Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Hehehe usikute na wewe ni sperm donor so sishangai.roho mbaya kama mkaanga sumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe usikute na wewe ni sperm donor so sishangai.roho mbaya kama mkaanga sumu
Wanaruhusiwa kubeba maiti.Wanawake wa Kiislam wanaruhusiwa kulibeba jeneza?
Ninavyofikiria mimi ni kwamba ...kaka yake aliplay ile baba role kuliko baba mzazi....tatizo ni tulivyoipokea ukiongeza na shigongo tena ndio balaa linazukaHuyo queen atasemaje baba yake ni Nasibu?? kua Nasibu ndio alilala na mama yake akazaliwa yeye??
Maneno mengine ni kufuru ila watu hawazingatii hilo maskini.
Hata huyo kaka yake wamejuana ukubwani huyo mzee wanajuana tangu utotoni... atamfananishaje Diamond ambae ni mdogo kwake na mzazi wake??Ninavyofikiria mimi ni kwamba ...kaka yake aliplay ile baba role kuliko baba mzazi....tatizo ni tulivyoipokea ukiongeza na shigongo tena ndio balaa linazuka
Aliposema Baba yake ni Nasibu wee umemtambua Nasibu yupi??Huyo queen atasemaje baba yake ni Nasibu?? kua Nasibu ndio alilala na mama yake akazaliwa yeye??
Maneno mengine ni kufuru ila watu hawazingatii hilo maskini.
Aliposema Bbake ni Nassibu ana maana ndio anaemtegemea kumsimamia kama baba na mtoto wa kiume ni sahihi tuHang over ya gongo ikikutoka kasome tena.
Pathetic.
Hang over ya matapu tapu ikikutoka nenda kasome tena.Aliposema Baba yake ni Nasibu wee umemtambua Nasibu yupi??
Hebu tuambie ktk familia yako wewe huna baba mwingine ispokuwa aliyelala na mamaako tu? Kwanini alale kwanza na mamaako ndipo awe babaako??
Mimi nilimuelewa sana tatizo situation iliyopo na kutoa maneno hayo ndio inafanya watu wamfungukie huyo bi mdada.Aliposema Bbake ni Nassibu ana maana ndio anaemtegemea kumsimamia kama baba na mtoto wa kiume ni sahihi tu