Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

Wewe una roho mbaya! Ulitaka hadi riba😂🙌
Nilifikiria riba baada ya kuona mtu kama vile anataka kuanza kuniletea masihara. Yani nikupe tu hela yangu tena umesema nikukopeshe halafu uanze kuzingua kunirudishia?

Heri mtu aniambie nimsadie nijue nimetoa sadaka kuliko kusema umkopeshe alafu aanze kuzingua.
 
W
Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema
Wewe ndo TUTUSA, unamuulizaje mwanamke swali kama hili? Ni wazi kuwa huna maamuzi ya kiume na hujui kusoma alama za nyakati.
Mwanamke huwa anacheza beat ya mwanaume, wewe kuuliza ili UJUZWE inamaanisha utacheza beat lake.
Hopeless!
 
Ni vile tu hakua muwazi au wewe uliweka ngumu hukutaka kumuelewa.

Huyo anauza samaki wa baharini(papa).
Pamoja na hayo yote bado mwamba hutaki kuelewa bibie anataka nini.

Kilichotakiwa kufanywa ile baada ya msosi ni kukodi room, uzagamue umlipe asepe na mambo yanaishia hapo.

Wanawake wengi mjini wanajiuza kwa namna nyingi hiyo ikiwemo.
Maisha town ni ghali, mambi ni mengi lazima ajiongeze.
 
Huyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.

Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.

Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.

Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.

Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.

Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.

Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.

Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.

Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.

Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.

"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?

Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.

After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg

" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"

Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
Ras jeff kapita katufungia mjadalaa..

Yana chefua na yanapata maradhi kwa tamaa za muda mfupi..

Holy shit!!
 
Huyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.

Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.

Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.

Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.

Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.

Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.

Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.

Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.

Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.

Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.

"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?

Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.

After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg

" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"

Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
Wanakuwaje na akili wakati wanaume zao mnaopaswa kuwasimamia, kuwaongoza na mnaoshirikiana nao kwenye maongezi na mengineyo hamna akili?
Mnaposhinda kuwashambulia wanawake kwa kushindwa katika lolote ujue pia mnaongelea kushindwa kwenu.
Ni kama mpumbavu mmoja yupo humu jukwaani aliyeendekeza fantasy zake, akamshawishi demu wake kuwa anatamani threesome, baada ya kufanikiwa kumshawishi ,demu akakubali, alipokubaliwa jamaa akaenda kutafuta demu mwingine wakaenda kupiga 3some.
Kilichofuata wale madem wakaulewa mchezo, wakanogewa wakammwaga yule jamaa wakaanza kusagana. Jamaa kajitahidi kupambana kumrudisha mpenzi wake kaambulia patupu, mpaka leo anatukana na kulaani tu wanawke, hata akiingia humu yeye ni kuwapondea tu.
Ukumsoma malalamiko na hoja zake huwa unamuona ana sound so genuine lakini moyoni ana mengine kabisa, ni majeruhi wa fantasy zake.
Kuharibikiwa kwa wanawake chanzo chake ni ku fail kwa wanaume. Siku wanaume wakija kurudiwa na akili wanawake watarudi kwenye mstari wenyewe.
 
Hii mada inabidi Wazee tupite kimya kimya na ku-take note za kuwafunza Wajukuu zetu wa Kike, wasije kukosa Waume serious wa Kuwaoa bure Kwa kuendekeza hizo tips za 20k ama 50k

Binafsi nina uhakika Wajukuu zangu wa kike hawana hiyo tabia, labda wengine huko Mtaani 🤗
Wazee wa Jf ngoja tunyamaze tupite kimya KIMYA 😊
 
Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?
Ila nimecheka kwenye hii paragraph 😆😆😆😆

Shida ya wanawake siku hizi hawajui kusema no hata kama yuko na mtu wake serious ambae yeye haombwi hata mia ila sasa akimpata mwanaume ambae anahisi huyu kwenye vizinga vya haraka haraka hakosi kunisave basi lazima aruke nae na kibaya zaidi wewe ndio ulianza kuonesha interest kwake Kwahiyo moja kwa moja hii inaonesha hayupo interested na wewe na wala haofii kukupoteza so vyovyote itakavyokua ni sawa tu kwake.

Hilo ni jimbo la mtu mkuu so wewe kaa mbali.
 
Back
Top Bottom