Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

Lakini huduma anatoa. Alafu Diamond sio kwamba atakuwa busy au namba moja milele Kuna kipindi mziki utamkataa na atakuwa karibu na watoto wake zaidi. Juma nature yule enzi zake alikuwa busy, sasa hivi yupo analea mtoto wake.
[emoji38][emoji38][emoji38]sir nature kibra analea sio
Diamond muda wa kuwalea watoto wake Ni Sasa kwasababu siku zijazo ataoa automatic atakuwa bize na mke na watoto wake wajao kwa mkewe. Wale wa sasahivi muda was ndo huu ukipita alafu akioa wale ndo imekula kwao ukaribu ndo utapungua zaidi
 
Unangalia na nature ya kazi sasa mondi ana show na sasa hivi yupo hot, unataka aache show akalee mtoto au dereva wa Lori ina maana utageuza ukampeleke mtoto hospitalini, wakati malezi ya mtoto yanategemea kazi yako, huu mondi ni wakati wake wakutengeneza hela.
 
Ampotezee vipi wakati hajawahi kuwa na ukaribu naye ?
Toa akili zako fupi hapa, wewe mwenyewe hujawahi kukosea Watu wanaokuzunguka?

Kila ulichowakosea walikuadhibu na kukataa kabisa kukusamehe?

Hivi kwanini wakati mwingine mnaropoka tu ilimradi muonekane mmechangia mada hata kama hamna hoja za msingi?
 
Hivi Majizo amezaa watoto wangapi na kwa wanawake wangapi na sasa hivi anajiandaa kumuoa Lulu, ina maana akimuoa Lulu ndio kapoteza upendo kwa watoto wake. Kiba kuzaa na wanawake watatu tofauti kaoa mwanamke mwengine ina maana kiba kapoteza upendo kwa watoto wake. Manake nakuona unatia ugumu upande wa Mondi, manake unavyo ongea utazani Mondi ndiye wa kwanza kufanya hivyo.
 
nasikia huruma sana, mara nyingi wazazi wakihitilafiana chuki hujengwa kwa watoto.huyu mzee aondoe malalamiko aendelee na maisha yake, kijana naamini ameumbwa iko siku tu mtaniambia kama ana roho ya kibinadamu atamkumbuka. mzazi ukizaa usitegemee mtoto atarudisha upendo au fadhira chapakazi mzee achana na malalamiko shida zipo kabiliana nazo mungu atakusaidia. je inakuwaje kama usingekuwa na mtoto wa hivyo ungelalamika kwa nani.komaa tunakuombea kwa mungu atakusaidia
 
Alafu majizo na kiba jinsi wanavyoishi na maex wake Ni tofauti na diamond, Diamond anaacha kwa kebehi na madharau hivi unadhani mtu Kama Hamisa amuachie mtoto akaishi kwa Diamond?
 
Alafu majizo na kiba jinsi wanavyoishi na maex wake Ni tofauti na diamond, Diamond anaacha kwa kebehi na madharau hivi unadhani mtu Kama Hamisa amuachie mtoto akaishi kwa Diamond?
Hivi ww unajua maex wa Kiba, Kiba anaishi nao vipi? Mwishoni wakati akielekea kuoa Kuna ex wake mmoja akalamika kiba hatoi hela ya matumizi na familia yao haimwangalii au unajua Majizo na maex wake wanaishi vipi au kwa kuwa unaona wapo kimya ndio unazani wapo shwari.
 
Hivi Anavyolalamika Mzee Wangu Hapo Kuhusu Utajiri Wa Mwanae Usiomnufaisha Kwa Chochote Niombe Kuuliza Je Ingetokea Mondi Asingekuwa Maarufu Wala Asingekuwa Tajiri Huyu Mzee Angemlalamikia Nan Au Angeishije Bila Kufanyiwa Interview Na Waandishi Wa Habari Km Wote?
 
Toa akili zako fupi hapa, wewe mwenyewe hujawahi kukosea Watu wanaokuzunguka?

Kila ulichowakosea walikuadhibu na kukataa kabisa kukusamehe?

Hivi kwanini wakati mwingine mnaropoka tu ilimradi muonekane mmechangia mada hata kama hamna hoja za msingi?
Wewe zwazwa nani kakuambia kuna mtu kakataliwa kusamehewa ???

Umetoka kula gambe unadandia train kwa mbele.
 
Walahi,sijui kwa nini nahisi dogo domo kalishwa maneno na lenyewe lilivyo puuzi kakubali,
Yaani baba mzaz anateseka hv wakati wa2 tunaombea hta baba zetu wafufuke no matter what happened km tuliwahi kukwaruzana.
Pumbavu kabisa diamond,SHAME ON YOU!!!
Yaani bhas tu,this is so stupid at its best, last time 2po nae mexcana diamond nltamani hta nimchane amalizana na babake sio eti baadae mzee arest n peace ndo wakatafute kiki msiban.
bigUp mrembo zu kwa kumtek care mzee,ila hii ishu sio poa kabisa,washauri wa domo mpeni good advise kwnye hili,wengine sisi ni wapenzi watazamaji.
 
Ww naye akili ka piliton hivi yeye ndo kawaita au wenyewe ndo wamemfata kumuhoji au ukitaka asifanye mahojiano. Punguani wa head ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…