Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa ππππππππ!Ni maskini wakubwa mpaka labda waibe....
Jua Kavu imepenyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaa ππππππππ!Ni maskini wakubwa mpaka labda waibe....
Dah..Halafu nani amemwambia huyo mtangazaji kuwa walimu Wana ndoto za kuwa matajiri?
Ndoto ya mwalimu ni kuona mwanafunzi anakuwa Rais, engineer, mfanyabiashara, mkulima Bora nk nk
Ni Kweli, KAZI za ualimu ni ya kujitolea ukisukumwa na Upendo,Dah..
Mbona unawasingizia walimu!
Ualimu ni kazi sio wito kama zamani...Ni Kweli, KAZI za ualimu ni ya kujitolea ukisukumwa na Upendo,
Utauza nini shuleni Ili utajirike? Chaki ama nini!!
Huwezi kutajirika Kwa kulipwa mshahara.Ualimu ni kazi sio wito kama zamani...
Walimu wanastahili kulipwa vizuri ili watajirike kupitia mishahara yao...
TAtizo mnasoma habari kwa juu juu itafute interview nzima ndoutaelewa alichokuwa anamaanisha simtetei lakini kwa fact alizotoa yuko sahihi zama youtube itafute utaelewaVyama vya walimu walitakiwa kutoa karipio kwa udhalilishaji walio fanyiwa walimu wetu hata kama siyo matajiri hayo ni mambo yao binafsi kwani nchii hii walimu wetu pekee ndiyo masikini? WCB wanapaswa kuwaomba radhi walimu wetu. Huyo anijiita sijuwi baba levo akili zake hazipo sawa ni mwanaume mropokaji. Kama ni muandishi wa habari kweli kuna mambo mengi sana kwenye jamii ya kufatilia na kuzungumzia. Angekuwa na akili azungumzie Tatizo la rushwa kwenye jamii na siyo maisha binafsi ya watu.Watoto wangu wanasoma shule za kata walimu wakigoma ntawapeleka wapi aache ujinga.
Hata marubani wa Tanzania sio matajiri,labda alien's waje kutusaidiaYupo sahihi,lakini ndo maisha tukiwa wote Marubani nani atakua abilia
Sasa kwa nini siku zote alikuwa hasemi kama yeye ndiye Mpwayungu?Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.
Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.
Una maoni gani?View attachment 3004709
Mbona TRA,BOT,TANAPA wafanyakazi wanatajirika mkuuHuwezi kutajirika Kwa kulipwa mshahara.
Labda ufungue shule zako utajiri walimu, utoze ada kubwa, hapo sawa!!
Hawatajiriki Kwa mshahara, ni waizi, narudia ni wezi.Mbona TRA,BOT,TANAPA wafanyakazi wanatajirika mkuu