Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Pole mkuu ulikutana na mjasiliamali wakikeUkimwona usoni utasema very decent huwezi amini.ana sura ya upole ana shape nzuri na ni black beuty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu ulikutana na mjasiliamali wakikeUkimwona usoni utasema very decent huwezi amini.ana sura ya upole ana shape nzuri na ni black beuty
Mabint hawa ni vipengele oohh utashangaa.. mimi kiukwel sijawah kuwataman kabisaa.. namuogopa sana sana msichana/mwanamke mjinga .. ila huyu aliye elezwa hapa hatar zaid. Yuko beyond uozo. Huy hata karibu yake sikaiWazee wa Jf ngoja tunyamaze tupite kimya KIMYA 😊
Alitegemea ungesamehe. Na hapo atakuwa amekusema " MWANAUME HUWA HADAI PESA AKIKOPESHA MWANAMKE" MI huwa nawaambia OK basi tufanye mi siyo mwanaume basi nilipe. Maana hainipunguzii chochote yeye kutoniona mimi si mwanaume kwa kuwa nadai changu.Mimi kuna manzi tulikuwa na urafiki tu akaanza kujisogezaa mara akaniomba nimpe kiasi fulani cha hela atanirudishia akipata mshahara. Nilipojua amepata mshahara nikamkumbusha kunilipa akaanza kama kutaka kunichenga nikamwambia "ya mangi hailiwi bure bwashee naomba hela yangu".
Alipoona nipo serious alinipatia, nikataka nimdai na riba ila nikaamua kupokea kiasi kile kile.
Huwezi amini alinichukia tokea hiyo siku hakuwahi hata kunisemesha tena. Ni ajabu kwakuwa mtu alinikopa na sio kwamba nilimpa hisani.
Wanawake sijui mpoje.
Thanks. Nimewalenga watu kama ninyi wenye uelewa.Mkuu nimependa sana Heading yako iko too intellectual
Mimi ndio huwaga Siwa interteining kabisa Wala shobo sitaki maana wahenga wanasemaga beauty without Brain 🧠 private part ndio zita sufferMabint hawa ni vipengele oohh utashangaa.. mimi kiukwel sijawah kuwataman kabisaa.. namuogopa sana sana msichana/mwanamke mjinga .. ila huyu aliye elezwa hapa hatar zaid. Yuko beyond uozo. Huy hata karibu yake sikai
Mimi nadai pia kwaio unanishaur nikadai vyangu..Mimi kuna manzi tulikuwa na urafiki tu akaanza kujisogezaa mara akaniomba nimpe kiasi fulani cha hela atanirudishia akipata mshahara. Nilipojua amepata mshahara nikamkumbusha kunilipa akaanza kama kutaka kunichenga nikamwambia "ya mangi hailiwi bure bwashee naomba hela yangu".
Alipoona nipo serious alinipatia, nikataka nimdai na riba ila nikaamua kupokea kiasi kile kile.
Huwezi amini alinichukia tokea hiyo siku hakuwahi hata kunisemesha tena. Ni ajabu kwakuwa mtu alinikopa na sio kwamba nilimpa hisani.
Wanawake sijui mpoje.
Usipokuwa nunda achana na kukopesha. Ikitokea upo tayari kutoa hela yako itoe iwe tu kama sadaka.Mimi nadai pia kwaio unanishaur nikadai vyangu..
Tatizo Mimi si kwa mwanaume au wakike sijuagi kudai nikikopeshaa 😊😊
Mpaka currently nimeacha kukopesha nikikopeshaa ni kiwango ambacho hata hakiniumizi kichwa
Ulikutana na baharia
Na nikazima akuscan kwanza ili ajue uwezo wako wa kifedha.Kuna upumbavu umeingia kwenye vichwa vya ke wengi!
Wanafanya biashara ya ngono!
Ukimtongoza anaanza kufikiri namna ya kupata kipato Toka kwako badala ya kuwaza mstakabali wa kesho yenu itakuaje!
Kwa sisi wasukuma kipimo cha kwanza mwanamke ajue kusonga ugali..Huyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.
Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.
Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.
Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.
Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.
Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.
Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.
Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.
Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.
Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.
"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?
Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.
After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg
" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"
Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
Ni Huyo tu bro....ulikutana Na muuzajiHuyu binti anafanya kazi ofisi moja hapa Dar Es Salaam si mbali sana na jiji. Nlionana naye huko maana ni jengo moja tuna share.
Basi nikaomba urafiki kupitia kwa rafikiye ambaye alinipa namba ya simu. Tukaanza mawasiliano day one tunaongea n.k akanidokeza huwa yeye havai chupi.so anavaa tu suruali ya jeans bil chupi.
Nikashtuka kidogo.anyway nikasema labda usasa. Ingawa nlikuwa nawaza kipapa chake si kitakuwa kimesuguliwa sana na jeans? Anyway...apishie mbali.
Kesho yake akanitumia msg. Ana shida ya tsh 50,000. Nikamchana tu kuwa ninayo but sitampa. Mapema hivi? Nikamwambia kama ana taka tuwe serious aje na mawazo ya maana ya nini tufanye ajiongezee kipato.maana she is working na anaishi alone.akasema sawa.
Siku mbili tatu akanipigia simu.kuniuliza nipo wapi. Nikamwambia nipo home napumzika. Akanijibu kuwa anafika sehemu x kuna issue zake anafuatilia kama sitojali nimwone hapo.
Nikarukia jeans na tshirt na sandals.nikawasha kimeo changu mpaka eneo husika. Akanisubirisha maana alienda mwona mtu kama dk 10 akaja nlipo. Akapanda garini.
Basi nikamwuliza tunakaa wapi tuongee.akaniambia hajala so tuelekee sehemu moja kms kama 12 from there.nika mwambia haina haja hapo karibu kuna restaurant classic nampeleka akapate msosi. Kama hatopenda chakula aache nitampeleka popote pale Dsm na kumlipa fidia ya kuchelewa kula.
Nikampeleka hapo hapo ni walking distance sema kwa kuwa nina kakimeo tuka drive. Akafika akala aka enjoy zilinitoka 22,000 za haraka haraka.siku mind siyo issue kwa marafiki.
Amemaliza kula akaniambia sasa anaweza enda kwake. Aka request uber.tukaja garini tunasubiri huku tunapiga stories.wa uber akaja.akamwambia.asubiri asiwe na mchecheto. Kama dk 40 hivi. Ananiambia sasa naondoka.
Nikamwambia sawa. Naona hashuki garini.akaaga tena.nikamwambia sawa amwahi Uber wake.ndo ananiambia.
"Unipe nauli ya Uber" nlimtizama.nikamwona hana akili. Yaani safari zake,nimempa chakula na anataka nimlipie na Uber.sikumwita aje? Huyu si ni Tutusa aliyefaulu kwa kiwango cha juu?
Nlimwambia tu SIKUPI. akadhani natania. Nikarudia kuwa sikupi shuka please. Akashuka akaondoka. Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema. AkajiBu IDK. Nikanyamaza.
After 5 days akanipigia.akanisalimia.nikamjibu very normal.akaaga. a minute akatuma msg
" Baby nimefiwa na mjomba wangu natakiwa kesho kwenda msibani"
Sikumjibu mpaka leo. Nli mblock maana niliona hana akili. Na amesoma ana Degree from IFM. hawa wanawake wa sasa ni Toleo lipi?mbona hawana akili?
Kama anataka fedha akafanye biashara!!kuliko maigizo ya kupendana!Na nikazima akuscan kwanza ili ajue uwezo wako wa kifedha.