Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Huyu ni mgonjwa wa akili kumsaidia labda kumpeleka mirembe akatibiwe kama mfuko wako unakuruhusu.jWewe ndo ulisema ni mwalimu wa chuo kikuu? Unasema unataka uibe kitanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mgonjwa wa akili kumsaidia labda kumpeleka mirembe akatibiwe kama mfuko wako unakuruhusu.jWewe ndo ulisema ni mwalimu wa chuo kikuu? Unasema unataka uibe kitanda?
Kwaiyo kufundisha UDSM ndo directly unakuwa don? Unajua mshahara wa lecture wewe??Wewe si ulisema unafundisha UDSM? Kumbe ni masikini fukara choka mbaya! I seeee! Jamii Forums inaficha mengi!
😂😂😂😂😂Wewe ndo ulisema ni mwalimu wa chuo kikuu? Unasema unataka uibe kitanda?
Kwa sbb ni muongo hivyo watu wanapewa tahadhari. Baadae unaweza ona wameweka 'taperi sugu'Mbona imewekewa Tetesi?
Kumbe ni wa kike wote 😄 🤣Anataka mpaka mpate waume muolewe ndo awaruhusu mkakae kwenu na waume zenu.
Sasa kweli kuna wa kiume anaweza oa akakaa kwa mkwewe? Hamna.Kumbe ni wa kike wote 😄 🤣
Haiwezekani labda kama na yeye kaolewa hapo na mtoto wa mzeeSasa kweli kuna wa kiume anaweza oa akakaa kwa mkwewe? Hamna.
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo umejianika hapa ili tukusaidieje?Wataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.
Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.
Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"
Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.
Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.
Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
We jamaa JAU sana...yaani unamtukana baba mkwe wako kwenye mitandao?Pambana una viungo vyote usiishi kwa kutegemea mshahara.Kama ni kweli baba yako mtu wa system,atakuwa amekusoma IQ yako ndogo,hujiongezi na mambo yako ya kukurupuka kurupuka.Sasa unaleta hiyo issue kwetu sisi tukushauri nini.Kaa chin shauriana na mkeo.Wakat mnatongozana sisi hatukuwa tunawapiga chabo.Wataalam,
Huyu baba mkwe jau kichizi, anazingua kinasti.
Jana nilimtonya mpango wangu wa kutafuta ghetto nihame kwake mshahara ukitoka tu, akaja juu sana.
Eti anasema "ooh unafanya hivyo Kwasababu ya ile ishu ya luku?, unataka utengeneze picha kwa Binti yangu kuwa ninakufukuza? Ww kaa hapo Kila huduma unapata unataka kwenda wapi?"
Kawa mkali sana na amesisitiza sana nisiondoke, mpaka nimeanza kuhisi anamuogopa sana Binti yake,huenda ndo ndago yake.
Mpaka nmeanza kuunganisha matukio ya zamani, Yani Kila kitu Binti asemacho huyu mshua anafanya.
Sasa Mimi plan yangu ni kwamba mshahara ukitoka tu, mi natoroka hapa, nitaiba Kitanda na godoro tu vingine vyote ntawaachia yeye na binti yake, sitaki mchezo Mimi.
Liwalo na liwe, siogopi Cha usalama wa Taifa wala usalama wa nini kmmk.
Ndo ipo hivyo. Mwanaume asingeweza kuja andika huu uzi.Haiwezekani labda kama na yeye kaolewa hapo na mtoto wa mzee
Embu peleka upumbavu wako huko wanakokufiragaYeah mkuu, màana mshahara wa mwezi huu mil2 haitoshi kulipa Kodi, kununua Tv,fridge vyombo jiko na hapo hapo ibaki ya Kitanda na godoro. Vingine inabidi nijiongeze
Ni hatari Kwa kweli , huyu tumchukulie kashaleft groupNdo ipo hivyo. Mwanaume asingeweza kuja andika huu uzi.