Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

Sijui Kama niko nyuma ya dunia hii wakuu lakini kwa Mimi mtu anaeitwa mke wangu sitegemei kuona ule upuuzi, niko selective sana.. Yaani ile namuandaa ili nimpige mambo nashangaa anaanza kunyonya Dushe, then anataka nimromance nilishindwa kwa kweli nikahisi huyu kashalamba madushe mengi, ile nataka kuchomeka ananiambia hapana nimnyonye papuchi yake kwanza..nikampiga jicho akatulia.

Na mambo mengine ambayo unaona kabisa haya ya kimalayamalaya, tangu niwe nae sijawahi hata kumromance nahisi kinyaa sana....Mimi Niko selective sana kwenye haya masuala ya mahusiano yaani nataka kila kiungo kifanye kazi yake na kiingie sehemu yake sahihi hapo tupigane style zote na si vinginevyo japo mapenzi ni zaidi ya uchafu lakini Mimi hapana aisee... hizi habari za kuchokoana chokoana na kusikochokonoleka Mimi sikuwezi...tangu kipindi hicho niko nae mpaka leo lakini sitarajii kumuoa japo kwa mawazo yake anaamini mimi ndio mume wake

Hapa Niko nje ya nchi na nikirudi huko nyumbani kwetu na kwao washajiandaa ili taratibu zingine za kuwa pamoja zifanyike, Nawaonea huruma sana maana hawajui nawaza nini, hawataamini kabisa nitakachokifanya...Nawapelekea jina jipya ambalo hata hawalijui na sitopoteza mda naoa haijalishi atakubalika au hakubaliki.. huyo wa kwao kwa Sasa siwezi hata kumromance.
Una umri gani? naona romance na selective ume yarudia sana kwenye uzi wako!! ila mimi naona kuna haya machache huyajui...

Kwanza inaonyesha hujiamini.

Pili inaonyesha unamuogopa mke wako (na kama ungekua humuogopi hukua na haja ya kuandika uzi hapa ungem face na kumwambia mawazo yako juu ya nini unapenda na nini hupendi)

Tatu uko kama hujiamini na una muogopa mkeo mtarajiwa basi jua bado huna sifa za kuwa mume wa mtu.
 
Sasa unataka umuache kwa kosa lipi au ndio umeshapata huyo wasio mjua jina wazazi wako kama ulivyoandika hapo mwishoni, maana kama wewe ni msomi na mwenzio msomi so mnajielewa, hivyo si vitu tu vya kukaa na kuzungumza kwamba unataka nn ,nn hutaki, na yey anataka nini, nini hataki, kwa pamoja mkafikia muafaka kwamba muuendelee ama laa, na sio kuja huku kutupiga blaa blaaa za nnje ya nchi wakati hata nnje ya nyumba hutoki[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Tabia zake kwenye mgegedo na muonekano wake ni tofauti...unajua watu tunatofautiana katika mahitaji hasa haya ya kingono..binafsi huwezi kuninyonya Dushe halafu nikuromance..
Kwahyo anatakiwa akapige mseaki kwanza njo aje aku rom sio ss kwann usiwe unamwambia

Maana kama ni hvyo hurnda aliekua nae before ww alimfanyia yote hayo ndo maana akahisi na ww utakua mfuasi
 
Mkuu achana nae huyo siyo mke huyo ni kiburudisho tu tuachie na sisi tujiburudishe ila kuowa tuwaowe wale wenye nidham katika kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una umri gani? naona romance na selective ume yarudia sana kwenye uzi wako!! ila mimi naona kuna haya machache huyajui...

Kwanza inaonyesha hujiamini.

Pili inaonyesha unamuogopa mke wako (na kama ungekua humuogopi hukua na haja ya kuandika uzi hapa ungem face na kumwambia mawazo yako juu ya nini unapenda na nini hupendi)

Tatu uko kama hujiamini na una muogopa mkeo mtarajiwa basi jua bado huna sifa za kuwa mume wa mtu.
Sawa mkuu haha lakini punguza hasira unaweza ukajua namaanisha nini
 
Kwahiyo unaona sifa maandalizi yanaendelea lakini plan yako ni kumpiga chini? Kwanini usiwasiliane na Ndugu zako hizo taratibu zisitishwe?
Huoni kama ni bora kuumiza huyo binti kwa kumpiga chini mapema kuliko kuja kuiumiza familia nzima wameshafanya kila kitu ndio unakuja na jina la mtu meingine?
Hata uandishi wako ni wa kisifa sifa flani hivi kusikotumia ufahamu.

Kama huna mpango nae sitisha mapema hizo taratibu zinazoendelea mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ningekuona una busara kama ungekuwa na wazo la kusitisha hayo maandalizi, itakuwekea heshima kiasi flani kuliko kusubiri dakika ya mwisho!
Pata picha Dada ako angekuwa anafanyiwa hivyo ungejisikiaje aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
KIONGOZI, kwanza sijawahi kusema popote kwamba sisi ni wapenzi lakini maisha yetu kila siku yamefanya ndugu wajue hilo, upande wake aliwaambia...Sasa familia zimekutana bila hata kunishirikisha zinapanga nikirudi ufanyike utaratibu wa kufunga ndoa...ndio binti ananiambia ambacho baba yake anatarajia kufanya.

That's why nasubiri nirudi ili nisitishe maana haziwezi kufanyika nikiwa sipo
 
Back
Top Bottom