Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishahara kama mishahara bila mkataba kuna ukakasi kidogo hapo, lakini pia tunatakiwa jiuliza, je unapoongelea mishahara ina maana inajumuisha stahiki zote ambazo mfanyakazi wa kawaida anastahili?Je ni sawa kwa baadhi ya watumishi wa KKKT kufanya kazi na kupokea mishaara bila mikataba ?
Mikataba, yao iko kwa Yesu pesa so lolote kwaoJe, ni sawa kwa baadhi ya watumishi wa KKKT kufanya kazi na kupokea mishaara bila mikataba ?