Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

Kwakosa gani hasa? Hata huyo Melo tulikuwa naye wakati serikali ikipambana naye. Tumekuwa watetezi na tumekuwa watu wa haki nakuthamini mchango wake. Soma mabandiko yangu kuhusu mwanzilishi wa jamiiforums navile chombo hiki kumekuwa nguvu yakufichua maovu ktk jamii.
Labda nikwambie mtoa mada hujuwi unakotoka na unapo kwenda ungejuwa usingetoa comment za kichochezi pasipo kusoma mada. Kiufupi wakati mwingine mada zangu zinafutwa na kamwe sijawahi lalamika kwangu ni poa na huu Uzi kama sio poa ufutwe ila nimeshatoka Yale yanakuja tokea.
Nilitoa tahadhari kwa JPM before he die hakuna mtu analalamika juu ya Hilo nikampa tahadhari Ben mpaka leo watu ukitoa comment wanasema wanataka Ben well basi na Lissu akawashitaki walio mshauri asiende Dodoma akaenda akakutana na risasasi kama vipi na familia ya membe ikashitaki watu walimuonya juu ya Musiba na akutana na msiba.
This is a country ukishauriwa sikia acha kujifanya mjanja Kuna wajanja kuliko wewe wametulia wala hawapost wala hawajibi wala hawana akaunti jamiiforums. End
Kuna vitu vinashangaza pale watu wanapokumbushwa na kusisitizwa kusoma na kuyatafakari mambo kwa kina ila huleta kebehi. Huyu mtu hata kama ana ubaya unaosemwa, vipi tahadhari aziletazo kwanini kuipuuza!? Mara ngapi tahadhari zake zimekuja kuwa kweli harafu ushupaze tu shingo kuwa huyu ni mbaya? Hivi mtu ukiamini ni mbaya na anauwezo wa kukufanyia ubaya ila anakuonya kwanza, busara ni kumkimbia ubaya usikupate au kushupaza tu then ubaya ukukute!? Bahati mbaya ni kuwa ubaya ukikupata tutaishia kusema na kumsema mbaya ila za zaidi hakuna.
TUSIMPUUZE HUYU MTU.
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Kwanza naunga mkono yote uliyosema hapa, naomba nami kupitia hapa niongeze machache kuhusu mapungufu ya tukio la jana...
Moja, Hivi ni kwa nini hakukuwepo watoto wetu yaani wanafunzi wa shule na vyuo, tena pengine ilitakiwa wawepo kuanzia wale pre nursery..kwa sabab ikulu ni urithi wao na si wa hao walioalikana, tunashindwa kuonyesha thamani ya uwepo wa watoto wa Taifa hili kwa nini lakini..kuna faida gani kumualika Mpoto na Bella ili hali kila leo tunawaona na wanayosema wala si mageni masikioni mwetu, wangealikwa wanafunzi shule hata 3 tu wakaimba nyimbo nzuri kwa niaba ya wenzao ingeleta furaha, baraka na faraja, watoto mahali popote wana nafasi ya pekee, hata penye mifarakano watoto huleta mapatano..kama tunawatoa watoto kwenye matukio muhimu kama la jana, hivi ni wapi tena tunaweza kuwafundisha kupenda taifa lao, kujitegemea, utii, kupenda vitu vya kwetu nk, wapi??
Tatizo kubwa la wasaidizi wa viongozi kwanza ni mentality ya anasa, pili uchovu wa akili na ulevi wa kuaminiwa! Mambo mengi sana wanatukosea tena mara kwa mara..hivi kuna mzazi huwa anahangaika wakati wa sherehe za kiimani kuandaa mavazi, chakula, mapambo kwa ajili ya wageni halafu watoto wako wachafu, hawajaandaliwa kushiriki pasaka au idd, ndio hivyo kweli? wageni wanaojitambua wakikuta hali ya namna hiyo watatoa udhuru wa kuondoka mapema wakuachie hayo yote uliyoandaa utumie peke yako! Sababu utakuwa umekosea pakubwa mno! Watoto wanapaswa kuwa waalikwa namba moja!
Kuonyesha uungwana waandaji mtutake radhi tafadhali, sisi hatutoi kodi yetu zitumike kufadhili anasa za watu wazima kama sisi!
Jambo la pili, Mh. Rais alisema itajengwa complex ikulu hadi viwanja vya gofu, hivi jamani kwa nini tuna fikiria sana burudani kuliko kazi? Ikulu ni sehem ya kazi, hayo mengine yote ya nini? Tuna uhakika gani baada ya miaka 40 ijayo watakaokuwepo watatumia? Haina haja kabisa, hivyo ilivyo inatosha, madam nafasi ipo ya kutosha, huko mbele kama wataona hayo ni ya maana wataweka wao, hata mzazi anapojenga nyumba huweka vile vitu vya msingi tu, siku hayupo yule atakayerithi akiona anayotaka yeye yanakosekana ataweka yeye ili pia awe na uchungu wa kutunza, ukiweka kila kitu unaweza jikuta unapoteza nguvu, muda na rasilimali bure sabab siku haupo hakuna atayetumia tena, sasa si bora nguvu ulizotumia ungetoa sadaka zisaidie wahitaji..tusiweke mbele sana mtazamo wa kuonyesha ufahari hata kama haihitajiki..TUJIREKEBISHE!
 
Nyinyi wapuuzi mlio mpinga jpm leo mnajidai kumkubali ...mkiambiwa wahuni wa ili taifa wanatakiwa kuuwawa mnasema ni udikteta... ila jpm alikuwa mpole sana huyu mzee wa msoga alitakiwa kuuliwa mapema sana tena sana ...lakini haya yote yametokea kwa manufaa ya kufungua akili za watz ambao wengiwao ni waoumbavu sana vichwani ili wajue tz anatakiwa rais wa namna gani.
Kama kuna mtu mpumbavu niliyewahi kukutana nae hapa jamii forums wewe ni namba moja! nani aliyekwambia kutokukubaliana na mtu ni kumpinga?kuna binadamu ambae amekamilika?pita hivi...
 
Boss,
Kwanini huwa unaijua mipango ya matukio
yanayohusisha vifo? Kwann wewe ndo utoe tahadhari za vifo?

Umeshawahi sikia hadithi ya diwani mwizi na paka?

" Palikuwa na diwani mwizi wa kuku ndani ya kijiji, diwani huyu alifuga paka kwa siri, kila alipoiba kuku alimwacha paka bandani ambaye baadae hukimbilia nyumbani kwa diwani, wanakijiji siku zote humtafuta paka huko porini wamuue ila paka yule yupo kafichwa ndani na diwani, Diwani ndiye huongoza misako ya paka mwizi pori kwa pori"

Sasa isije kuwa unatuongoza kumsaka paka pori kwa pori ila wanakijiji wamehisi kuna tatizo ndo maana unaulizwa ulizwa kuhusu Ben.
šŸ˜Šā‰ļø
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Usinitishe. Enzi za giza za kutishana ziliondoka na yule fascist wenu. Ujue na wewe hujui unasema niende Mahakamani kwa utaratibu gani wa.kisheria za nchi hii?
Hadithi ya nyoka alie angukiwa na msumeno sijuwi kama umewahi kusoma. Punguza jazba ktk kuujuwa ukweli. Nasoma mabandiko yako naona kama nyoka alie amua jiviringisha kwenye msumeno ulio muangukia akafa kwa hasira zake.
 
Kwakosa gani hasa? Hata huyo Melo tulikuwa naye wakati serikali ikipambana naye. Tumekuwa watetezi na tumekuwa watu wa haki nakuthamini mchango wake. Soma mabandiko yangu kuhusu mwanzilishi wa jamiiforums navile chombo hiki kumekuwa nguvu yakufichua maovu ktk jamii.
Labda nikwambie mtoa mada hujuwi unakotoka na unapo kwenda ungejuwa usingetoa comment za kichochezi pasipo kusoma mada. Kiufupi wakati mwingine mada zangu zinafutwa na kamwe sijawahi lalamika kwangu ni poa na huu Uzi kama sio poa ufutwe ila nimeshatoka Yale yanakuja tokea.
Nilitoa tahadhari kwa JPM before he die hakuna mtu analalamika juu ya Hilo nikampa tahadhari Ben mpaka leo watu ukitoa comment wanasema wanataka Ben well basi na Lissu akawashitaki walio mshauri asiende Dodoma akaenda akakutana na risasasi kama vipi na familia ya membe ikashitaki watu walimuonya juu ya Musiba na akutana na msiba.
This is a country ukishauriwa sikia acha kujifanya mjanja Kuna wajanja kuliko wewe wametulia wala hawapost wala hawajibi wala hawana akaunti jamiiforums. End
Vipi kuhusu Ben Saanane, Mzee alimfanya nini?
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa[emoji24][emoji850]. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret [emoji850][emoji24][emoji850]. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Kaunda ni Baba wa Taifa wa Zambia ambapo hapa Tanzania Baba wa Taifa ni Nyerere.
 
Namba nne nasema namba 4
20220202_104305.jpg
 
Moyo umesinjaa kwa kile nimekiona leo ktk ufunguzi wa Majengo ya ikulu Dodoma.

Nawaza najiuliza na sipati majibu. Nimeenda mbali zaidi nikasema hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona watu wa siri mlishimdwa hata wauliza Mashekh juu ya elimu Dunia? Mh nadhani Kuna jambo serikali na chama wanalitafuta na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Hilo kwa kosa dogo sana. Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa" msemo ambao kinadharia ktk kiswahili chetu alie tumia msemo huu alitumia kuutweza utu wa mtu akijuwa kabisa maana ya neno hili sio vile aliwaza au aliteleza nani ajuwaye ila wakati utajibu.

Ndugu zangu wana ccm wachache naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito kama ule mziki uliwakuta watu wa Zambia dhidi ya Kaunda. Sitaki kusema wala kuongea sana ila Zambia kaunda aliwatoa kamasi tena wakati akiwa hai sio amekufa.

Sitaki kuandika sana ila Chiluba alipo shika Nchi akaona yeye ndio Rais. Na kazi ni moja kufukua makaburi pasipo kukumbuka Mzee wa watu ame pambana sana kuifikisha Zambia pale ilifika wakamsweka ndani. Hayati Baba wa Taifa akaenda kumtoa kwa amri moja tu Chiluba mtoe huyo Mzee ndani. Mwisho wakunukuu. Sote tunajuwa Chiluba yalio mkuta na Yale yali ikuta Zambia baada ya mchezo wa hatari waliucheza.

Zambia ilikuwa haipoi mpaka pale waliposhituka nakuanza mpa heshima yake Mzee Kaunda ndipo Zambia ilipoa na maisha yakaendelea. Hakuna kiongozi alimgusa Kaunda alitoboa😭🤐. Nenda kasome History.

Naona dhambi ile ile walifanya wana siasa wa Zambia sasa CCM mnaifanya tena kwa kada mwenzenu mkijuwa kabisa what is the top secret 🤐😭🤐. Hongereni mmeweza.
Mmeachia watu tena makada wamseme vibaya na kumsuta usiku na mchana ila nyuma ya pazia mnaujuwa ukweli tena ukweli mchungu. Mbaya mnahangaika kumfuta hata ktk kazi amezifanya kwa ujasiri na moyo wa Imani kwa Taifa lake. Dam,machozi na kifo chake mnacho kuona kuwa ni sherehe nataka niwahakikishie juwa halito chomoza kabla hajasikia jogoo akilia mara tatu kama sio nne na mtakapo kumbuka itakuwa imekwisha.

Nawakumbusha chuki na maneno ya Hila kuidhoofisha nyota ya Rais huyu vitakuwa huzuni na mateso kwa chama maana hajafa na kamwe hamuwezi kumzika maana ameifia Imani ya chama chake kama kweli tulitaka mtu atakae nyoosha barabara.

Angalieni alama za nyakati, angalie aina ya nyakati tunaishi mkatubu na kumuomba radhi akiwa bado hajagairi Taifa hili mtaliacha na ukiwa. Ona kile kina enda tokea siku sio nyingi. Ona kile kinaenda wakumba wale wamedhani unaweza taka jina la mtu na kumkebei just amekufa hakuna wakumfanya kitu.

Mpoto umeimba wimbo mzuri ila umeifuta history ya Magufuli wewe Mpoto soma hii thread utajuwa hujuwi kumbe hata wewe? JPM anasema Asante

Msemaji wa Ikulu nimeona video nzuri ya ujenzi wa ikulu na history yake ila umefunga macho nakufunika Ukweli hukumtaja Magufuli hata sehem moja JPM anasema hajafa mawe na Ardhi ya Dodoma mahali ikulu ilijengwa yatajitangaza yenyewe wakati upepo unavuna ila Wewe jiulize Nani atakutangaza.

Mzee JK kweli Mzee wangu kweli hata wewe umesema serikali ya awamu ya Tano hukumtaja Magufuli. JPM anasema Asante sana yupo anaangalia mwisho utakavyokua.

Mh Mpango najuwa huzuni na mengi yalikupata ukasema hili nifahari yenu wa Tanzania. JPM anasema Asante ila anakukumbusha usisahau kile alikwambia ktk vikao. Yeye yupo anaangalia kile kinaendelea anasema usijali anakuombea malaika wa Mungu wakulinde.

JPM hajafa anashukuru kwa yote Mke wake alimuakilisha anasema Mama Janet uwe na moyo mkuu maana baada ya Maria Nyerere wewe ndio utakuwa Maria Nyerere wa kizazi cha sasa. Anasema usiogope na uzidi kumuomba Mungu na Yeye anakuombea. Amen.

Mh Baba Pengo nashukuru kwa kuitetea Imani nakukataa dhuluma juu ya haki. JPM anashukuru kwa kusimamia ukweli na hata kumtembelea kwenye nyumba yake ya milele. Anasema amefarijika sana. Anasema hata kama leo hamkuwepo ila amewaelewa na ana amani kubwa sana.

JPM anawakumbusha wa Tz kuwa bado hamjamkumbuka ila mtamkumbuka kwa machozi na maombolezo na vilio siku zijazo na ndipo mtakumbuka maneno yake. JPM anasema msihangaike kumtetea ila atajitetea na Mungu wake. Leo hakuongea ila mawe yataongea na watu wenye napenzi mema na Taifa wataongea wapo walio hata Susa kwenda kufungua ila anasema watashindana na wanadam ila sio Mungu. Hakuomba kufa mapema ila Mungu alimpenda zaid kazi kwao wanao mnanga na kumsuta je wataondokaje maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Katibu Mwenezi na Itaki mpya wa CCM Komredi pcm kama msemaji wa chama mwenye uthubutu na baada ya kutembelea Chato na Butiama ukapewa baraka za uongozi wito wa wananchi wa Tanzania kipenzi cha JPM wnnataka uchunguzi wa kifo chake cha utata tena wanasema kama utanyamazishwa kwa sababu zozote kusudio lao halitakufa hadi kizazi cha nne kwa kuwa watuhumuiwa wapo mitaani

Ujumbe ukufikie Komredi @ Paul Christian Makonda #KifotatachaJPM
 
Katibu Mwenezi na Itaki mpya wa CCM Komredi pcm kama msemaji wa chama mwenye uthubutu na baada ya kutembelea Chato na Butiama ukapewa baraka za uongozi wito wa wananchi wa Tanzania kipenzi cha JPM wnnataka uchunguzi wa kifo chake cha utata tena wanasema kama utanyamazishwa kwa sababu zozote kusudio lao halitakufa hadi kizazi cha nne kwa kuwa watuhumuiwa wapo mitaani

Ujumbe ukufikie Komredi @ Paul Christian Makonda #KifotatachaJPM
Kweli kabisa
 
Nawaza najiuliza na sipati majibu hata kama hatuamini juu ya uwepo wa Dunia nyingine tusio iyona juu ya elimu Dunia na JPM ndio anaenda kukamilisha jambo Kudhani Alisha lala na kwakuwa amelala "wema hawafi ila wabaya wanakufa"

Ndugu zangu wana ccm naomba niwakumbushe jambo JPM hajafa JPM amelala na siku zijazo mziki utakuwa mzito maana yeye ameumaliza mwendo kwa amani. Amen.
Mkuu TumainiEl , naunga mkono hoja,
JPM yupo Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
P
 
John Pombe Magufuli aliishi, anaishi na ataendelea kuishi, japo mwili wake upo ardhini. Viongozi wengine waliishi na kisha wakafariki mwili, roho na fikra.

Hayati Rais John Pombe Magufuli ,tunakukumbuka sana, kwa sababu ya uadilifu, ukweli kwa nafsi yako, upendo wako wa kweli kwa Taifa lako.

Kama walivyo wanadamu wote, pamoja na mengi mazuri uliyoyatenda, yawezekana kuna mahali ulipungukiwa,kama alivyowahi kunena Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere;-

"Tulifanya mazuri lakini tulifanya makosa pia. Tusifanye makosa, sisi ni malaika?"

Mungu wetu, uliye tajiri wa msamaha, pale mtumishi wako alipopujgukiwa, umjalie John Pombe Joseph Magufuli msamaha kamili ili naye awe miongoni mwa watakatifu wako, wanaoizunguka meza yako, wakikusujudia na kukusifu usiku na mchana, na sala zake zikalete baraka kwa Taifa la Tanzania alilolipenda bila hila bali kwa moyo uliokamili usio na unafiki. Tunaomba uliepusha Taifa lako dhidi ya viongozi wanafiki na walaghai wanotaka waliongoze Taifa lako kwa hila, uwongo, vitisho na ulaghai. Huo uovu waufanyao, ukawe adhabu yao ya Duniani na Mbinguni.
 
Remembering Ben Saa nane..
Magufuli hakuwahi kumjua Ben Saanane,hata ungemuuliza Ben Saanane ni nani hasingemjua sembuse kupotea kwake,Kubenea aliandika kwenye gazeti la Mwanahalisi kwamba Ben Saanane yupo anadunda mtaani,anaonekana kwenye vibanda vya kahawa,akasema uwa anakuja kumwekea ujumbe chini ya mlango wa nyumba yake,Hilda Newton aliandika kwenye account yake alisema Ben Saanane ametumwa na Mbowe kwenda Afrika kusini,sasa sijui wahuni wanamwingiza vipi Rais Magufuli,wapo wanasema eti Ben Saanane alihoji PhD ya Magufuli,sasa niulizie je UDSM ilitoa PhD feki?
 
Back
Top Bottom