Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

Wanakucheka Sana hivi Sasa, Sasa ninaelewa kwanini Kenya kila kitu kinakwenda hovyo, Kama wewe ni msomi na degree yako ya uchumi lakini hujui jinsi ya kukokotoa GDP, Kenya mpo na shida sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Leo nimegundua kumbe you are an uneducated, low IQ, uninformed person. Huwa napoteza muda nikibishana na wewe. I am going to reduce my engagement with you from now henceforth. 🚮🚮🚮
 
Hehehehe huyo king'ang'anizi nilishampuuza kitambo maana huwa haelimiki, utaishia kumtusi uliwe ban bure.

Hivi Tony254 nikiweka pembeni maudhui ya huu uzi, hiyo screenshot yako jameni hizo tabs zote unafanyaje kazi. Jaribu kutumia extension ya Chromes tabs management, au hata uwe unafungua instances za browsers kadhaa kila moja na tabs zake, unazigawa kulingana na shughuli.
 
Hehehehe huyo king'ang'anizi nilishampuuza kitambo maana huwa haelimiki, utaishia kumtusi uliwe ban bure.

Hivi Tony254 nikiweka pembeni maudhui ya huu uzi, hiyo screenshot yako jameni hizo tabs zote unafanyaje kazi. Jaribu kutumia extension ya Chromes tabs management, au hata uwe unafungua instances za browsers kadhaa kila moja na tabs zake, unazigawa kulingana na shughuli.
Unajua hii mambo ya IT huwa sina mazoea nayo. Lakini hii yangu ni lazyness tu. Thanks for the advice. I will do that.
 
Leta evidence kwamba hivi ndivyo gdp inavyokuwa calculated. Leta source yoyote ambayo unayo. Usidhani watu ni wajinga huku.
Wewe Anza kuweka evidence kuonyesha kwamba hivyo unavyosema ndio sawa.

Lengo la wewe kufungua huu Uzi ni kutaka watu wachangie, wacha uone jinsi watu watakavyochangia, usifute huu Uzi yafadhali[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hehehehe huyo king'ang'anizi nilishampuuza kitambo maana huwa haelimiki, utaishia kumtusi uliwe ban bure.

Hivi Tony254 nikiweka pembeni maudhui ya huu uzi, hiyo screenshot yako jameni hizo tabs zote unafanyaje kazi. Jaribu kutumia extension ya Chromes tabs management, au hata uwe unafungua instances za browsers kadhaa kila moja na tabs zake, unazigawa kulingana na shughuli.
Wewe huna akili, watu wengi hapa wamekupuuza, hata wewe mwenyewe umestukia siku hizi kwamba watu wanakudharau Sana.

Wewe kila mtu unayehisi amekuzidi uwezo unamsusa, nadhani hapa JF umeshawasusa zaidi ya watanzania watano.

Kawaida yenu wakenya kukosa uvumilivu na kujadiliana kwa hoja, mnataka kujifanya mnajua kila kitu wakati vichwa vyenu ni zero kabisa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hehehehe huyo king'ang'anizi nilishampuuza kitambo maana huwa haelimiki, utaishia kumtusi uliwe ban bure.

Hivi Tony254 nikiweka pembeni maudhui ya huu uzi, hiyo screenshot yako jameni hizo tabs zote unafanyaje kazi. Jaribu kutumia extension ya Chromes tabs management, au hata uwe unafungua instances za browsers kadhaa kila moja na tabs zake, unazigawa kulingana na shughuli.
Asante for the advice. Nimepata google tab extension inyoitwa One tab na imefreeze hizo tabs zingine zote na inafungua moja at a time na inasave computer memory. Unajua mimi huwa siwezi kujizuia kufungua tabs kama hamsini hivi kwenye laptop yangu. Lakini hii tab extension itafanya kazi yangu iwe rahisi. Unaona sasa mambo yanakaa sawa. Nina tab moja open tu.


1650528318803.png
 
Tatizo anayeelimishwa hayupo, maana utakuta mtu king'ang'anizi ameshikilia huo ujinga na humwambii kitu, aidha uamue umpuuze kabisa au umvunjie heshima uchezee kibano cha mods.
Najua ndugu kwamba Kuna watu wa aina hiyo....sisi ili kulinda heshima yako na thamani ya elimu yako huna budi kumpuuza baada juhudi za kumuelimisha kugonga mwamba....... maneno mabaya yasiyo staha yanaleta taswira mbaya kwa aliyejibu kuliko hata kwa aliyetupiwa..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji54][emoji23][emoji23][emoji54][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzako wanakucheka kichinichini.

Kwa hiyo ukisikia kwamba utajiri wa Bill Gate ni $100B, kichwa yako iliyojaa matope ya chang'aa inakuambia kwamba Bill Gate kila mwaka anatengeneza $100B sio?, Hiyo maana yake baada ya miaka miwili jumla ya utajiri wake ni $200B sio?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hehehe hata ungenyamaza tu🤣🤣🤣
 
Wewe Anza kuweka evidence kuonyesha kwamba hivyo unavyosema ndio sawa.

Lengo la wewe kufungua huu Uzi ni kutaka watu wachangie, wacha uone jinsi watu watakavyochangia, usifute huu Uzi yafadhali[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sina uwezo wa kufuta huu uzi. Mods pekee ndio wanaoweza kuja kukusaidia kwa kufuta huu uzi ili kukuondolea aibu inayokupata. Halafu wewe ndio umetoa madai sasa jukumu ni lako kuonyesha kwamba madai yako ni ya kweli.
 
Mimi sikufika chuo kikuu Kama wewe, lakini ngoja nikuonyeshe jinsi Elimu yenu huko Kenya ilivyo hovyo.

GDP ya nchi ya Sasa ya Kenya, ni mkusanyiko wa thamani wa huduma na bidhaa zilizozalishwa toka walipoanza kuweka taarifa za uchumi wa Kenya enzi za ukoloni.

Formulae inayotumika kujua GDP ya mwaka husika ni

GDP (current GDP)+ GDP growth rate
= New GDP
Kwa mfano

Kenya GDP ya mwaka Jana 2021(current GDP) ni $100B, na uchumi wenu mwaka huu 2022 unaongezeka kwa 5%(GDP growth rate), new GDP of 2022 ni

$100B(current GDP, 2021) + $5B(GDP growth rate of 2022 which is 5%)= $105B(New GDP 2022

Hiyo maana yake ni kwamba, kwa mwaka wa 2022, uchumi wa Kenya umeongezeka kwa $5B tu, sio kwamba umeongezeka kwa $105B, Kati ya $105B, kiasi cha $100B ni "Balance brought forward".

Umeelewa?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]




Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Waaah!!! The most disturbing part is that kuna watu wamelike hii post, meaning they subscribe to this kind of reasoning
 
Kenya annual remittance about USD 3000 million=USD 3billion. Kenya GDP about USD 100 billion.
Remittance as a percentage of GDP=3%
 
Sina uwezo wa kufuta huu uzi. Mods pekee ndio wanaoweza kuja kukusaidia kwa kufuta huu uzi ili kukuondolea aibu inayokupata. Halafu wewe ndio umetoa madai sasa jukumu ni lako kuonyesha kwamba madai yako ni ya kweli.
Wewe ndiye uliyeka huu Uzi na kunishutumu kwamba sijui tofauti ya GDP na GDP growth rate and how they ralate, tafadhali weka ushahidi kuthibitisha Mimi sijui[emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndiye uliyeka huu Uzi na kunishutumu kwamba sijui tofauti ya GDP na GDP growth rate and how they ralate, tafadhali weka ushahidi kuthibitisha Mimi sijui
emoji1.png
emoji1.png


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ushahidi ndio huu hapa. Umeandika 💩💩💩 💩 💩 👇 👇


Mimi sikufika chuo kikuu Kama wewe, lakini ngoja nikuonyeshe jinsi Elimu yenu huko Kenya ilivyo hovyo.

GDP ya nchi ya Sasa ya Kenya, ni mkusanyiko wa thamani wa huduma na bidhaa zilizozalishwa toka walipoanza kuweka taarifa za uchumi wa Kenya enzi za ukoloni.

Formulae inayotumika kujua GDP ya mwaka husika ni

GDP (current GDP)+ GDP growth rate
= New GDP
Kwa mfano

Kenya GDP ya mwaka Jana 2021(current GDP) ni $100B, na uchumi wenu mwaka huu 2022 unaongezeka kwa 5%(GDP growth rate), new GDP of 2022 ni

$100B(current GDP, 2021) + $5B(GDP growth rate of 2022 which is 5%)= $105B(New GDP 2022

Hiyo maana yake ni kwamba, kwa mwaka wa 2022, uchumi wa Kenya umeongezeka kwa $5B tu, sio kwamba umeongezeka kwa $105B, Kati ya $105B, kiasi cha $100B ni "Balance brought forward".

Umeelewa?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]




Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndio baadhi ya watu ambao, kupitia michango yao ya kujaza pumba humu daily, wameshusha kabisa hadhi ya jukwaa hili. Zamani hili jukwaa lilikuwa la great thinkers kweli, mijadala humu ilikuwa inapamba moto na ya kuchangamsha na ya kushirikisha ubongo.

Hizi aibu zote zimeletwa na upumbavu wa sampuli yake ya aina hii; Kenya inapokea 'remmitances' nyingi zaidi ya nchi yeyote nyingine ukanda huu. Kwahivyo 'remmitances' automatically kwa akili zao inakuwa ni kitu kibovu mno.

Kumaanisha hilo jambo moja litafunguliwa nyuzi kama ishirini za kuliponda. Kwa kutumia akili finyu, kama hizi ambazo mstakiwa huyu anaziendeleza wazi. Alafu eti mwisho wa siku wataishia kujipiga vifua wakisema kwamba nchi A au B ina afueni zaidi ya Kenya, kwasababu inapokea remittances kidogo sana. Some low IQ sh*t ambao huwa sina muda nao.
 
Wanakucheka Sana hivi Sasa, Sasa ninaelewa kwanini Kenya kila kitu kinakwenda hovyo, Kama wewe ni msomi na degree yako ya uchumi lakini hujui jinsi ya kukokotoa GDP, Kenya mpo na shida sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Huyu NairobiWalker siyo mchumi, ni mfundi mjenzi au bricks and mortor engineer. Hayo mambo ya GDP hayawezi.
 
Ushahidi ndio huu hapa. Umeandika [emoji90][emoji90][emoji90] [emoji90] [emoji90] [emoji116] [emoji116]
Nina uhakika by 100% kwamba hivi ndivyo GDP inavyokuwa "derived" prove me wrong with Evidence, usikimbie[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom