Baba mkwe hataki nihame kwake

Baba mkwe hataki nihame kwake

Shida ya jamii forums ni kwamba kila unachokiandika na kukipublish kiko katika kumbukumbu.
Ni vyema ukarejelea maandiko yako ya awali kama kumbukumbu zako si nzuri.




UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU NA UKIWA MSAHAULIFU USIWE MUONGO
 
Wataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.

Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.

Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"

Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.

Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.

Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
Kwa hiyo umejianika hapa ili tukusaidieje?
au tukusaidie kureppeal kmmk au?

Mna taabu sana underage
 
Wataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.

Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.

Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"

Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.

Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.

Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
We jamaa JAU sana...yaani unamtukana baba mkwe wako kwenye mitandao?Pambana una viungo vyote usiishi kwa kutegemea mshahara.Kama ni kweli baba yako mtu wa system,atakuwa amekusoma IQ yako ndogo,hujiongezi na mambo yako ya kukurupuka kurupuka.Sasa unaleta hiyo issue kwetu sisi tukushauri nini.Kaa chin shauriana na mkeo.Wakat mnatongozana sisi hatukuwa tunawapiga chabo.
 
Aiseee nimecheka sana comments za humu

Ila dumb professor kaamua achekeshe watu tu
 
Back
Top Bottom