Baba Levo: Huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya Ualimu

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.

Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.

Una maoni gani?
 
Hata kwenye siasa pia ikiwa Si Mwizi.
 
Misguided missile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…