MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Hili tumelipokea tunakwenda kulifanyia kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Tanga Muheza.unasemaje?acha ubaguzi wa kikabila dogo. Baba yangu amenipa ilimu ndo maana nipo hapa na nataka tumua ilimu kusaidia na wengin
Tatzo ushanifahamisha, endelea kukomaaMimi Tanga Muheza.unasemaje?acha ubaguzi wa kikabila dogo. Baba yangu amenipa ilimu ndo maana nipo hapa na nataka tumua ilimu kusaidia na wengine
Sasa kama unampenda mkeo hizo habari za kutolea macho urithi unazitoa wapi?Nampenda na ndo maana nimemuowa
Sasa angekuwa hana si angekuwa hana? Mi nazungumzia anaye. Mbona una reason kwa kitu ambacho ni cha kufikirika? Mi na reason kisayansi. KUWA ANAYE BABA. NA MTREAT KAMA MTU ALIYE NA BABA. AKIWA HANA ATAKUWA HANA. PERIOD.Sasa kama unampenda mkeo hizo habari za kutolea macho urithi unazitoa wapi?
Angekuwa hana baba usingemuoa?
Mbona kama unamlazimisha baba ambaye hataki kumpa urithi binti yake ampe huo urithi?Sasa angekuwa hana si angekuwa hana? Mi nazungumzia anaye. Mbona una reason kwa kitu ambacho ni cha kufikirika? Mi na reason kisayansi. KUWA ANAYE BABA. NA MTREAT KAMA MTU ALIYE NA BABA. AKIWA HANA ATAKUWA HANA. PERIOD.
Nimetafuta changu. Kwani huyu binti mke si wangu? Si ndo changu hicho? Unadhani huyu mzee akizeeka atalelewa na nani?Mbona kama unamlazimisha baba ambaye hataki kumpa urithi binti yake ampe huo urithi?
Unataka kumpangia mtu ampe urithi binti yake wakati mwenyewe hataki? Tena kabla hata hajafa?
Tafuta chako, acha kutolea macho vya wenzako kwa kutaka urithi.
Thread ifungwe.Tafuta mali zako achana na mali za mkwe.
Inaonekana ulimuoa Uyo dada watu kimkakatiHuyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.
Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.
Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Hataki kutoa urithi, tafuta mali zako. Mke si mali.Nimetafuta changu. Kwani huyu binti mke si wangu? Si ndo changu hicho? Unadhani huyu mzee akizeeka atalelewa na nani?
Kila mtu anaowa au kuolewa kimkakati dada yangu. Asikudanganye mtu kuwa hakuna mkakati atakuwa hana akili.Inaonekana ulimuoa Uyo dada watu kimkakati
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.
Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
Mwanaume wa hovyo sanaSi mpaka afe inatakiwa tuanze kufanyia mkazi mapema siyo kusubilia uzeeeni. Hali kidogo mimi kwangu imeyumba sina pesa kwa sasa sina kazi na yeye mukwe uwezoa anao sana tu
Mbona Sasa wewe ndo huna akili...unatoleaje jicho Mali za mkweoKila mtu anaowa au kuolewa kimkakati dada yangu. Asikudanganye mtu kuwa hakuna mkakati atakuwa hana akili.
Unadhani akizeeka au akiumwa nani atamwangalia? Uwe unawaza kwa akiliMbona Sasa wewe ndo huna akili...unatoleaje jicho Mali za mkweo
Hapo nikukomoana Sasa,tafuta kwa jasho man.vya ganda vina maneno maneno hasa bila mmi asingetoboa inaumaaaaa.....Akiishiwa au kuzeeka asije kutaka msaada kila mtu atakula alipopeleka mboga.
Unatia aibu we kijana. Pambana uwe na vyako!!!Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.
Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.
Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
We keng%÷¬^ee kwelikweli.. Huko kwa baba yako vipi hakuna mirarhi? Mzee kesha kusoma muda mrefu poyoyo. Eti una elimu kubwa 😭😭😭Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.
Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.
Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
Kufika mbali kwa elimu yako kubwa ungeanza wewe bila kutegemea pesa na mali za baba mkwe. Yani kama ungeshafika mbali bila shaka angekuita umshauri maana anaona umefika mbali. Sasa wewe upo upo unategemea mali zake utamshauri nini.Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.
Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.
Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.
Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.