Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Wee fala "UTATOMBEWA" mke.
 
urithi atapata mzee akifa, sio sasaivi msimsumbue. binafsi mabinti zangu nikija kuwa mzee mstaafu kama nawapa nyumba au zawadi yeyote nitahakikisha nimeandika na jina lake binafsi kwenye nyaraka, la mwanaume wake sitahitaji hata kulisikia, yeye kama ni mwanaume akatafute huko, na hawatajua kama niliwapa hadi siku nikiwa nimeenda mbinguni. kuna mzee moja actually yeye ana pesa nyingi, alimwita kijana wake mwaka jana kama anamfanyia sapraizi ivi, dogo akajikuta anaonyeshwa bonge la lodge/guest house mkoa fulani hivi, dingi kamwambia hii ya kwako hangaika nayo. huyo nii mwanaume, ila angekuwa mwanamke kama ni mimi namwambia tu awe mlinzi bila yeye kujua kama kwenye nyaraka nimemwandika yeye. sitaki mali zangu aje ale mwanaume wa binti yangu, ajibembeleze kwake sio awe sharobaro anayelelewa na pesa zangu.
Mkuu sisi kwenye kabila let mtoto wakike hapati urithi, wanaogawiwa urithi ni watoto wakiume, nieleweke hapo Mtoto wakike hapati urithi.
 
Mfundishe akamfyekelee mbali. Ni nani alikueleza kuwa pesa ya kiinua mgongo anayolipwa mstaafu ni ya kugawana na familia? Ni ya kwake. Akikupa hata shilingi mia ni mapenzi yake. Hata urithi hana sababu ya kumrithisha mtu yoyote. Anaweza akauza nyumba akahamia kokote kuishi. Jengeni nyumba yenu na tafuteni pesa zenu. Kumbe ulioa kwa lengo la kupata mgawo wa mafao ya baba mkwe. Sorry sana kwako.
Mkuj kwani yeye si ana Baba yake kwanini asiende kurithi kwao.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Wewe jamaa ndiyo hauko sawa. Kwani wewe ni mwanaume maslahi? Ulimuoa huyo mwanamke ili ufaidike kiuchumi kutoka kwa baba yake? Tafuta hela zako ujenge maisha yenu acha ubwege.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Wewe Baba Yako alikupa urithi huo?? Mimi nilishakuambia mpata utakapo hama Kwa Dada Yako ndiyo akili zako zinakuwa sawa
 
Wewe jamaa ndiyo hauko sawa. Kwani wewe ni mwanaume maslahi? Ulimuoa huyo mwanamke ili ufaidike kiuchumi kutoka kwa baba yake? Tafuta hela zako ujenge maisha yenu acha ubwege.
Jamaaa ni mjinga sana ,,hivi vitoto vilivyo zaliwa miaka ya 2013 vina shida sana ya Akili
 
Anatakiwa ashee na mtoto wake pesa amepata nyingi sana. Yeye umri umeenda sasa amalize kisha ategemee akizeeka sisi tumwangalie. Ndo atasoma namba sasa.
Hata akimpatia hizo pesa huwezi msaidia. Umesema wewe ni msomi, mpe mbinu hizo pesa zisiishe zote ili baadae asijekuwa mzigo. Furahia baba mkwe anajimudu unakuwa na nafasi ya pesa yako kuifanyia mambo ya muhimu kwa faida ya familia yako
 
Mwisho wa siku atakufa tu na mrithi ni mkeo. Na tamaa zako zote leo, akifa mkeo je?
Sikutegemea ila kama upo kwa nini mke asipewe akafie mbele?tufanye mambo ya msingi maana huyu mzee atakuja kutaka kuja kulelewa hapo baadaye tusije laumiana tu.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Yaani wewe ni kiwavijeshi kweli,au dumuzi,huna akili hata kidogo na hiyo elimu unayojivunia haijakuelimisha.
Tumia akili yako kutafuta vyako,acha ujinga wa kuwaza visivyo vyako.
 
Back
Top Bottom