kuvaa sura ya mtu mwingine au kujigeuza kuwa mnyama... Na hii mara nyingi hufanyika bila hata kiza kuingia

Hatua ya tatu ni uwezo wa kufika mbali kwa kitendo cha kufumba na kufumbua macho, kumvuta mtu umtakaye aje mbele yako na uwezo wa kuua ukiwa mbali

Kwahiyo kati ya wanga wanaowasumbueni usiku wengine ni wpagazi wa kutumwa vitu mbalimbali kama kucha, nywele, nguo, kuchanja chale, kwenda kuchukua wafu mahospitalini ama kukusanya damu na nyama maeneo ya ajali ambapo mara nyingi ndio wao wanakuwa wamezisababisha ama aliyewatuma

Wale washirikina makonki wa madaraja ya juu huwa hawajihangaishi kutoka kwenda kutafuta chochote hata kana wana huo uwezo bali huwatumia vijana wanaowafundisha kazi ama wasaidizi wao kwa hiari!

Je na hawa watumwa ni akina nani? Watumwa wa kishirikina namaanisha! Hawa ni watu walioko huko si kwa ridhaa yao bali kwa matendo ya binadamu wengine na wengi wao huwa kiasili ni misukule.. Hawa hutokana na Kukosana na 'wazee wa busara kisha wakakukomoa.

Ugomvi wa familia au ndugu
Kugombea mirathi ama mali
Vyeo na nafasi kazini
Umaarufu na utajiri pia

Kuna namna tatu ya kupata watumwa
1. Kumtia mtu wendawazimu/ kumfanya chizi
2. Kumpoteza asionekane tena
3. Kumchukua msukule/ kumuua kishikirina hasa hasa kupitia ajali

Ushirikina ni sayansi ya ajabu kabisa na iko deep sana...!
Unaenda kumfanyizia mtu kwa mganga kwa nia yoyote ile.. Ukifika unapewa karai lenye maji kisha anaitishwa pale nawe unamuona live kabisa sura yake.. Kisha unapewa kisu umchome! Ukishafanya hivyo tu maji yote kwenye karai yanageuka damu na huko aliko mhusika anapata ajali yoyote na kufa!

Kwanini kuchoma uso? Sio popote bali unatakiwa kuchoma sehemu ya koromeo...
Kwanini huchomi sehemu nyingine za mwili? Inawezekana kabisa ila kama hutaki afe bali apate tu ajali mbaya .. Hapo ataumia zaidi sehemu husika

Magonjwa je?
Washirikina mara nyingi hawatumii magonjwa kwakuwa unaweza kupata tiba na kupona...lakini akikukamia ili akutese muda mrefu anakupiga na maradhi ambayo utamaliza hospital zote bila tatizo kuonekana

Dawa na kinga kwa washirikina ni hizi mbili zisizo na madhara ya baadae
1. Maombi na dua.. Usiache kufanya maombi wala dua kwa kila ufanyacho iwe chakula, iwe kinywaji, iwe ukitoka ndani, iwe ukipanda chombo cha usafiri, iwe ukiingia ofisini, iwe ukiingia nyumbani nknk
2. Tumia chumvi ya mabonge kadiri uwezavyo..itangulize popote unapotaka kwenda au chochote unachotaka kufanya na ukiweza inenee au nuia..!!!
Ulimwengu usioonekana una mengi mabaya na washirikina ni sehemu yao!

Laleni salama! Na Mungu awalinde na kuwapigania...!!!
Witchdoctor mstaafu.

Nina mtu asiejulikana ananikalia kooni kuhusu kipato,nikiomba pesa Benki inachelewa kutoka naishia kupishana na fulsa,nikifanaya kazi na vibarua mashamba hela inakata ghafla naanza migogoro na vijana wa kazi,kazini jina limechafuka viongozi lazima walikate kwenye mambo ya pesa ,masangoma wanagonga mkwanja na kutotatua tatizo.Ni shida ya miaka kibao,naenda taratibu mno kimaendeleo mpaka nijishtukia.
Illumint niliishia kupata taperi na sio OG,nayumba sababu nina mtizamo wa kufanikisha lakini mapepo tele.
 
Back
Top Bottom