Baba Levo: Huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya Ualimu

Baba Levo: Huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya Ualimu

Waache ujinga sio ualimu tu ajira yoyote bila kujiongeza hautoboi .selikalini ili utoboe lazima uwe mwizi na huo ndio ukweli.kwenye ualimu hakuna marupurupu yoyote labda usimamizi wa mitihani tofauti na hapo ni njaa.
 
Kwani utajiri ni nini?
Yaani yeye amedefine mtu kujenga ghorofa ndiyo utajiri!
Utajiri ni uwezo wa kuwa na kipato endelevu hata mtu husika akiacha kufanya kazi aliyokuwa akiifanya.
Walimu wanahudumia wategemezi na maskini. Kipato cha mtu hushabihiana na hali ya kiuchumi ya wale anaowahudumia.
 
Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.

Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.

Una maoni gani?View attachment 3004709
Kwa hiyo anataka watu wote wawe CHAWA kama yeye! Halafu kipimo cha utajiri kwa upande wake ni kipi?
 
Mtangazaji wa kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi Fm, Baba Levo amenukuliwa akisema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya ualimu kwasababu kazi hiyo ni ya kipato cha chini sana kwenye mishahara na posho zao ni ndogo.

Kujenga hata nyumba ya kisasa kwa kazi ya ualimu ni changamoto sana sahau kuhusu utajiri, aliongeza Baba Levo.

Una maoni gani?View attachment 3004709
Walimu wana fursa nyingi sana, aache mawazo mgando. Huyu kaka huwa sijui namwonaje...
 
Huyu jamaa haishiwi na kuropoka.
Hivi haoni kama hiyo statement yake ina athari kwa jamii kulingana na mapokeo tofauti!?
Pia naona utajiri kau define vibaya.
Wapo walimu matajiri,akamuulizie Saliboko aliyeanza kuwa mwalimu mkuu wa Yemeni schools akaja kuishia kujenga shule yake Daarul Arqam,ameshafariki Mungu amrehemu.
Hata kama kauli yake ina ukweli lkn bado ina athari kwa jamii na kizazi kijacho. Mfano, ule wimbo wa Kali P - 'imekaa vibaya' mwisho wa wimbo anamalizia kusema 'sijui kesho nitaamka mapema .... Kuanzia Leo sio Polisi tena'. Media siku hizi huo mstari wa wimbo wanauminya / wanaupotezea.
 
Back
Top Bottom