Baba anataka kunidhulumu Nyumba yangu. Kesi bado inanguruma Mahakamani

Huyo dingi niwakumtupa ndani kwanza akutane na wanyampala, yaani kuoa kwake mke mwingine ndio atake kuuza nyumba.
 
Mm namtaka yyule ambaye baba ake alimnyima mgao wa mauzo ya nyumba
 
Umetisha sana mkuu,nimecheka vibaya mno...kweli we tycoon wa fasihi. Naomba uwe unanitag hivi visa
 
Wengi tunapenda kuongozwa na hisia na mihemko.

Mtu akifuatilia vizuri huo mtiririko kuna kitu unafikisha ila naona wengi wanakushambulia wakati hata kesi bado haijafika tamati.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unajua mtu mzima ni hatari kuwa na akili ya ngedere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…