Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Mimi Tanga Muheza.unasemaje?acha ubaguzi wa kikabila dogo. Baba yangu amenipa ilimu ndo maana nipo hapa na nataka tumua ilimu kusaidia na wengin

Mimi Tanga Muheza.unasemaje?acha ubaguzi wa kikabila dogo. Baba yangu amenipa ilimu ndo maana nipo hapa na nataka tumua ilimu kusaidia na wengine
Tatzo ushanifahamisha, endelea kukomaa
 
Sasa kama unampenda mkeo hizo habari za kutolea macho urithi unazitoa wapi?

Angekuwa hana baba usingemuoa?
Sasa angekuwa hana si angekuwa hana? Mi nazungumzia anaye. Mbona una reason kwa kitu ambacho ni cha kufikirika? Mi na reason kisayansi. KUWA ANAYE BABA. NA MTREAT KAMA MTU ALIYE NA BABA. AKIWA HANA ATAKUWA HANA. PERIOD.
 
Sasa angekuwa hana si angekuwa hana? Mi nazungumzia anaye. Mbona una reason kwa kitu ambacho ni cha kufikirika? Mi na reason kisayansi. KUWA ANAYE BABA. NA MTREAT KAMA MTU ALIYE NA BABA. AKIWA HANA ATAKUWA HANA. PERIOD.
Mbona kama unamlazimisha baba ambaye hataki kumpa urithi binti yake ampe huo urithi?

Unataka kumpangia mtu ampe urithi binti yake wakati mwenyewe hataki? Tena kabla hata hajafa?

Tafuta chako, acha kutolea macho vya wenzako kwa kutaka urithi.
 
Mbona kama unamlazimisha baba ambaye hataki kumpa urithi binti yake ampe huo urithi?

Unataka kumpangia mtu ampe urithi binti yake wakati mwenyewe hataki? Tena kabla hata hajafa?

Tafuta chako, acha kutolea macho vya wenzako kwa kutaka urithi.
Nimetafuta changu. Kwani huyu binti mke si wangu? Si ndo changu hicho? Unadhani huyu mzee akizeeka atalelewa na nani?
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Inaonekana ulimuoa Uyo dada watu kimkakati
 
Nimetafuta changu. Kwani huyu binti mke si wangu? Si ndo changu hicho? Unadhani huyu mzee akizeeka atalelewa na nani?
Hataki kutoa urithi, tafuta mali zako. Mke si mali.

Kwa mwendo huo unaweza kumuua baba mkwe ili upate urithi tu.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
IMG-20240306-WA0003.jpg
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Unatia aibu we kijana. Pambana uwe na vyako!!!
 
Leo nitawafundisha nini maana ya mshipa wa aibu na jinsi unavyofanya kazi.
Huu ni mshipa wa nadharia uliounganishika na common sense. Umuhimu wa mshipa huu husaidia kutovuka mipaka na kuonekana mtu wa ajabu.

Mshipa huu ukikatika ndio unaona mtu anafanya vitu ambavyo binadamu mwenye uelewa wa kawaida hawezi kuvifanya ikiwepo kutolea macho mali za baba mkwe.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
We keng%÷¬^ee kwelikweli.. Huko kwa baba yako vipi hakuna mirarhi? Mzee kesha kusoma muda mrefu poyoyo. Eti una elimu kubwa 😭😭😭
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Kufika mbali kwa elimu yako kubwa ungeanza wewe bila kutegemea pesa na mali za baba mkwe. Yani kama ungeshafika mbali bila shaka angekuita umshauri maana anaona umefika mbali. Sasa wewe upo upo unategemea mali zake utamshauri nini.
 
Back
Top Bottom