Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Baadhi ya wanga ni watumwa na wapagazi

Naona unaruka ruka tu huku na kule kutaka kujustify na kuplay down huu ushenzi. Kama dunia ina mengi na wewe ndiyo ukaamua kujiingiza huko ili uwachezee watu usiku wa maanane bila ridhaa yao kuwawangia, kuwaroga na kuchezea wapenzi wao waliotangulia mbele ya haki kwenye makaburi yao? Na hivyo kuwafanya waishi kwa hofu kubwa?
Unadai ni HOBBY kama ni hobby kwanini usiende kuwachezea mchana au kwenda kufukua makaburi mchana badala ya usiku wa manage?
Mwenyezi Mungu hadhihakiwi kama kweli unataka kumrudia Mungu wako basi choma moto hivyo vibuyu vyako, hirizi, ungo na vingine vyote unavyovitumia kuwadhuru binadamu wenzio. Hicho unachotaka kufanya cha kumrithisha mrithi ili aendeleze huo ushenzi wa kuwaumiza binadamu wenzio na kuwafanya waishi kwa hofu kubwa KAMWE hakitakuweka karibu na Mungu wako.
Unadhani ni kwanini watu wanapomkamata mchawi aliyeenda kuwanga usiku wa manane humpiga hadi afe!?
Unadai ni HOBBY kama ni hobby kwanini usiende kuwachezea mchana au kwenda kufukua makaburi mchana badala ya usiku wa manage?
BAK Kila kitu kina formula zake ujue..!
 
Formula za kuwafanya binadamu wenzako ambao hawajakukosea chochote kuishi kwa hofu kubwa kuhusu kuchezewa na wanga. Nimekuuliza kwanini wanga, wachawi, warozi huwa wanauawa pindi raia wanapogundua ushenzi wao, mbona hujajibu?
Unadai ni HOBBY kama ni hobby kwanini usiende kuwachezea mchana au kwenda kufukua makaburi mchana badala ya usiku wa manage?
BAK Kila kitu kina formula zake ujue..!
 
Formula za kuwafanya binadamu wenzako ambao hawajakukosea chochote kuishi kwa hofu kubwa kuhusu kuchezewa na wanga. Nimekuuliza kwanini wanga, wachawi, warozi huwa wanauawa pindi raia wanapogundua ushenzi wao, mbona hujajibu?
Wanauawa wengi tu mbona vibaka wezi washikwa ugoni nk kwakuwa wote hawa wako kwenye kundi la wakosaji...
Mbona hii mada imekugusa kwa namna ya ajabu sana?
 
Kwa hiyo ulitaka huu ushenzi wako unaowafanyia binadamu wenzako ambao hawajakukosea lolote NIUPONGEZE!? Halafu wakati huo huo unakuja humu kutafuta mrithi aendeleze huu ushenzi wako huku wewe ukidai unamrudia Mungu wako.
Binadamu yoyote yule ambaye hapendi kuona binadamu wenzie wanaishi kwa hofu kutokana na ushenzi wa watu wengine lazima aguswe na hiki unachojaribu kujustify na kuplay down. Narudia swali langu, unadhani kwanini raia wanapomkamata mwanga, mchawi au mrozi huguswa sana na kuamua kumpiga na mara nyingi hadi kumuua!?


Wanauawa wengi tu mbona vibaka wezi washikwa ugoni nk kwakuwa wote hawa wako kwenye kundi la wakosaji...
Mbona hii mada imekugusa kwa namna ya ajabu sana?
 
Kwa hiyo ulitaka huu ushenzi wako unaowafanyia binadamu wenzako ambao hawajakukosea lolote NIUPONGEZE!? Halafu wakati huo huo unakuja humu kutafuta mrithi aendeleze huu ushenzi wako huku wewe ukidai unamrudia Mungu wako.
Binadamu yoyote yule ambaye hapendi kuona binadamu wenzie wanaishi kwa hofu kutokana na ushenzi wa watu wengine lazima aguswe na hiki unachojaribu kujustify na kuplay down. Narudia swali langu, unadhani kwanini raia wanapomkamata mwanga, mchawi au mrozi huguswa sana na kuamua kumpiga na mara nyingi hadi kumuua!?
Duh BAK leo hauko vizuri maana unaongea kwa hisia kali sana na hasira juu...!
 
Kwa sababu sipendi wanga, wachawi na warozi. Hawana cha maana chochote wanachokifanya zaidi ya kuwaweka juu roho binadamu wenzao hivyo waishi kwa hofu kubwa asilimia kubwa ya maisha yao na mara nyingi huwaharibia kabisa maisha yao na kuwa unproductive citizens. Choma moto hizo tunguli zako badala ya kumrithisha mtu na hapo ndiyo uanze zoezi la kumrudia Mungu wako.
Duh BAK leo hauko vizuri maana unaongea kwa hisia kali sana na hasira juu...!
 
Kwa sababu sipendi wanga, wachawi na warozi. Hawana cha maana chochote wanachokifanya zaidi ya kuwaweka juu binadamu wenzao hivyo waishi kwa hofu kubwa asilimia kubwa ya maisha yao na mara nyingi huwaharibia kabisa maisha yao na kuwa unproductive citizens. Choma moto hizo tunguli zako badala ya kumrithisha mtu na hapo ndiyo uanze zoezi la kumrudia Mungu wako.
Eh Mshana Jr kazi unayo
 
Unaweza kutwambia hii kitu inaleta maendeleo gani kwa Watanzania/Taifa? Halafu mbaya zaidi wewe ni very well educated kwanini unajishughulisha na huu ushenzi? Ni satisfaction ipi unayoipata kuwachezea binadamu wenzio usiku wa manane bila ridhaa yao au kufukua makaburi yasiyokuhusu pia usiku wa manane bila ridhaa ya ndugu wa hao marehemu!?
Duh BAK leo hauko vizuri maana unaongea kwa hisia kali sana na hasira juu...!
 
Kwa sababu sipendi wanga, wachawi na warozi. Hawana cha maana chochote wanachokifanya zaidi ya kuwaweka juu roho binadamu wenzao hivyo waishi kwa hofu kubwa asilimia kubwa ya maisha yao na mara nyingi huwaharibia kabisa maisha yao na kuwa unproductive citizens. Choma moto hizo tunguli zako badala ya kumrithisha mtu na hapo ndiyo uanze zoezi la kumrudia Mungu wako.
Thanks kaka nitazingatia ushauri wako..lakini je si afadhali mimi ninayejaribu kuwatoa watu kizani kuliko wanaoumiza watu kimyakimya? Na pengine baadhi ni watu wako wa karibu kabisa
 
Mkuu Mahaba Jr, hivi hii elimu ya uchawi ina "limitations" ktk kutenda mambo mabaya tu na kuwatesa watu wengine?
Kwa nini uzoefu na elimu ya uchawi isitumike katika kujitafutia utajiri na hata kufanya mapinduzi katika teknolojia?
Mathalani, mtu kama anao uwezo wa kutokuonekana kwa nini asiutumie katika kuchota fedha zilizopo ktk mabenki ama kwenda kuchukua hazina za vito vya thamani?
 
Unaweza kutwambia hii kitu inaleta maendeleo gani kwa Watanzania/Taifa? Halafu mbaya zaidi wewe ni very well educated kwanini unajishughulisha na huu ushenzi? Ni satisfaction ipi unayoipata kuwachezea binadamu wenzio usiku wa manane bila ridhaa yao au kufukua makaburi yasiyokuhusu pia usiku wa manane bila ridhaa ya ndugu wa hao marehemu!?
Nitakurejea usiku kaka
 
Ungekuwa unatoa darasa la kupambana na hawa watu wabaya wanaowadhuru binadamu wenzao wasio na hatia yoyote basi ningekuunga mkono lakini pamoja na kuwa unaandika hadharani bado unakifanya kitu kile kile cha kuwadhuru binadamu wenzio kwa kuingia majumbani mwao bila ridhaa yao na kuwachezea utakavyo na kuwafanyia mengi ambayo mimi siyajui pia kwenda kufukua makaburi ya wafu bila ridhaa ya ndugu zao na kufanya uyafanyao ambayo si mazuri na ndiyo sababu unayafanya kwa KIFICHO kwa kuwa unajua unayoyafanya si mambo mema ni uovu tena wa kutisha sana.
Choma hizo tunguli zako kisha uanze juhudi zako za kurejea kwa Mungu wako. Kila la heri na baraka. 🙏🏾
Thanks kaka nitazingatia ushauri wako..lakini je si afadhali mimi ninayejaribu kuwatoa watu kizani kuliko wanaoumiza watu kimyakimya? Na pengine baadhi ni watu wako wa karibu kabisa
 
Thanks kaka nitazingatia ushauri wako..lakini je si afadhali mimi ninayejaribu kuwatoa watu kizani kuliko wanaoumiza watu kimyakimya? Na pengine baadhi ni watu wako wa karibu kabisa
Mshana choma tu hayo matunguri usirithishe mtu.
 
Asante nilihadihiwa na mtukuu wa wanajeshiwa vita vya pili walienda burma na waliweza kuja kusalimianfamilia za kwa just kufumba macho na wakafika mbulu wanakaa na familiazo wanawahadisia yanayoendeleo huko vitani

Na wewe ukaamini?

Nikikwambia nimeenda Mars kwa kufumba napo utaamini?
 
Yapo mambo unayaacha kama yalivyo tu tuendelee na stori za huku kwani ngumu sana kwenda mars mwanoni kuna usem unasema.sky is limit leo kuna watu wameshakanyaga moon na wana mpango wa kwenda huko mars
 
Hadithi za kusadikika kama watoto kuamini uwepo wa father xmas.
 
Back
Top Bottom