Baba, huwa unahudhuria Matukio yanayofanyika Shuleni kwa Mtoto wako au ndio kwa bahati mbaya?

Baba, huwa unahudhuria Matukio yanayofanyika Shuleni kwa Mtoto wako au ndio kwa bahati mbaya?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kwa wale tuliozaliwa Vizazi vya Zamani ilikuwa ni nadra sana kumuona Baba hata kwenye Vikao vya muhimu vya Wazazi. Mara nyingi kazi hii ilifanya na Mama na Baba aliletewa taarifa ya nini kimetokea

Wataalamu wa Malezi wanasema Watoto hujisikia Furaha sana pale Baba zao wanapohudhuria Matukio muhimu yanayofanyika Shuleni kwao na humuongezea Mtoto Uwezo wa Kujiamini na kujaribu Vitu vipya

Ewe Baba wa leo, huwa unashiriki kwenye Matukio ya Shuleni kwa Mtoto wako au Shule wanamjua Mama tu?
 
Huo muda naupata wapi? Weekdays kazini kuhangaikia ada yake. Weekends kupumzika na kwenda bar kujenga connection za kupata ada yake. Ataendelea kwenda mama ake au dada wa kazi.
 
Eeh huwa naenda kuna siku nlimsaidia hw kumbe tumekosea

Kitoto kibishi hiki kikasema ni baba alinisaidia

Mwalimu akamwambia wewe na baba yako wote Wajinga

Alooh nlienda pale shule nlibishana na yule mwalimu [emoji23][emoji23] yaani basi tu

Nkaanza na hili swali ndugu mwalimu unaijua collatz conjecture ?

Swalehe anafeli sana lile somo

Kikao cha sa hivi nkadai haki za mikate Swalehe ananiambia slesi nne sa hivi badala ya tano

Slesi moja imeenda wapi

Naandaa mkeka kabisa ntatengeneza na graphs kabisa za idadi ya watoto tujue mkate mmoja unaenda wapi

Na Swalehe desk mate wake alkua demu wa kihindi almkubali mwalimu akamhamisha demu nataka nkutane na huyo mzee wa kihindi
 
Kuna njia nyingi za kufanya haya mambo, sio lazima kuhudhuria matukio ya shuleni

Mzee alikuwa haji kwenye matukio lakini siku za kufunga anakuja kunichukua

Au muda mwingine tunaenda bar tunapiga stori

Alikuwa anajiongeza
 
Nakumbuka Mzee wangu hakuwahi kugusa kikao chochote cha Shule, Yani ile orodha ya majina ikipita always jina langu halipo pale kwenye list Hadi walimu wakazoea ile Hali, Mzee kipindi hicho alikuwa Yuko busy vibaya mno unamuona muda wa kula tu usiku na asubuhi inabidi umuwahi kweli Ili umsalimie na Wala sijui alikuwa anafanya kazi gani, nilikuja kujua Niko mkubwa kabisa lakini simlaumu ilibidi iwe vile. In short nilikuwa najiongoza mwenyewe lazima ww mwenyewe useme Mzee nataka nguo mpya, viatu vipya sijui hiki kimeisha, mitihani yote hakuna unaouliziwa, yy anataka ripoti mwisho wa term na ubaya ni kwamba ukiwa umefeli hahah aisee utajuta na usiposema mahitaji yako utabaki hivyohivyo hahah ukoloni mtupu...Mimi sitaki kuwa kama Mzee abadani, vijana lazima niwafutilie Kwa kina.
 
Nakumbuka Mzee wangu hakuwahi kugusa kikao chochote cha Shule, Yani ile orodha ya majina ikipita always jina langu halipo pale kwenye list Hadi walimu wakazoea ile Hali, Mzee kipindi hicho alikuwa Yuko busy vibaya mno unamuona muda wa kula tu usiku na asubuhi inabidi umuwahi kweli Ili umsalimie na Wala sijui alikuwa anafanya kazi gani, nilikuja kujua Niko mkubwa kabisa lakini simlaumu ilibidi iwe vile. In short nilikuwa najiongoza mwenyewe lazima ww mwenyewe useme Mzee nataka nguo mpya, viatu vipya sijui hiki kimeisha, mitihani yote hakuna unaouliziwa, yy anataka ripoti mwisho wa term na ubaya ni kwamba ukiwa umefeli hahah aisee utajuta na usiposema mahitaji yako utabaki hivyohivyo hahah ukoloni mtupu...Mimi sitaki kuwa kama Mzee abadani, vijana lazima niwafutilie Kwa kina.
Ukiwafatilia vijana pia wanasema ukoloni but mzazi unaweza Tenga mda kuongea na vijana ata kama ni late night just to get closer with them nao kufeel proud
 
Eeh huwa naenda kuna siku nlimsaidia hw kumbe tumekosea

Kitoto kibishi hiki kikasema ni baba alinisaidia

Mwalimu akamwambia wewe na baba yako wote Wajinga

Alooh nlienda pale shule nlibishana na yule mwalimu [emoji23][emoji23] yaani basi tu

Nkaanza na hili swali ndugu mwalimu unaijua collatz conjecture ?

Swalehe anafeli sana lile somo

Kikao cha sa hivi nkadai haki za mikate Swalehe ananiambia slesi nne sa hivi badala ya tano

Slesi moja imeenda wapi

Naandaa mkeka kabisa ntatengeneza na graphs kabisa za idadi ya watoto tujue mkate mmoja unaenda wapi

Na Swalehe desk mate wake alkua demu wa kihindi almkubali mwalimu akamhamisha demu nataka nkutane na huyo mzee wa kihindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi vikao vingi baba alikuwa anahudhuria . Yani mimi nilikuwa karibu sana na mzee wangu kuliko mama. Mpaka sasa nipo mbali nao ila baba ndio mzazi nampigia simu mara nyingi kuliko mama .
 
Ewe Baba wa leo, huwa unashiriki kwenye Matukio ya Shuleni kwa Mtoto wako au Shule wanamjua Mama tu?
Akina mama wameteka michakato yote. Kila tukio la shuleni mama ndiye anataka aende yeye
 
Kwa wale tuliozaliwa Vizazi vya Zamani ilikuwa ni nadra sana kumuona Baba hata kwenye Vikao vya muhimu vya Wazazi. Mara nyingi kazi hii ilifanya na Mama na Baba aliletewa taarifa ya nini kimetokea

Wataalamu wa Malezi wanasema Watoto hujisikia Furaha sana pale Baba zao wanapohudhuria Matukio muhimu yanayofanyika Shuleni kwao na humuongezea Mtoto Uwezo wa Kujiamini na kujaribu Vitu vipya

Ewe Baba wa leo, huwa unashiriki kwenye Matukio ya Shuleni kwa Mtoto wako au Shule wanamjua Mama tu?
Mimi mwaka wa pili huu ninampeleka shuleni boarding kila shule inapofunguliwa, nimehudhuria visiting days zote na mara zote nimempokea kituo cha basi kila alipofunga shule. Mama yake nimeacha apumzike, hiyo kazi ninaimudu
 
Eeh huwa naenda kuna siku nlimsaidia hw kumbe tumekosea

Kitoto kibishi hiki kikasema ni baba alinisaidia

Mwalimu akamwambia wewe na baba yako wote Wajinga

Alooh nlienda pale shule nlibishana na yule mwalimu [emoji23][emoji23] yaani basi tu

Nkaanza na hili swali ndugu mwalimu unaijua collatz conjecture ?

Swalehe anafeli sana lile somo

Kikao cha sa hivi nkadai haki za mikate Swalehe ananiambia slesi nne sa hivi badala ya tano

Slesi moja imeenda wapi

Naandaa mkeka kabisa ntatengeneza na graphs kabisa za idadi ya watoto tujue mkate mmoja unaenda wapi

Na Swalehe desk mate wake alkua demu wa kihindi almkubali mwalimu akamhamisha demu nataka nkutane na huyo mzee wa kihindi
Baba bulubendi katika ubora wako🤣
 
Back
Top Bottom