Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni kweli lakin uandishi wako jitaidi ueleweke vizuri
Labda ameshika kopo la chooni na smartphone huku anaandika akielekea chooni.Msamehe
Wewe hutumii kichwa..babako ni babako tu..hakuna replacement..kuzingua au kutokuzingua hayo mungu ndo anajua..yeye ampeleke hospital..how much does it cost!kama sio yeye huyo diamond angekuwepo duniani..dont talk that shit son..world is full of suprizes!kama alizingua kipindi hicho mwanae ni mtoto sasa kivipi alete lawama za kijinga Hili liwe fundisho ...Asisamehewe kabisa
Wewe hutumii kichwa..babako ni babako tu..hakuna replacement..kuzingua au kutokuzingua hayo mungu ndo anajua..yeye ampeleke hospital..how much does it cost!kama sio yeye huyo diamond angekuwepo duniani..dont talk that shit son..world is full of suprizes!
hakuna kusamehewa.....pumbavu kabisa.Sosad
kuelekea zari show. Babayake diamond ambae anaumwasana miguu ameshindwa hata kutembea ameomba mwanae amsamehe kamababa napia ameomba ajekumtembelea ampeleke hosp asisubir. Kufa
sisemi kwaubaya m nimmoja wanaojua maishayababanamama waliotengenaw ukweli aijalish ukolevel gani ugomvi wamamayako. Nababayako. Usiingilie. Hatasikumoja tafadhalini...
Narudiatena diamond akifaleobabayako hutopata. Babawakukodi
kilalakheri
Mkuu una point ila kwa nini unayaandika haya leo? Tena unaandika kabisa kulekea Zari Show???? Mambo ya kifamilia hayawezi kumalizwa namna hii!
Ametumwa huyu,maana anajua leo kuna ZARI show all in WHITES.
Acha zako hizo,
Acha majungu mleta mada.Tupe nasie mgao uliopewa wa kuharibu show ya mwenzio.
Sio kweli kwamba Diamond amemtupa baba yake namna hiyo na muwe mnafuatilia Tv shows anazohojiwa Diamond ndio mtajua..
Yule dogo muelewa sana,hayo ndio mambo yale ya kanumba na baba yake watu kuyakuza.
Baadhi ya watu wanatumia nafasi hiyo kukuza mambo,na wakitaka amsaidie baba yake akama navyomsaidia mama yake.Hilo haliwezekani hata kwenye Dini lazima mama awe na nafasi yake kubwa.
Na mbaya zaidi huyo Baba yake ana watoto wengine tele tofauti na Diamond,sasa hao ndio wanaokuza mambo haya.Maana wanajua dingi akipata mshiko kutoka kwa Diamond na wao wanaponea humohumo.na hata kama Diamond akimjengea nyumba ni kwamba lazima watoto wengine walianzishe.
Sasa mie naamini kwamba Diamond hafanyi ujinga huo wa kumtupa mzee wake,na wala yeye sio wa mwanzo kwa Mababa kufanya hivyo.Humuhumu JF tumo,lakini kwa vile umaarufu ndio yanatokea hayo.
Ujumbe tu ni kwamba mzee aridhike na anachosaidiwa,na hao wanaomshawishi aongee na Medias wana ajenda zao za siri.
Huyu mzee aliuza nyumba ya urithi Kariakoo zaidi ya milioni 200 kipindi hicho halafu akawa anaenda kumringishia mama ake diamond na magari ya kifahari ..