Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Acha akili za kindezi za kuwasemea wafu. Magufuli alishakufa na hayupo tena katika ulimwengu huu. Sisi tulio hai tupambane na hali zetu, hizo mikwara za wafu zibakie huko huko kuzimu. Hapa hatuzitaki.
Sawa kwakuwa wewe ndio ulie post na hayo maneno ni yako mwenyewe na Muomba Mungu akujibu ungali hai. Asante
 
Udini unakusumbua sana mkuu,hapa umezunguka tu,.kwanini usiwe busy na hamsini zako kuliko kila siku kuja kulialia humu.
Kuna mahali nimetaja dini ya mtu?
Kwani jana hapakuwa na viongozi wote wakidini na wahudhuriaji pia?
 
Ben saanane kauliwa na chadema ...ndiyo maana mbowe siku hizi umsikii akiongelea icho kifo wala kwenye makubaliano yake na samia ajathubutu kuongelea uchunguzi wa icho kifo ...chadema ilifanya ilo tukio ikishirikiana na maadui wa jpm walio ccm ili kumchafua JPM kimataifa huo ndiyo ukweli ...kama uamini mtafute mbowe mwambie kwanini "kifo" cha ben kakifumbia macho kwa sasa
Yule mwovu wa chato ndiye alimuua kwa mkono wake.
 
Jamani mtu akishakufa amekufa tu...

Tukumbuke kuwa appreciate watu wakiwa hai...
 
Wale wajuaji wa jamiiforums huwa wanakuja kushtuka wakiwa wamechelewa.

Nakumbuka tahadhari ya kifo cha membe ilitolewa wiki mbili kabla lakini wajuaji wa jamiiforums wakajitia ubishi mpaka KACHERO MBOBEZI kadedi kihasara.

Humu pamejaa mamburulaz na mavyeti feki, haya mambo ni magumu kuelewa.
Watu wengi wanasoma na ku comment kwa hisia wasijuwe kile wamekiandika.
 
Anawalea Maxence Melo . Nitashangaa sana kama hatawapa vyombo vya ulinzi na usalama taarifa za huyu kichaa ili at iwe nguvuni.
Magufuli aliwapandikiza hawa wajinga wengi wakajiona ndo wenye nchi hii kwa iyo wanafikiri hii ni nchi yao
Kwakosa gani hasa? Hata huyo Melo tulikuwa naye wakati serikali ikipambana naye. Tumekuwa watetezi na tumekuwa watu wa haki nakuthamini mchango wake. Soma mabandiko yangu kuhusu mwanzilishi wa jamiiforums navile chombo hiki kumekuwa nguvu yakufichua maovu ktk jamii.
Labda nikwambie mtoa mada hujuwi unakotoka na unapo kwenda ungejuwa usingetoa comment za kichochezi pasipo kusoma mada. Kiufupi wakati mwingine mada zangu zinafutwa na kamwe sijawahi lalamika kwangu ni poa na huu Uzi kama sio poa ufutwe ila nimeshatoka Yale yanakuja tokea.
Nilitoa tahadhari kwa JPM before he die hakuna mtu analalamika juu ya Hilo nikampa tahadhari Ben mpaka leo watu ukitoa comment wanasema wanataka Ben well basi na Lissu akawashitaki walio mshauri asiende Dodoma akaenda akakutana na risasasi kama vipi na familia ya membe ikashitaki watu walimuonya juu ya Musiba na akutana na msiba.
This is a country ukishauriwa sikia acha kujifanya mjanja Kuna wajanja kuliko wewe wametulia wala hawapost wala hawajibi wala hawana akaunti jamiiforums. End
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
 
Yule mwovu wa chato ndiye alimuua kwa mkono wake.
Una ushahidi? Tafadhali Katoe taarifa mahakamani. Ndio maana nikasema mnaelimu ndogo ya usalama kwamfano post kama hii inaweza kukutesa usjiwe nn ulifanya
 
Tumpongeze aliyofanya mazuri , changamoto zilikuwepo hasa wale zilizowakuta direct lakini ishapita vingine vinaumiza kama alivyotangulia kusema ndugu Matrix19 hapo juu.


Ishapita tumuache apumzike Mungu ndiye anayejua zaidi tupambane na haya yaliyopo kwa sasa, inapendeza kumkosoa mtu aliyeko hai ambaye ana weza kukujibu. Kuna vingine ngumu kusahau lakini hata uki expose haisaidii ishapita.
 
Legacy ya Magufuli ni mzigo mzito kwa hatima ya siasa za CCM na upinzani. Marehemu bila kijali alikua sahihi kiasi gani au alikua mbaya kiasi gani jambo moja bayana ni kwamba ana wafuasi watiifu ambao ni zaidi ya 50% ya wapiga kura kote nchini. Hii maana yake ni kwamba kumnanga hadharani hasa kwa uongo mwingi ni kebehi kwa watu wake ambao hakika utakutana nao tu
 
Nilitoa tahadhari kwa JPM before he die hakuna mtu analalamika juu ya Hilo nikampa tahadhari Ben.

Boss,
Kwanini huwa unaijua mipango ya matukio
yanayohusisha vifo? Kwann wewe ndo utoe tahadhari za vifo?

Umeshawahi sikia hadithi ya diwani mwizi na paka?

" Palikuwa na diwani mwizi wa kuku ndani ya kijiji, diwani huyu alifuga paka kwa siri, kila alipoiba kuku alimwacha paka bandani ambaye baadae hukimbilia nyumbani kwa diwani, wanakijiji siku zote humtafuta paka huko porini wamuue ila paka yule yupo kafichwa ndani na diwani, Diwani ndiye huongoza misako ya paka mwizi pori kwa pori"

Sasa isije kuwa unatuongoza kumsaka paka pori kwa pori ila wanakijiji wamehisi kuna tatizo ndo maana unaulizwa ulizwa kuhusu Ben.
 
Wale wajuaji wa jamiiforums huwa wanakuja kushtuka wakiwa wamechelewa.

Nakumbuka tahadhari ya kifo cha membe ilitolewa wiki mbili kabla lakini wajuaji wa jamiiforums wakajitia ubishi mpaka KACHERO MBOBEZI kadedi kihasara.

Humu pamejaa mamburulaz na mavyeti feki, haya mambo ni magumu kuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una ushahidi? Tafadhali Katoe taarifa mahakamani. Ndio maana nikasema mnaelimu ndogo ya usalama kwamfano post kama hii inaweza kukutesa usjiwe nn ulifanya
Usinitishe. Enzi za giza za kutishana ziliondoka na yule fascist wenu. Ujue na wewe hujui unasema niende Mahakamani kwa utaratibu gani wa.kisheria za nchi hii?
 
Back
Top Bottom