TANZIA Baba Askofu Jimbo Katoliki Tanga, Anthony Banzi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Muhimbili

TANZIA Baba Askofu Jimbo Katoliki Tanga, Anthony Banzi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Muhimbili

R. I. P Baba Askofu Banzi, upumzike kwa Amani
 
Raha ya milele umpe Ee Bwana, na mwanga milele umuangazie, askofu Banzi apumzike kwa amani. Amina.
 
Raha ya Milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umwangizie. Anthony Banzi apumzike wa Amani, Amina.
 
Duh..!!,hii disemba mbona kama inameza watu sana?
 
WanaJF nasikitika kuwaarifu kifo Cha Askofu Anthony Banzi wa Jimbo Katoliki Tanga kilichotokea Leo asubuhi katika hospitali ya muhimbili.

Tarehe ya mazishi itatangazwa hapo baadaye.
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie.
Chanzo Cha habari: padri Charles Kitima,.
Katibu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania
 
Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwataarifu kuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Tanga Anthony Banzi afariki Dunia alfajiri ya leo Muhimbili National Hospital. RIP Askofu Banzi.

Pumzika kwa Amani Baba Askofu Anthony Banzi

Raha ya milele umpe eeh BWANA Na mwanga wa milele umuangazie

Marehemu apate rehema kwa Mungu apumzike kwa Aman.

Amina

View attachment 1655041

Pia soma > Askofu Mhashamu Anthony Banzi: Tuwaheshimu marehemu, tusiwafunge kwenye viroba

View attachment 1655040
Rip!
 
Askofu anthony banzi amefariki leo muhimbili alipokua anapatiwa matibabu
EprY2MgXMAEujyr.jpeg
 
TANZIA zmekuwa nyingi sana aisee!
Mungu muweke mahali panapostahili
 
Back
Top Bottom