kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Sasa kwanini hamlalamikii Darleen au yeye hajamkosea?Queen Darleen mwenyewe anamuita diamond baba unategemea ndo atamsaodia mzee?
Kifupi Ni kwamba siku mama diamond akiamua kumwambia diamond amsamehe baba yake atamsamehe.
Moyo utalaini bila nguvu Ni simple tu mama kuplay party yake
Kuna sababu siyo rahisi kijana amtelekeze hivi mzee wake anavyopenda sifa kwa jinsi anavyosemwa angekuwa ashamsaidia huenda kuna kitu huyu mzee alifanya kikamuumiza sana