Hebu usitoke nje ya mada, baki kwenye mada jadili hoja iliyoko mezani, ukisema huyo "bwana yule" haonekani kuwa na mrengo wa huyu wa sasa useme how, binafsi siamini kwanini siri zilizokuwa zinatoka wakati wa awamu ya tano ghafla zisitoke awamu ya sita, kwa move ipi aliyofanya huyu aliyepo madarakani kuzuia wakati anashindwa hata kwenye teuzi tu, anateua sasahivi badae anatengua.Huna hoja yeyote.
Soon wewe, Erythrocyte na Salary Slip mtaanza kuandika mada zinazofanana.
Maana adui yenu ni mmoja sasa.
Njaa mbaya sana.
Watu mnaangalia matumbo yenu tu.
Kwa mtazamo wangu, siri zake zilijikita kwenye "kutabiri", kutafiti ( hasa online ) na kupewa taarifa inbox ( kama ilivyokuwa kwa Mange Kimambi )Hebu usitoke nje ya mada, baki kwenye mada jadili hoja iliyoko mezani, ukisema huyo "bwana yule" haonekani kuwa na mrengo wa huyu wa sasa useme how, binafsi siamini kwanini siri zilizokuwa zinatoka wakati wa awamu ya tano ghafla zisitoke awamu ya sita, kwa move ipi aliyofanya huyu aliyepo madarakani kuzuia wakati anashindwa hata kwenye teuzi tu, anateua sasahivi badae anatengua.
Umemjibu vizuri sanaNadhani ulichochangia hakina uhusiano na mada yangu! Hata hivyo neno mshamba ni dhana tu kulingana na udogo au ukubwa wa fikra zako!
Halina siri tena, huhuuuuu!Siri za nn tena wakati jumba jeupe liko wazi??
Sasa kwanini hizo siri zitoke wakati ule halafu ghafla wakati huu zisitoke? hao waliokuwa wanampa taarifa "inbox" where are they now? hapa ndipo nakubaliana na mleta mada, hawatoi siri kwasababu aliepo madarakani ni rafiki yao, lakini sio kwamba siri hazipo.Kwa mtazamo wangu, siri zake zilijikita kwenye "kutabiri", kutafiti ( hasa online ) na kupewa taarifa inbox ( kama ilivyokuwa kwa Mange Kimambi )
In short, Magu mwenyewe alikuwa mropokaji tu. Hakuwa na siri yoyote.
Angekuwa kweli ni mtu wa siri sirini, angesema walipo Ben Saanane, Kanguye, Azory Gwanda.
Kwasababu hakuna silaha aliyobakiza, angekuwa anajua angekwishasema.
Sijasema directly kuna siri alikuwa anapewa. Hizo ni assumptions zangu tu.Sasa kwanini hizo siri zitoke wakati ule halafu ghafla wakati huu zisitoke? hao waliokuwa wanampa taarifa inbox where are they now? hapa ndipo nakubaliana na mleta mada, hawatoi siri kwasababu aliepo madarakani ni rafiki yao, lakini sio kwamba siti hazipo.