Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

1. Kumumunya kibonge kimoja na kukinenea ulinzi, vikwazo mafanikio, kinga nk
2.Kushika chumvi mkononi kuinenea na kuirusha mbele
3. Kuchukua kibonge cha chumvi kiweke kwenye soksi au kiatu mguu wa kulia na hakikisha ukitoka ndio utangulie
Mhhhh,
 
1. Kumumunya kibonge kimoja na kukinenea ulinzi, vikwazo mafanikio, kinga nk
2.Kushika chumvi mkononi kuinenea na kuirusha mbele
3. Kuchukua kibonge cha chumvi kiweke kwenye soksi au kiatu mguu wa kulia na hakikisha ukitoka ndio utangulie
[emoji848][emoji848][emoji848] hii sikuijua zaidi ya kuogea. Naomba unisaidie kujua jambo moja bro.

Niliweka vibonge vya chumvi ya mawe kwenye eneo la kazi, lakini baada ya siku chache nikakuta imeyeyuka na kuwa majimaji mazito. Ni kawaida au kuna ziada? Tafadhali nijibu hili nakuomba[emoji21][emoji21]
 
Illumint niliishia kupata taperi na sio OG..[emoji848][emoji848]Illuminant ni kaliba ya juu sana hata siku moja haidili na fukara wa viwango vyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hakuna shida yoyote.. Chumvi ukiimwaga popote huendelea kuyeyuka taratibu mpaka ipotee kabisa lakini nguvu yake hubaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida hiyo,kuwa hawaingilik8
 
1. Kumumunya kibonge kimoja na kukinenea ulinzi, vikwazo mafanikio, kinga nk
2.Kushika chumvi mkononi kuinenea na kuirusha mbele
3. Kuchukua kibonge cha chumvi kiweke kwenye soksi au kiatu mguu wa kulia na hakikisha ukitoka ndio utangulie
Kutumia chumvi siyo shiriki mkuu?
 
Blessd
 

Tokomile ni ngoma ya aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…