Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

Leta ushahidi wakanisa lako likiwa limemfikisha muumin wake huko kwababa mungu
Haaa bwasheee, YESU ndio Njia ,Kweli na Uzima ,MTU haendi Kwa Baba Mungu bila kupita Kwa YESU.

Je wajua YESU ni MSABATO?.

KANISA LA kweli ambalo hata RC leaders wanajua ndio Kanisa la Kweli, ni SABATO -SDA.
 
Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.

Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Ukristo halisi ukoje?
 
Siku nyingine jifunze kusoma Bible, ili ujifunze kutofautisha mambo.
Ulichokileta hapo siyo maagizo, hivyo jifunze kwa kutofautisha kati ya parables na instructions.
Ndiyo maana hauoni popote pale wakristu kuwahi kukitumia hicho kifungu sababu kwao siyo agizo.
Kingine, Mkristo kabla ya kuyafuata maandiko kichwakichwa, huwa anatakiwa kuushirikisha vyema ubongo wake na wakati mwingine hutakiwa kuomba ili aangaziwe kuweza kuyaelewa maandiko.
Mkristo akisoma maandiko, kabla ya kufuata hutakiwa kuangalia, mazingira, nyakati na hata utamaduni. Ndiyo maana Wakristo wanahimizwa kusoma na kutafuta maarifa
Mlio... tatizo kamdomo
 
Andiko hilo halihalarishi pombe, wala halisemi Yesu alikuwa mnywaji wa pombe, bali linatoa tafsiri ya maisha ya ujumla jumla ya Yohana vs Yesu.
kwa hiyo pia halisemi pia kuwa alikuwa rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi, au sio?
 
Huyo mwandishi kilaza kweli kweli. Anachikuwa mafundidho anayodanganywa kwenye dini yake anadhani wakatoliki wapo hivyo?

Toka enzi na enzi pombe kwa mkatoliki ni sehemu ya chakula na lazima skibariki kala jajanywa kama chakula kingine. Iwe kanisani au sehemu yoyote kwenye sherehe. za wakatoliki pombe ni kiungo muhimu na hata kitimoto ( nguruwe) ndio nyama Yao pendwa na kubatilisha uongo unaohubiriwa na eahubiri uchwara kuwa ulinuwa pombe su Kila kiti moto utakuga haraka, hutakuwa na maendeleo, hitayenda mema nk .lakini kinyume chake makabila wanaokunywa pombe na Kila kitimoto wanaishije umri mrefu na Wana maendeleo makubwa na wanatenda mema Sana na hao wanaojifanya kuwa pombe na kitimoto ni dhambi wanawazunguka kueaomba msaada
nikweli nimeshuhudia kuna jirani yangu ni mkatoliki akiwa anaenda kanisani anapita vilabuni anakunywa pombe wakitoka anapita tena anakunywa pombe nilikuwa nafikiria sipati majibu leo nimepata ukweli nikama chanda na pete.
 
Hivi unajua nuhu alizaliwa na aliishi katika tamaduni za kibagani japokuwa alisikia sauti ya Mungu ikimwambia atengeneze Safina na akatii? Hata unywaji wa pombe wa Nuhu haukuwa mpango wa Mungu na mwisho wa siku ulizaa aibu, laana na utukufu kwa shetani. Mungu hawezi kuruhusu jambo lenye kuzaa uovu katika maisha ya watu.

Kitamaduni za kiitaliano na ibada zao za kibagani zinaruhusu unywaji wa pombe popote pale, Ukristo wa kale ulipotua Italy uliingizwa katika falme zao na kuboreshwa ili kuweza kuchangamana na tamaduni za kibagani za kiitaliano na kutokea hapo ukaenezwa duniani kwa mwamvuli wa kanisa. Leo hii ndio tunauita ukatoliki.

Ukristo halisi na unywaji wa pombe wapi na wapi?
Yesu alibadilisha maji na kuwa divai (kinywaji) na sio divai (Pombe). Kwanini? Huwezi ukabadilisha maji yakawa pombe kwenye sherehe, halafu watu wote wakanywa mpaka kutosheka halafu hapo hapo tukio hilo limrudishie Mungu utukufu. Unywaji wowote wa pombe vya kutosha huzaa aibu, upotofu na utukufu wa shetani.
Dini ya Uyahudi pombe ni sehemu ya ibada yao na chakula chao. Divai ni pombe siku zote, sio juice ya zabibu.
 

Attachments

  • images - 2024-12-27T230616.291.jpeg
    images - 2024-12-27T230616.291.jpeg
    55.7 KB · Views: 1
Hahahah Biblia ya Wakatoliki, Ina vitabu 72 😂😂 utasikia Sira, Sijui nani nani, vitabu vya kininadam vyenye Maneno yaloandikwa yoyote na WANADAM.
Biblia ya Mungu Ina vitabu 66 tu.
Hata hivyo 66 unavyoita vya Mungu ni subset ya vitabu 72 ambavyo Luther alivichukua kama vilivyo kwa Wakatoliki.
Kwa ufupi (kama hujui), si kwamba Wakatoliki waliongeza vitabu, ila Luther alipunguza vitabu!
 
Dogo mimi nimeandika yaliyomo kwenye Biblia Takatifu. Wewe unaandika kwa hisia. Huoni tofauti hapo?
Habari zote za Nuhu nimetoa kwenye biblia. Habari kamili za ukatoliki zipo kwenye vitabu na maandiko ya kikatoliki, kwa kuwa ukatoliki umejengwa katika maandiko tofauti tofauti, na sio lazima yawe maandiko ya kibiblia. Msingi mkuu wa ukatoliki upo kwenye mapokeo (matamko, maagizo, matangazo, mafundisho ya wakuu wa kanisa katoliki kule Italy)
 
Hahahah Biblia ya Wakatoliki, Ina vitabu 72 😂😂 utasikia Sira, Sijui nani nani, vitabu vya kininadam vyenye Maneno yaloandikwa yoyote na WANADAM.


Biblia ya Mungu Ina vitabu 66 tu.
Hata ibada zao zinatumia kiswahili tofauti
  1. Kitubio
  2. Mafungo
  3. Komunyio (kuna makabila hilo ni jina la sehemu ya mwili)
  4. Dominika
  5. Homilia
  6. Komunika
Ukiingia muumini mwingine unaweza kutoka kapa
 
Biblia ya Mungu Ina vitabu 66 tu.
Mathayo na Yohana ni miongoni mwa hivyo vitabu 66 vya Mungu au ni miongoni mwa vile vya kibadamu vya Wakatoliki?

Mathayo 11:18-19
18 Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakasema, Yuna pepo
19 Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.

Yohana 2:7-11
7 Yesu akawaambia, Jalizeni mabalasi maji. Nao wakayajaliza hata juu.
8 Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee mkuu wa meza. Wakapeleka.
9 Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi,
10 akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; hata watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata sasa.
11 Mwanzo huo wa ishara Yesu aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini.
 
Kwa wakatoliki unywaji wa pombe yoyote (hata gongo!) sio dhambi. Na wakatoliki wanajivunia kunywa pombe popote ikiwemo hata kanisani, wao wanasema wanakunywa kistaarabu.

Pale ukatolikini hakuna ukristo halisi, ni upagani wa Kiitaliano ulioboreshwa kwa tamaduni zilizoupokea ukristo wa kale na kuueneza duniani chini ya mwamvuli wa kanisa.
Sasa ndugu yangu Mungu mwenye Rehema atashindwaje kuwa na huruma na kiumbe chake alichokiumba mwenyewe na kukipa mzigo wa utashi? Mawazo, shida, chuki na misuguano mingine ya kibinadamu inahitaji walau mara moja moja nati zilegezwe; nyinyi wenzetu naona bado mnaishi kwa misingi ya agano la kale ambapo Baba muumba ilibidi awe mkali sana maana kumstaarabisha binadamu kwa mazingira ya jangwani sio kazi ndogo
 
wale hawajaokoka, habari za wokovu wako mbali nazo, dhambi zimewajaa, kunywa pombe kwao ni kawaida na dhamiri zao haziwashitaki kuwa wanatenda dhambi kwa ulevi
Waliookoka ni wale wanauza maji na udongo wa uzima?
 
Back
Top Bottom