Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuri hata kiakili na mipango na elimu kubwa ninayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo. Naona kimya tu miaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauri baba yake amgawie urithi mapema watu tuyajenge mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauri wa kitaalamu na sisi wenye uelewa na elimu kubwa anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Angetumia vizuri elimu yangu angefika mbali sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki sasa sijui anataka akae zote yeye ili iweje. Simwelewi kabisa.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Ningejifunza matusi, nigekuita ms[emoji19]nge. Sema tu ndio nimeokoka.
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
urithi atapata mzee akifa, sio sasaivi msimsumbue. binafsi mabinti zangu nikija kuwa mzee mstaafu kama nawapa nyumba au zawadi yeyote nitahakikisha nimeandika na jina lake binafsi kwenye nyaraka, la mwanaume wake sitahitaji hata kulisikia, yeye kama ni mwanaume akatafute huko, na hawatajua kama niliwapa hadi siku nikiwa nimeenda mbinguni. kuna mzee moja actually yeye ana pesa nyingi, alimwita kijana wake mwaka jana kama anamfanyia sapraizi ivi, dogo akajikuta anaonyeshwa bonge la lodge/guest house mkoa fulani hivi, dingi kamwambia hii ya kwako hangaika nayo. huyo nii mwanaume, ila angekuwa mwanamke kama ni mimi namwambia tu awe mlinzi bila yeye kujua kama kwenye nyaraka nimemwandika yeye. sitaki mali zangu aje ale mwanaume wa binti yangu, ajibembeleze kwake sio awe sharobaro anayelelewa na pesa zangu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyu mke wangu ni mtoto pekee kwao. Ilitokea akanipenda sababu mimi nipo vizuli hata kiakili na miapango na elimu kubwa nibayo.

Nikaona nimuwowe. Sasa baba yake kastaafu nilitegemea basi amgawie mwanaye pesa kidogo.... Naona kimya tu moaka sasa. Mtoto mwenyewe mmoja tu anaye. Sasa na juzi namwambia amshauei baba yake amgawie urithi mapema. Kaenda mwambia mzee wake kawa mkali.

Yaani anapewa ushauei qa kitaalamu na sisi wenye uelewa nq elimu anakuwa mbogo. Sijui ana shida gani huyu mzee. Hovyo sana.

Mpaka leo hajashare pesa yake ya kiiunua mgongo na bintiye. Haya basi mpe nyumba moja ya urithi nayo hataki. Simwelewi kabisa.
Mwambie mke wako na yeye afanye kazi kwa bidii ili akistaafu ale mafao yake kwa uhuru na amani tele. Aache tabia yake mbaya ya kuvizia mali za urithi.
 
Umenikumbusha jambo. Nina mtoto(Binti) wa mjomba wangu alikuwa anaishi Dar hapo akapata kamchumba kake siku moja akanipigia kunitambulisha, tukaongea mengi Sana na shemeji ila sehemu ambapo niliona mdogo wangu ashajichanganya ni baada ya huyo mchumba wake kuniomba nimshauri mjomba wangu ampe Mali Binti yake ili waweze kuziendeleza Kwa pamoja. Baada ya kukata simu nikampigia huyo Binti kesho yake bila kupepesa maneno nikamwambia hapo hakuna mume mdogo wangu. Alimtetea Sana lakini ndani ya mwaka tu alipata matokeo. Kilichotokea ni mimba, vipigo, mshikaji kachomoa pesa za Binti benki na kuuzia vitu vya thamani gheto akasepa. Jamn hamna mzazi asiye na uchungu na mwanae ila kunabaadhi Huwa wanataka kwanza waone juhudi binafsi then watoe support
 
Back
Top Bottom