Baba anataka kunidhulumu Nyumba yangu. Kesi bado inanguruma Mahakamani

Hiyo kesi utapoteza nakwambia, ila kama ukiendelea kupanic hivyo, keshi iko upande wako ila baba yako kakuzidi akili sana,
Haileti maana kuwa hujui ukubwa wa kiwanja chako na pia hujui fundi alieijenga, ata kama ipite miaka 40 lazima fundi wa nyumba yako pendwa akumbukwe sio vitu vya kuuliza, na ata ipite mda gan huwezi kusahau kuwa umenunua nyumba hiyo kwa nani, yawezekana kweli kiwanja ni cha mzee tangu awali na ww ulifatilia hati na kumtumia mzee hella ya kujenga kidogokidogo na hukuhusika direct kujenga
Kuna vitu vingine havisahauliki
Mzee kakushinda akili na utulivu, watu wengi wanaopanic ndo huwa mnapoteza kesi na huyo mzee anaonekana kabisa ana haki yake pia

Ata mchanganuo uliotoa pia umebase upande wako tu na ili tukuonee huruma, upande wa pili hujasema
Na pia hujatueleza stori nzima imekuaje
We kilichokuuma ni kukosa milion40 na si kuhusu mzee kuoa, kuuza viwanja vyake ni atapata hella kubwa sana kulko hyo na kutoa mahari na wenda ata hujui katoa sh ngapi

Kuna jinsi ya kuishinda hyo keshi nikikueleza, ila wacha mpambane maana mzee pia inaonesha ana haki yake, mtoto wa miaka 22 huwez ukawa umenunua kiwanja
Ata mzee akileta watu ishirini na moja ndo mmiliki kabla hutaweza kumtambua
 

Nyie Wazee mnatudhulumu Vijana wenu.

Mimi sikubali
 
Nchi inachezewa mpaka na wanaoheshimika. Sote tumekubaliana tuichezee nchi yetu.
 
Mwenyezi Mungu anasema β€˜Waheshimu baba na mama upate…….,,
Hivyo hakunaga excuse yoyote ile kugombana na mzazi wako
 
Fundisho,
Vijana ukijenga jenga na usimruhusu ndugu kuishi wala kupanga, kwenye nyumba yako!
Utadumisha undugu hata kama ni kwa unafiki! Utaitwa majina yote kubali, Ila utakuwa na amani.
Kesi inafilisi kama kuuguza mgonjwa wa Cancer. Na makesi ya ardhi na familia ndiyo huisha mmoja akifa! Haziishagi
 


πŸ™πŸ™πŸ™
 
Tatizo liliyopo hapo Ni kwamba umejenga nyumba kwenye kiwanja Cha Baba yako,Kisha ukazunguka kukikatia hati,hesabu umeumia.
Siku hizi umehama mvomelo Morogoro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…