Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

GDP ni mkusanyiko wa thamani za bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya nchi katika kipindi cha mwaka mmoja, endapo nchi itanunua bidhaa na huduma nyingi toka nje ya nchi kuliko zile zinazozalishwa ndani ya nchi, hiyo ndiyo inaitwa "Negative growth"

Kwa mfano, Kama nchi imezalisha bidhaa na huduma za $3B, lakini imenunua bidhaa na huduma za $4B, Kuna "Negative ya $1B", kwa hiyo hiyo $1B inabadilishwa kuwa % ya ukuaji wa uchumi ndio utapata kusikia uchumi umesinyaa(Negative growth of 0.5%)

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Soma posts zangu #79 na #82 utaelewa vizuri

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Najua hayo yote ya 'defination', n.k, n.k.... ila kuna comment ya hapo awali, ambapo ulizungumza kuhusu 'balance brought forward'. Nahitaji ufafanuzi zaidi kuhusu suala hilo.
 
Hawezi kuelew amesha weka kichwa mgando
Huwa napenda sana kujifunza mapya, kichwa mgando mwenzangu. Hebu tafuta kijikaratasi na kalamu, kisha utulie tufatilie kwa umakini anayoyanena profesa.
 
Najua hayo yote ya 'defination', n.k, n.k.... ila kuna comment ya hapo awali, ambapo ulizungumza kuhusu 'balance brought forward'. Nahitaji ufafanuzi zaidi kuhusu suala hilo.
Kama ulisoma "Book keeping", utaelewa maana ya "Balance brought forward".

Ukifanya biashara mwaka mzima, huwa Kuna faida unayopata, mwishoni mwa mwaka hiyo faida ndiyo utakayoingia nayo mwaka unaofuata(The following year), hito6 inaitwa "Balance carried forward", yaani unaibeba kwenda kuanza biashara mwaka unaofuata, hapo imefunga mahesabu ya mwaka.

Unapoingia mwezi January, biashara yako inaanza na mtaji(Capital) wa mwaka Jana, yaani faida yote na "assets" zote ulizopata hadi unafunga biashara yako mwaka Jana(Balance carried forward), Sasa ndio unaanza navyo Kama kianzio cha biasha kwa huu mwaka mpya, kwamba biashara sio mpya, "there is a foundation to build on as part of business continuation, that is what is referred as "Balance brought forward"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Najua hayo yote jamani. Kuhusu bal. b/f, bal c/f, capital hivyo ni vitu 'basic'. Ambavyo nilifunzwa nikiwa shuleni, kidato cha kwanza, kama sijakosea . Nilichouliza ni kuhusu uhusiano wa bal. b/f na GDP. Aisee mbona nauliza maswali kwa lugha simple sana, ila unanizungusha zungusha tu?
 
Hahaha 🤣 😂 pingli-nywee huyu jamaa anaconfuse trade deficit (yaani pale ambapo imports zimeizidi exports) na negative economic growth? Huyu cartoon hasaidiki jameni.
 
Sasa kwani GDP si inahusiano na uchumi/biashara/bookkeeping/uchumi?, Ulitaka nitumie "terminology" za Physics au Geographia ili kueleza Mambo yanayohusiana na GDP?.

Mnajua muda mwingi mnanishangaza Sana, Mimi ninaeleza jinsi GDP zinavyounganishwa, yaani GDP ya 2010 + growth rate ya 2011 = GDP ya 2011. Sasa nikisema GDP ya 2010 ni "Balance brought forward ya mwaka 2011, unaniuliza uhusiano wa GDP na "balance brought forward kweli?, are you serious?, Kweli hujisikii aibu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Usijaze ujinga kwenye hii forum. Unachosha. Pale ambapo imports zimeizidi exports ya nchi fulani hiyo inaitwa trade deficit au kwa jina lingine "negative balance of trade" sio negative gdp growth kama unavyodanganya watu hapa. Pata definition ya trade deficit kwa maana najua hujawahi kusikia neno "trade deficit" maishani mwako. Ukishaelewa trade deficit ni nini uje nikufunze "balance of payment deficit" ni nini. Hapa huchomoki, hapa nitakupatia darasa kwa nguvu. Nitakulazimisha upate masomo upende usipende. Angalau nitoe ujinga kwa Mtanzania mmoja.

Trade Deficit​


By
ANDREW BLOOMENTHAL

Updated November 20, 2020
Reviewed by
PETER WESTFALL
Fact checked by
AMANDA BELLUCCO-CHATHAM

What Is a Trade Deficit?​

A trade deficit occurs when a country's imports exceed its exports during a given time period. It is also referred to as a negative balance of trade (BOT).

The balance can be calculated on different categories of transactions: goods (a.k.a., “merchandise”), services, goods and services. Balances are also calculated for international transactions—current account, capital account, and financial account.


 
Wewe huna akili huwezi kubishana na Mimi, hivi umesoma chuo gani mtu mpuuzi wewe?, sikiliza hii "Lecture ya GDP ya uchumi jinsi GDP inavyopatikana

Mbona huna akili kiasi hiki Tony254, nimeanza kukudharau Sasa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha [emoji1787] [emoji23] pingli-nywee huyu jamaa anaconfuse trade deficit (yaani pale ambapo imports zimeizidi exports) na negative economic growth? Huyu cartoon hasaidiki jameni.
@pingli-nywee sikilizeni hii very simple lecture, katika hiyo Equation ya GDP hapo mwisho Kuna "NX", yaani "Net export" ya nchi, huyo dada anaeleza vizuri Sana, kwamba "Net export" ikiwa ndogo kuliko 'Net imports(NI), kinachotokea ni "Negative growth ya GDP"


Tony254, kweli nimeanza kukudharau Kama vitu vidogo Kama hivi huvijui na wewe umesoma uchumi, kweli Elimu yenu ni hovyo Sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ashakum sio matusi jombaa, ila itabidi nikuite mpumbavu.
 
Hahaha 🤣 😂 pingli-nywee huyu jamaa anaconfuse trade deficit (yaani pale ambapo imports zimeizidi exports) na negative economic growth? Huyu cartoon hasaidiki jameni.
Hamna cha kuchanganyikiwa, kuchanganyisha wala nini. Huyu jamaa ni boya flani tu, ambaye hata hajui anazungumzia nini. Elimu duni inafaa kutangazwa rasmi kama janga la kitaifa kwa hawa majirani, kama hii ndio sampuli yao ya watu walioelimika.
 
Tuanze ni hii video ya muhindi uliyoweka. Huyo Muhindi anakueleza kwamba
Gdp growth rate = (current gdp-previous gdp)/previous gdp *100.

Sasa tutumie formula ambayo huyu jamaa ametupatia kucalculate gdp growth rate ya Kenya. Kwa mfano ikiwa gdp ya Kenya mwaka wa 2020 ulikuwa $100 billion na mwaka wa 2021 ulikuwa $105 billion basi kulingana na hio formula ya video uliyoleta

Gdp growth rate = ($105b-$100b)/$100b*100 = 5%

Sasa natumai tumeelewana ni jinsi gani gdp growth rate inavyohesabiwa. Next nataka sasa tuende kwa gdp yenyewe.
 
Hamna cha kuchanganyikiwa, kuchanganyisha wala nini. Huyu jamaa ni boya flani tu, ambaye hata hajui anazungumzia nini. Elimu duni inafaa kutangazwa rasmi kama janga la kitaifa kwa hawa majirani, kama hii ndio sampuli yao ya watu walioelimika.
Jamaa mwenyewe huwa anakiri kwamba alishafika form form tu. Na hata husema kwamba alipata division IV yaani grade ya chini kabisa. Kisha yeye ndiye anayejifanya kujua mambo humu? Hahaha






 
Umeona hiyo GDP ya USA ya mwaka 2015 na 2016 ilivyopatikana, hiyo ya 2016 imepatikana baada ya kuchukua GDP (2015)+ (GDP growth rate ya 2016) Kama nilivyokua ninakuambia.

Fuatilia tena hiyo video na uangalie hizo GDP za USA za miaka 3 kuanzia 2015, 2016 na 2017 alizotolea mfano hapo, Mimi ninajua umeelewa lakini unajisikia aibu kukubali "defeat"[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, Sasa Kama Form four failure ya Tanzania inawafundisha *First class degree holders" wa Kenya, huko kwenu University mnafundishwa nini zaidi ya ukabila?

Yaani hata hujui kwamba "Exports za Nchi zikipungua zinasababisha "Negative GDP growth?, Yaani inashindwa kujua jinsi 'trade deficit" inavyoathiri GDP ya nchi, kweli Tony254 unajidhalilisha Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hatugombani jinsi ya kucalculate gdp growth rate tunagombana jinsi ya kucalculate gdp. Sasa leta formula ya kucalculate gdp.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…