Baba adaiwa kumuua, kumzika mtoto wake wa miaka 5 porini

Kweli umri unaenda miaka kadhaa nyuma nilikua nalalamika matangazo ya kutaka waume yamezidi kututenga watu wa 20+ leo hii nasoma umri wa jamaa ndiyo nakumbuka huo ni umri wangu na ninagundua siwezi ua mwanangu kisa siwezi kumlea na ninagundua jamaa ametoa sababu ya kingese.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…