Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Yesu hakuwa mlevi wala mnywaji wa pombe. Acha kumsingia uongo.S WAMERUSIWA JAMANI KWANI KUNA SHIDO? YESU NAE SI ALIKUNYWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu hakuwa mlevi wala mnywaji wa pombe. Acha kumsingia uongo.S WAMERUSIWA JAMANI KWANI KUNA SHIDO? YESU NAE SI ALIKUNYWA
Usishuhudie uongo.Hakika
Onesha uongo wake upo wap?Umezidisha uongo.
Ukisema kwa makusudi ndio nini limeonyesha uhalisia yanayotendeka huko konyagi ikinywewa hukimbilia kichwa cha chini kifuatacho hapo wala hakielezeki kwa hao waumini!View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Kwao si ni kawaida wanaita divai au?View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Kwa RC pombe siyo shida kwamba anayeona ni shida aondoke RC na kujiunga na wanaosema konyagi ni dhambi.Kwani kuna shida yoyote. Kanisa moja Takatifu la mitume Hadi kitimoto tunakula madhabahauni. Vinyo ni sehemu ya ibada Acha ushamba wako wa Kwa mwamposa
Mbona mapadri huwa wanakunywa konyaji, wanaruhusiwa, wanapewa na waumini na wanaweza kuwapa pia waumini wanaohitaji.Sasa waumini walevi unatarajia nini, nilidhani ndani ya kanisa Padri anagawa, kumbe nje wamekuja nazo wenyewe.
Pia pombe si zambi.
Huyo mwandishi kilaza kweli kweli. Anachikuwa mafundidho anayodanganywa kwenye dini yake anadhani wakatoliki wapo hivyo?View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Kwani kuna tatizo lolote waumini kunywa konyagi kanisani?View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Kwa Kanisa Moja Katoliki la Mitume kunywa pombe sio kosa. Na kila sherehe ya Kikatoliki pombe ni sehemu ya kimiminika muhimu sana!View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Ni kanisa lipi limewahi kuwa la kumfikisha mwanadamu huko kwa Baba?Yaan hapa aibu ni Kwa Gazeti alitoa taarifa au Kanisan??
Roman Catholic halijawahi kua Kanisa la kumfikisha mwanadamu katika Ufalme wa Baba Mungu .
Kwa makusidi tena au ndio uhalisia??View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Kabla ya misa.........Baada ya Misa!
SpritGongo?!
Para yako ya mwisho ndio umechemka. Pombe sio upagani. Yesu Kristu alitengeneza pombe nzuri sana kwenye Harusi ya Kana ukiwa ndio muujiza wake wa kwanza!Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.
Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
Hapo walipo unahisi wameteka mtu? Kuna mtu kateswa au kuuliwa?View attachment 3189715
Gazeti la Mwananchi limeonyesha kwa makusudi kabisa Waamini Wakatoliki wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.