Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Nasikia hizo bidhaa ni dili sana mkuu
 
Namshukuru mungu hivyo vimazingaombwe nilisha visahau dah! Mungu fundi jamani siyo kwa raha hiyo.
 
Sasa rafiki yangu Mshana Jr tangu umestaafu umekuwa baba mchungaji au nani? Hapo kwenye maombi umenikosha. Kumbe hata nyie wachawi huwa mnaogopa maombi?
 
Sasa rafiki yangu Mshana Jr tangu umestaafu umekuwa baba mchungaji au nani? Hapo kwenye maombi umenikosha. Kumbe hata nyie wachawi huwa mnaogopa maombi?
Hahaha[emoji23]
 
Kwa hiyo unamwuzia au unampa bure? Sasa mtaalam kabla hujagawa ndumba unaonaje ukinisaidia kuwanyoosha hawa waliokimbia ha hela yangu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Aah... Kakimbia na bei gani?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…