Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwa kifupi huwezi kua tajitiri kwa kuajiriwa...
Huo ndiyo ukweli sweetheart
Daaahhh! Kuajiriwa utumwa au hahaha.Huo ndiyo ukweli sweetheart
Hata kwenye siasa pia ikiwa Si Mwizi.Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.
Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.
Una maoni gani?View attachment 3004709
Hapana bali unamsaidia binadamu mwenzako kuyafikia malengo yake...Daaahhh! Kuajiriwa utumwa au hahaha.
Nami nilitamani kuuliza hivyo!Kwani utajiri ni nini?
Misguided missileMtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.
Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.
Una maoni gani?View attachment 3004709
Na walioajiriwa na serekare je🤔🤔??Hapana bali unamsaidia binadamu mwenzako kuyafikia malengo yake...
Ni maskini wakubwa mpaka labda waibe....Na walioajiriwa na serekare je🤔🤔??