Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

Goddess soma hii reply yako..
Mm nmemaanisha mbele bro huyo alichokiongea mm sijakifatilia

Nmemaanisha baada ya kuwekwa pending muda mrefu ungekuta bado mwali ila nifananisha na kauli ya mwenzangu kua break ni balls ndo maana nikasema hukukuta ulichotarajia kwamba si mwali
 
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote wanajua lazma tutaoana.

Nilikutana na huyu mrembo mwaka 2013, Yes ni zaidi ya mzuri..mrembo haswa na hata aliponiambia misimamo yake ya kutokumgusa kwanza ilibidi niheshimu maana kipindi hicho tulikuwa masomoni, nikawa nagonga nje japo kwa heshima sana asiiue pale ninapojisikia.

Sasa bwana mwaka 2017, tulirudi wote likizo na baada ya mda Mimi nikapanga kwenda Rwanda kutembea aliposikia na yeye akataka aungane na Mimi, kwa vile kwao walikuwa wananifahamu Wala hawakusita kumruhusu..na hapa ndio ikawa mara ya kwanza kushiriki nae ngono tukiwa Rwanda na hapa ndipo alipoanza kunikinai kabisa pamoja na uzuri wake.

Sijui Kama niko nyuma ya dunia hii wakuu lakini kwa Mimi mtu anaeitwa mke wangu sitegemei kuona ule upuuzi, niko selective sana.. Yaani ile namuandaa ili nimpige mambo nashangaa anaanza kunyonya Dushe, then anataka nimromance nilishindwa kwa kweli nikahisi huyu kashalamba madushe mengi, ile nataka kuchomeka ananiambia hapana nimnyonye papuchi yake kwanza..nikampiga jicho akatulia.

Na mambo mengine ambayo unaona kabisa haya ya kimalayamalaya, tangu niwe nae sijawahi hata kumromance nahisi kinyaa sana....Mimi Niko selective sana kwenye haya masuala ya mahusiano yaani nataka kila kiungo kifanye kazi yake na kiingie sehemu yake sahihi hapo tupigane style zote na si vinginevyo japo mapenzi ni zaidi ya uchafu lakini Mimi hapana aisee... hizi habari za kuchokoana chokoana na kusikochokonoleka Mimi sikuwezi...tangu kipindi hicho niko nae mpaka leo lakini sitarajii kumuoa japo kwa mawazo yake anaamini mimi ndio mume wake

Hapa Niko nje ya nchi na nikirudi huko nyumbani kwetu na kwao washajiandaa ili taratibu zingine za kuwa pamoja zifanyike, Nawaonea huruma sana maana hawajui nawaza nini, hawataamini kabisa nitakachokifanya...Nawapelekea jina jipya ambalo hata hawalijui na sitopoteza mda naoa haijalishi atakubalika au hakubaliki.. huyo wa kwao kwa Sasa siwezi hata kumromance.

Baba Mkwe hizo zawadi nazosikia unatangaza kuzitoa, subiri utampa mwingine.
Haya uliyoyaandika hapa unapaswa umwambie huyo mpenzi wako, ukija kufanya kama surprise utakuwa hujafanya vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nmemaanisha mbele bro huyo alichokiongea mm sijakifatilia

Nmemaanisha baada ya kuwekwa pending muda mrefu ungekuta bado mwali ila nifananisha na kauli ya mwenzangu kua break ni balls ndo maana nikasema hukukuta ulichotarajia kwamba si mwali
Sawa mdada nimekuelewa
 
umezunga sn kuwa muwazi kama unaitaji msaada?ulimkuta keshaliwa? ulimpiga jicho umesema ?sijalewa yaani analiwa jicho?ebu kuwa muwazi kijana na punguza mihemko kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kuoa unatakiwa kutumia akili na sio hisia, we wa wapi wewe?!
 
Ukisika kufanya ujinga ndio huo sasa....... Dada zetu wanachaguaga washenz sana...... C umwambie mapema kuliko kutia wazazi wake aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani niliwahi kujitambulisha kwao mkuu? Yaani lifestyle yetu lilifanya ndugu na wazazi wangu wakajua uhusiano, nadhani kwao aliwaambia Sasa Hawa wazazi wakajuana nao wakatengeneza urafiki...sasa wamekaa wamefikia muafaka kwamba nikirudi taratibu za kuwa pamoja na huyo binti zifanyike...
 
Dah mnaishi kizungu sana kama familia zinaweza kukutana kupanga mahali na mipango ya harusi bila kukutaarifu na hujui chochote unasikia tu? Hiyo Kali sana aise
KIONGOZI, kwanza sijawahi kusema popote kwamba sisi ni wapenzi lakini maisha yetu kila siku yamefanya ndugu wajue hilo, upande wake aliwaambia...Sasa familia zimekutana bila hata kunishirikisha zinapanga nikirudi ufanyike utaratibu wa kufunga ndoa...ndio binti ananiambia ambacho baba yake anatarajia kufanya.

That's why nasubiri nirudi ili nisitishe maana haziwezi kufanyika nikiwa sipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom