Baadi ya wanawake kipindi hiki hawana akili

wengi wenye akili hawana shape zinazovutia, wamekaa ki wife material, wanaonekana washamba balaa..!! Ila haya maisha bhaana..!!πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahaa wanawake wote wapo sawa tu 🀣🀣, Sema hao shapeless wameona hawana soko ndo maana wakaamua ku invest ktk tabia na ubongo.

Chukua huyo,muweke ndani harafu kisha watokee wanaume kadhaa wanao msifia na kumtaka kwa nguvu zote, ataona eeeh! Kumbe nina lipa. Hapo utaona tabia zake zikifanana na hao wadada wa mjini.

Thamani ya mwanamke na tabia zake zinafuatana na jinsi wanaume wanavyo pishana kumtafuta..
 
Wanawake wa siku hz wana akili za kiakwuma sana
Usipkuwa makini watakufilisi. Ndio maana mm huwa najichukulia vicheche vya uswahilini sitaki matatizo.
 
Kuna wanawake toleo jipya aina 2, wee unazungumzia ipii?
Tuanzie hapo kwani, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hilo kweli tutusaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
W

Wewe ndo TUTUSA, unamuulizaje mwanamke swali kama hili? Ni wazi kuwa huna maamuzi ya kiume na hujui kusoma alama za nyakati.
Mwanamke huwa anacheza beat ya mwanaume, wewe kuuliza ili UJUZWE inamaanisha utacheza beat lake.
Hopeless!
Naona umekasirika for no apparent reason. Sijajua hili limekugusa vipi. But learn to take things easy and positively
 
Mkuu, alipoanza kusema tu havai chupi ulitakiwa ufute namba πŸ˜‚
 
Mademu wa kibongo wanasumbuliwa na ujinga na ndiyo maana Wanigeria wanawatumia vibaya sana huko mitaani na majuu kutokana na tamaa zao za kijinga
 
Daaah story ya kweli kabisa hii
 
Wewe ulimchelewesha hao ni kupiga na kukimbia
 
W

Wewe ndo TUTUSA, unamuulizaje mwanamke swali kama hili? Ni wazi kuwa huna maamuzi ya kiume na hujui kusoma alama za nyakati.
Mwanamke huwa anacheza beat ya mwanaume, wewe kuuliza ili UJUZWE inamaanisha utacheza beat lake.
Hopeless!
Huyo mwanamke alikuwa anamuomba hela ili jamaa imuume na yeye aombe kisha wageuke wapenzi automatically
 
Mkuu wewe ulitaka kuoa au kupigapiga huku una BUY time,kule kwetu TUTUSA ni ile mtu akikula kete zaidi ya nne kwenye mchezo wa draft,unakuwa umepigwa TUTUSA
 
Naona umekasirika for no apparent reason. Sijajua hili limekugusa vipi. But learn to take things easy and positively
"Kesho yake nikamuuliza. Anataka tuwe na uhusiano wa namna gani ili nijue mapema"

Sijakasirika bali nimekuweka bayana kuwa wewe ndiwe tutusa na si huyo mwanamke.
Next time soma alama za nyakati halafu amua kiume badala ya kuuliza maswali ya kike...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…