shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Waache ujinga sio ualimu tu ajira yoyote bila kujiongeza hautoboi .selikalini ili utoboe lazima uwe mwizi na huo ndio ukweli.kwenye ualimu hakuna marupurupu yoyote labda usimamizi wa mitihani tofauti na hapo ni njaa.