Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Hata mkwe hajafa jamani mnataka urithi hatari sana hii.
Si mpaka afe inatakiwa tuanze kufanyia mkazi mapema siyo kusubilia uzeeeni. Hali kidogo mimi kwangu imeyumba sina pesa kwa sasa sina kazi na yeye mukwe uwezoa anao sana tu
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Umezingua mwamba 🤔🤔🤔
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Inaonekana baba mkwe wako ndo mwenye elimu kubwa kuliko wewe. Inabidi akushauri wewe na si vinginevyo!
 
Wavivu wengi siku hizi huamua kuoa watoto wanaotoka sehemu njema bila kujali kama wanawapenda au la. Hii ni moja ya sababu ndoa hazidumu. Wewe badala ya kutafuta mali na mkeo ... umetoa mijicho kwenye mali za baba mkwe! yaani unatamani babamkwe afwe kesho.... ulioa kwa kutamani vya babamkwe.... looool aibu kwako! Na Mungu aishivyo... hafi ng'oooooo utasota sana
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Mkuu umeamua kuleta kichekesho na jua lote hili.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Mfundishe akamfyekelee mbali. Ni nani alikueleza kuwa pesa ya kiinua mgongo anayolipwa mstaafu ni ya kugawana na familia? Ni ya kwake. Akikupa hata shilingi mia ni mapenzi yake. Hata urithi hana sababu ya kumrithisha mtu yoyote. Anaweza akauza nyumba akahamia kokote kuishi. Jengeni nyumba yenu na tafuteni pesa zenu. Kumbe ulioa kwa lengo la kupata mgawo wa mafao ya baba mkwe. Sorry sana kwako.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
umasikini wa akili ni mbaya sana. yaani unatamani mali ya baba mkwe
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Maniner naona boda boda umemzamisha mtoto wa kishua kisa mali
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Na bado unamarinda au wameshayatoa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
aisee wewe jamaa ni lipumbavu sana ningekuwa nakujua ningekula shaba.... wanaake wanaolewa na watu wajinga sana
 
We kweli huna akili unapoelekea inaonekana utamshawishi mwanamke amuue mzazi wake ili arithi mali ili zije kukunufaisha wewe kwa kifupi wewe ni shaitwani wa kijini
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Punguza dhiki mkuu,mmesomeshwa mtafute za kwenu,yeye acha atafute dogo dogo wa kula naye bia
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Mali ni zake sio zako kwa hiyo usimpangie matumizi please!! Kuna siku utamtuma akumuwekee sumu.. Nakuapia hata ukizipata hizo mali zitapotea zote..
 
Oyaa rudisha mb zangu,mimi nikajua umeandika kitu cha mana kumbe ni takataka tu
 
Mwambie mke wako na yeye afanye kazi kwa bidii ili akistaafu ale mafao yake kwa uhuru na amani tele. Aache tabia yake mbaya ya kuvizia mali za urithi.
Huyu jamaaa anatakiwa kujua mali ya baba sio ya mtoto hata siku moja. Anaweza kuamua akauza kila kitu
 
Back
Top Bottom