Yaani kanisa lililouanzisha huo ukristo na mifumo yote ya ukristo mnawaita wapagani? Na wakati huo huo mnatumia mafundisho Yao, kalenda Yao, maandiko Yao, ktk hivyo vijidhehebu vyenu vilivyomsaliti mroma?
Akili huwa mnaweka wapi, kama mmeamuwa kuukataa upagani wa roma, basi anzisheni maandiko yenu na mifumo yenu ya kikanisa, maana hizo biblia zimehaririwa na mrumi ambaye mnamuona hayuko sahihi, what if ninyi ndie ambaye hamko sahihi?
Anyway Mungu wenu mnamuabudu kwa tabu sana maana Kila kanisa na mambo yake, Kila dini na mambo yake, alafu mnataka kutuaminisha tusiofuata dini zenu kuhusu wema na utukufu wa huyo Mungu mdhaifu asiyeweza ku-organize kanisa lake