crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,207
Mimi nauliza swali nataka jawabu.
Mwanamke anakuwa na mume usiku wanafanya mambo ya baba na mama.
Baada ya wiki mbili mama anamwambia baba nina mimba..baba anatika nduki huku mapovu yakimtoka oooh hio sio yangu.
Haonekani tena.
Anampoteza kabisa mwamamke.
Mwana mke analea mimba
Anazaa
Analea mtoto
Ana msomesha kwa tabu
Baba hana habari wala mtoto hamjui
Mtoto anafanya yake
Anafanukiwa anatengeneza fedha
Ati Ndio li baba linakuja ooh mie baba ako...bulshit....
Suala kuwa baba ni kutia kumwaga sperm tu ndio una qualify kuitwa baba ?
Jee huyo ni baba au mtia mimba tu ?
Baba asie kuwa na wajibu sio baba na hastahili kuitwa baba.
Kutia mimba sada hivi unaweza kuwekwa kwenye maabara unawekwa sperm na unapata mimba...sasa yule mwenye sperm zake atakuja baadae aseme mie ni baba ako nisaidie ?
Mababa mna wajibu wa kulea watoto wenu.
Unapo fanya kama hivi wewe sio baba ni dada umekimbia wajibu wako kuwa baba
Mwanamke anakuwa na mume usiku wanafanya mambo ya baba na mama.
Baada ya wiki mbili mama anamwambia baba nina mimba..baba anatika nduki huku mapovu yakimtoka oooh hio sio yangu.
Haonekani tena.
Anampoteza kabisa mwamamke.
Mwana mke analea mimba
Anazaa
Analea mtoto
Ana msomesha kwa tabu
Baba hana habari wala mtoto hamjui
Mtoto anafanya yake
Anafanukiwa anatengeneza fedha
Ati Ndio li baba linakuja ooh mie baba ako...bulshit....
Suala kuwa baba ni kutia kumwaga sperm tu ndio una qualify kuitwa baba ?
Jee huyo ni baba au mtia mimba tu ?
Baba asie kuwa na wajibu sio baba na hastahili kuitwa baba.
Kutia mimba sada hivi unaweza kuwekwa kwenye maabara unawekwa sperm na unapata mimba...sasa yule mwenye sperm zake atakuja baadae aseme mie ni baba ako nisaidie ?
Mababa mna wajibu wa kulea watoto wenu.
Unapo fanya kama hivi wewe sio baba ni dada umekimbia wajibu wako kuwa baba