Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kila la kheri ktk jambo lenuKatika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Hahaaaaa kumbe jamaa ni mtu mmoja mwenye ID mbili, anawachoresha tu wadau wa JF.Wamesema wataunganisha ID
Tafadhali fuata hatua hizi kuwa na app nyingine App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Tafadhali fuata hatua hizi App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hiziPicha hazifunguki kwenye App
Over
Tafadhali fuata hatua hizi App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hiziapp ya JF inazidiwa na candy crash kwa watumiaji
mwili wa boss aise mtraaamu...wa kitajiriWananenepeana tu kasoro boss wao
😁😁😁😁
Mkuu hunitakii mema!Ngoja nimuite Atoto unaitwa huku 🚶♂️➡️🚶♂️➡️🚶♂️➡️
Walishasema kuwa apps zote watazitelekeza. Labda itabidi watoe tangazo ili watu tuachane nazo rasmi na waziondoe kabisa huko Google na Apple store maana kwa sasa hazifai!
Jamii Forums punguzeni ' bans' zisizo na maana hata walio hukumiwa kifo hawanyongwiKatika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
Hivi ndugu yangu na rafiki yangu mkubwa sana Bw. Mike Mushi aliendaga wapi?Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
View attachment 2894121View attachment 2894122View attachment 2894123View attachment 2894124View attachment 2894125View attachment 2894126View attachment 2894127View attachment 2894128View attachment 2894129View attachment 2894130
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wananenepeana tu kasoro boss wao
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyu kaka aliyevaa manga nyeusi pembeni kulia, naomba aje PM nna jambo nae.View attachment 2894142
Huyu dem ana raha sana, atakua ndio anaemlima Genta ban kila siku