Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

Hawa ndio baadhi ya watu ambao, kupitia michango yao ya kujaza pumba humu daily, wameshusha kabisa hadhi ya jukwaa hili. Zamani hili jukwaa lilikuwa la great thinkers kweli, mijadala humu ilikuwa inapamba moto na ya kuchangamsha na ya kushirikisha ubongo.

Hizi aibu zote zimeletwa na upumbavu wa sampuli yake ya aina hii; Kenya inapokea 'remmitances' nyingi zaidi ya nchi yeyote nyingine ukanda huu. Kwahivyo 'remmitances' automatically kwa akili zao inakuwa ni kitu kibovu mno.

Kumaanisha hilo jambo moja litafunguliwa nyuzi kama ishirini za kuliponda. Kwa kutumia akili finyu, kama hizi ambazo mstakiwa huyu anaziendeleza wazi. Alafu eti mwisho wa siku wataishia kujipiga vifua wakisema kwamba nchi A au B ina afueni zaidi ya Kenya, kwasababu inapokea remittances kidogo sana. Some low IQ sh*t ambao huwa sina muda nao.
Huna akili wewe, nenda Kibera ulale.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka au kupungua kwa Gdp kutoka mwaka mmoja hadi mwaka mwingine. Ona ujinga wa huyu jamaa.

View attachment 2194797

Ukiangalia hapa chini mahali nimekoleza kwa rangi ya samawati, ni wazi kwamba huyu jamaa anafikiri kwamba gdp growth rate ni sawa na thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya uchumi husika. Yaani anafikiria kwamba gdp ndio gdp growth rate. Kuna watu wajinga humu wajifanya werevu. Jamaa anadhani Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $4 billion kila mwaka. Mtanzania mwenzake amuambie kwamba Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $109 billion kila mwaka.

View attachment 2194811

What Is Gross Domestic Product (GDP)?​

Gross domestic product (GDP) is the total monetary or market value of all the finished goods and services produced within a country’s borders in a specific time period. As a broad measure of overall domestic production, it functions as a comprehensive scorecard of a given country’s economic health.

Though GDP is typically calculated on an annual basis, it is sometimes calculated on a quarterly basis as well.


What Is an Economic Growth Rate?​

An economic growth rate is the percentage change in the value of all of the goods and services produced in a nation during a specific period of time, as compared to an earlier period. The economic growth rate is used to measure the comparative health of an economy over time. The numbers are usually compiled and reported quarterly and annually.



In most cases, the economic growth rate measures the change in a nation's gross domestic product (GDP).
Kuwa genius haimaanishi unajua kila kitu, unaweza kuwa genius katika eneo fulani na mjinga kwenye eneo lingine.Kila siku tunapaswa kujifunza na kuwa tayari pia kuwa challenged.Execuse me, hata kwa mchuzi zinafaa
 
Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka au kupungua kwa Gdp kutoka mwaka mmoja hadi mwaka mwingine. Ona ujinga wa huyu jamaa.

View attachment 2194797

Ukiangalia hapa chini mahali nimekoleza kwa rangi ya samawati, ni wazi kwamba huyu jamaa anafikiri kwamba gdp growth rate ni sawa na thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya uchumi husika. Yaani anafikiria kwamba gdp ndio gdp growth rate. Kuna watu wajinga humu wajifanya werevu. Jamaa anadhani Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $4 billion kila mwaka. Mtanzania mwenzake amuambie kwamba Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $109 billion kila mwaka.

View attachment 2194811

What Is Gross Domestic Product (GDP)?​

Gross domestic product (GDP) is the total monetary or market value of all the finished goods and services produced within a country’s borders in a specific time period. As a broad measure of overall domestic production, it functions as a comprehensive scorecard of a given country’s economic health.

Though GDP is typically calculated on an annual basis, it is sometimes calculated on a quarterly basis as well.


What Is an Economic Growth Rate?​

An economic growth rate is the percentage change in the value of all of the goods and services produced in a nation during a specific period of time, as compared to an earlier period. The economic growth rate is used to measure the comparative health of an economy over time. The numbers are usually compiled and reported quarterly and annually.



In most cases, the economic growth rate measures the change in a nation's gross domestic product (GDP).
Labda tu ulikuwa hujui, ila kaa ukijua kwamba watanzania wengi hawajui mambo mengi sana hasa yale yanayoathiri maisha yao moja kwa moja
 
Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka au kupungua kwa Gdp kutoka mwaka mmoja hadi mwaka mwingine. Ona ujinga wa huyu jamaa.

View attachment 2194797

Ukiangalia hapa chini mahali nimekoleza kwa rangi ya samawati, ni wazi kwamba huyu jamaa anafikiri kwamba gdp growth rate ni sawa na thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya uchumi husika. Yaani anafikiria kwamba gdp ndio gdp growth rate. Kuna watu wajinga humu wajifanya werevu. Jamaa anadhani Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $4 billion kila mwaka. Mtanzania mwenzake amuambie kwamba Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $109 billion kila mwaka.

View attachment 2194811

What Is Gross Domestic Product (GDP)?​

Gross domestic product (GDP) is the total monetary or market value of all the finished goods and services produced within a country’s borders in a specific time period. As a broad measure of overall domestic production, it functions as a comprehensive scorecard of a given country’s economic health.

Though GDP is typically calculated on an annual basis, it is sometimes calculated on a quarterly basis as well.


What Is an Economic Growth Rate?​

An economic growth rate is the percentage change in the value of all of the goods and services produced in a nation during a specific period of time, as compared to an earlier period. The economic growth rate is used to measure the comparative health of an economy over time. The numbers are usually compiled and reported quarterly and annually.



In most cases, the economic growth rate measures the change in a nation's gross domestic product (GDP).
Kwaiyo wwuliye jifanya mwerevu , ndio lifundishwa na nann kuwa kenya inazalisha 109bil kwa mwaka kama ww sio wazim?
 
Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka au kupungua kwa Gdp kutoka mwaka mmoja hadi mwaka mwingine. Ona ujinga wa huyu jamaa.

View attachment 2194797

Ukiangalia hapa chini mahali nimekoleza kwa rangi ya samawati, ni wazi kwamba huyu jamaa anafikiri kwamba gdp growth rate ni sawa na thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya uchumi husika. Yaani anafikiria kwamba gdp ndio gdp growth rate. Kuna watu wajinga humu wajifanya werevu. Jamaa anadhani Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $4 billion kila mwaka. Mtanzania mwenzake amuambie kwamba Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $109 billion kila mwaka.

View attachment 2194811

What Is Gross Domestic Product (GDP)?​

Gross domestic product (GDP) is the total monetary or market value of all the finished goods and services produced within a country’s borders in a specific time period. As a broad measure of overall domestic production, it functions as a comprehensive scorecard of a given country’s economic health.

Though GDP is typically calculated on an annual basis, it is sometimes calculated on a quarterly basis as well.


What Is an Economic Growth Rate?​

An economic growth rate is the percentage change in the value of all of the goods and services produced in a nation during a specific period of time, as compared to an earlier period. The economic growth rate is used to measure the comparative health of an economy over time. The numbers are usually compiled and reported quarterly and annually.



In most cases, the economic growth rate measures the change in a nation's gross domestic product (GDP).
Alafu ukafungua na thread, kukosoa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo nyie mwakan mtauwa na na GDP kiasi gani ikiwa kwa mwaka inaongezeka kwa 109 billions? 109×2 sio?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji54][emoji23][emoji23][emoji54][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzako wanakucheka kichinichini.

Kwa hiyo ukisikia kwamba utajiri wa Bill Gate ni $100B, kichwa yako iliyojaa matope ya chang'aa inakuambia kwamba Bill Gate kila mwaka anatengeneza $100B sio?, Hiyo maana yake baada ya miaka miwili jumla ya utajiri wake ni $200B sio?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Amenichekesha sanaaa[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka au kupungua kwa Gdp kutoka mwaka mmoja hadi mwaka mwingine. Ona ujinga wa huyu jamaa.

View attachment 2194797

Ukiangalia hapa chini mahali nimekoleza kwa rangi ya samawati, ni wazi kwamba huyu jamaa anafikiri kwamba gdp growth rate ni sawa na thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya uchumi husika. Yaani anafikiria kwamba gdp ndio gdp growth rate. Kuna watu wajinga humu wajifanya werevu. Jamaa anadhani Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $4 billion kila mwaka. Mtanzania mwenzake amuambie kwamba Kenya tunazalisha bidhaa na huduma za $109 billion kila mwaka.

View attachment 2194811

What Is Gross Domestic Product (GDP)?​

Gross domestic product (GDP) is the total monetary or market value of all the finished goods and services produced within a country’s borders in a specific time period. As a broad measure of overall domestic production, it functions as a comprehensive scorecard of a given country’s economic health.

Though GDP is typically calculated on an annual basis, it is sometimes calculated on a quarterly basis as well.


What Is an Economic Growth Rate?​

An economic growth rate is the percentage change in the value of all of the goods and services produced in a nation during a specific period of time, as compared to an earlier period. The economic growth rate is used to measure the comparative health of an economy over time. The numbers are usually compiled and reported quarterly and annually.



In most cases, the economic growth rate measures the change in a nation's gross domestic product (GDP).
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Screenshot_20220423-182851.jpg
 
Ona sasa? ungefyata tu, yaani wewe ni boya wa maboya from Tanzania [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Afyate kwa kipi kilicho andikwa? Ikiwa mwandikaj mwenyew kandik pumba
 
Nani ataelezea huyu jamaa kwamba gdp huwa inahesabiwa kila mwaka? kwamba tukisema mwaka wa 2021 gdp ya Kenya ilikuwa $109 billion tunamaanisha kenya iliproduce goods and services ya $109 billion mwaka huo?
Sasa ww embu acha wazim...kuna GDP na growth rate ya GDP ...
Growth rate ya GDP ndio huwa unakusanywa kila mwaka , kupitia GDP growth rate ndio tunapata GDP , Mfano kenya ili ilikuw na 99b 2020 kutokana na growth rate mwaka unao fwata ikaongezeka kufikia 109bill.
 
Mimi sikufika chuo kikuu Kama wewe, lakini ngoja nikuonyeshe jinsi Elimu yenu huko Kenya ilivyo hovyo.

GDP ya nchi ya Sasa ya Kenya, ni mkusanyiko wa thamani wa huduma na bidhaa zilizozalishwa toka walipoanza kuweka taarifa za uchumi wa Kenya enzi za ukoloni.

Formulae inayotumika kujua GDP ya mwaka husika ni

GDP (current GDP)+ GDP growth rate
= New GDP
Kwa mfano

Kenya GDP ya mwaka Jana 2021(current GDP) ni $100B, na uchumi wenu mwaka huu 2022 unaongezeka kwa 5%(GDP growth rate), new GDP of 2022 ni

$100B(current GDP, 2021) + $5B(GDP growth rate of 2022 which is 5%)= $105B(New GDP 2022

Hiyo maana yake ni kwamba, kwa mwaka wa 2022, uchumi wa Kenya umeongezeka kwa $5B tu, sio kwamba umeongezeka kwa $105B, Kati ya $105B, kiasi cha $100B ni "Balance brought forward".

Umeelewa?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]




Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yeye ndio kachanganya sasa kati ya GDP na growth rate
 
Sasa ww embu acha wazim...kuna GDP na growth rate ya GDP ...
Growth rate ya GDP ndio huwa unakusanywa kila mwaka , kupitia GDP growth rate ndio tunapata GDP , Mfano kenya ili ilikuw na 99b 2020 kutokana na growth rate mwaka unao fwata ikaongezeka kufikia 109bill.
Jombaa, vipi kuhusu GDP iki 'shrink', kama wanavosema kwa kimombo? Kwa mfano kama huo mwaka wa 2021 GDP ya Kenya ingekuwa ni $91B kutoka kwa $99B mwaka wa 2020.

Unataka kusema itamaanisha kwamba kwa mwaka huo wote wa 2021 uzalishaji na shughuli zote zingine za kiuchumi zitakuwa zilisimama kabisa? Kwasababu hapo GDP growth rate ni negative, kila sekta itakuwa iliingiza 0$ kwenye uchumi? Kuweni na mazoea ya kushirikisha ubongo buana na kutulia ile mjifunze mapya, ujuaji mwingi sio sifa.
 
Ww unarukaruka tu kma mjinga ..je ni kweli kunya growth rate ni 109bill kwa mwaka?
Enyewe Wabongo mna shida. Elimu yenu ni duni sana. 🤣 🤣 🤣

Wacha nikusaidie. Una mshahara wa Dola 1500 kwa mwezi. Yani Tshs. 3.5M. Huo mshahara ukaongezeka by 5%. Sasa mwezi mpya mshahara wako unakuwa $1575. Huu mwezi mpya utakuwa umetengeneza $1575 ama $75. Jibu hilo alafu utasaidika. Usiite watu wanaojaribu kukutoa ujinga eti wajinga.
 
Kwanza unatakiwa ujue kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa negative growth [emoji116]...na ndichonkitakacho pelekea uchumi kushuka (GDP)
Jombaa, vipi kuhusu GDP iki 'shrink', kama wanavosema kwa kimombo? Kwa mfano kama huo mwaka wa 2021 GDP ya Kenya ingekuwa ni $91B kutoka kwa $99B mwaka wa 2020.

Unataka kusema itamaanisha kwamba kwa mwaka huo wote wa 2021 uzalishaji na shughuli zote zingine za kiuchumi zitakuwa zilisimama kabisa? Kwasababu hapo GDP growth rate ni negative, kila sekta itakuwa iliingiza 0$ kwenye uchumi? Kuweni na mazoea ya kushirikisha ubongo buana na kutulia ile mjifunze mapya, ujuaji mwingi sio sifa.
 
Jombaa, vipi kuhusu GDP iki 'shrink', kama wanavosema kwa kimombo? Kwa mfano kama huo mwaka wa 2021 GDP ya Kenya ingekuwa ni $91B kutoka kwa $99B mwaka wa 2020.

Unataka kusema itamaanisha kwamba kwa mwaka huo wote wa 2021 uzalishaji na shughuli zote zingine za kiuchumi zitakuwa zilisimama kabisa? Kwasababu hapo GDP growth rate ni negative, kila sekta itakuwa iliingiza 0$ kwenye uchumi? Kuweni na mazoea ya kushirikisha ubongo buana na kutulia ile mjifunze mapya, ujuaji mwingi sio sifa.
Wala usijichoshe case study Angola...kisha njoo
 
Siku nyingine utumie akili wacha kufananisha vitu usivyo vijua...kwaiyo mshahara ni sawa na GDP...kwa iyo uharo uliyo nayo kichwan?kalale km hujui kitu
Enyewe Wabongo mna shida. Elimu yenu ni duni sana. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Wacha nikusaidie. Una mshahara wa Dola 1500 kwa mwezi. Yani Tshs. 3.5M. Huo mshahara ukaongezeka by 5%. Sasa mwezi mpya mshahara wako unakuwa $1575. Huu mwezi mpya utakuwa umetengeneza $1575 ama $75. Jibu hilo alafu utasaidika. Usiite watu wanaojaribu kukutoa ujinga eti wajinga.
 
Kwanza unatakiwa ujue kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa negative growth [emoji116]...na ndichonkitakacho pelekea uchumi kushuka (GDP)
Nimelitaja hilo suala la negative growth hapo juu na ndio lilikuwa 'basis' ya swali langu, ambalo umelikwepa kama mtaalamu, wa longolongo. 😄
 
Wala usijichoshe case study Angola...kisha njoo
Sijakuitisha mfano wa nchi yeyote, kuhusu suala lolote ambalo nimelitaja. Nimekuuliza swali rahisi ambalo hutaki kulijibu. Aisee hivi huwa hamna aibu kabisa mkijiabisha bure, kisa ujuaji wa sampuli hii ambao hauna tija?
 
Back
Top Bottom