MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Ndiyo.Ndio mama wa Mungu? [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo.Ndio mama wa Mungu? [emoji1787]
Suala hapa sio Siasa, ni MANTIKIUsilete siasa ndani ya kanisa! Papa ni mrithi wa kiti cha Petro hivyo ana mamlaka kamili ndani ya kanisa la Kristu. Mamlaka ya teuzi yanabaki kwenye kiti cha Mtume Petro, Wajibu wa waumini ni kujibidiisha kwenye imani zaidi sio kwenye siasa.
Umemjibu vizuri sana 🤣🤣🤣Mwamba unahaha sana na imani za watu..!! Haya kuna siku umewahi piga kura kumchagua mkuu wa mkoa? Au mkuu wa wilaya??Au mkurugenzi? Hujawahi, je! hakuna demokrasia?
Kujibu amejibu na mimi nikamjibuUmemjibu vizuri sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jingine, kwenye kufuata amri za Mungu kuna demokrasia?Suala hapa sio Siasa, ni MANTIKI
Hapo hakuna Demokrasia
Kumheshimu Mama Maria kuna shida gani?Sasa hii ni sahihi kwa akili na ufahamu wako?
View attachment 2786433
Unaweza kuweka Amri zote 10 za Mungu hapa, unioneshe mnaiyoifuata namimi nikuoneshe msizozifuata?Jingine, kwenye kufuata amri za Mungu kuna demokrasia?
Hapana, tatizo kuchonga sanamu yake na kuisujudiaKumheshimu Mama Maria kuna shida gani?
Mama aliyemzaa mnayemuita mkombozi? Yaani wewe ni Mkristu alafu hauheshimu namna huyo Kristu alivyokuja duniani[emoji3] Sasa wewe ni wa Kristu kweli kama haumuheshimu Mama wa Yesu?
Demokrasia ndiyo upuuzi gani?Suala hapa sio Siasa, ni MANTIKI
Hapo hakuna Demokrasia
Kama Demokrasia ni Upuuzi kwanini yeye Papa anapigiwa kura kidemokrasiaDemokrasia ndiyo upuuzi gani?
Mungu angeendekeza demokrasia nadhani leo shetani angekuwa na mbingu yake, Na pangekuwa na Miungu mingi [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hiyo fimbo inayobebwa bungeni / Siwa inapoinamiwa pale inapowekwa mahala pake, au sanamu za Nyerere na viongozi mashuhuri zinasujudiwa?Hapana, tatizo kuchonga sanamu yake na kuisujudia
Is not about nani anafuata au hafuati zipi..!! Hizo hizo unazotakiwa kuzifuata au kuzitekeleza, una demokrasia nazo..!!???Unaweza kuweka Amri zote 10 za Mungu hapa, unioneshe mnaiyoifuata namimi nikuoneshe msizozifuata?
Ninyi mna Amri kumi za kwenye Katekisimo kama KKKT tu
Hongera kwake
Kama hujui basi halikuhusu, jali na kuzingatia ya kwako tu, mind your own business, period!Sasa sijui huyo Mama Maria nae anaongozwa na nani ,,,kama na yeye anaombwa amuongoze mtu mzima Jovitus!!
Sijasema demokrasia haifai kwa 100% ila siyo kila mahala inahitajika, Mungu aliweka amri 10 hakuhitaji kutoa demokrasia, Zamani walitawaliwa na wafalme na Mungu alibariki.Pia sidhani kama unaelewa vizuri taratibu za kumpata mrithi wa kiti cha Petro, Sio kura na demokrasia pekee kama unavyodhani ni utaratibu unaohusisha mambo mengi kiimani.Kama Demokrasia ni Upuuzi kwanini yeye Papa anapigiwa kura kidemokrasia
Mbona unajikanyaga?
Zile ni "Amri" yaani OrderSijasema demokrasia haifai kwa 100% ila siyo kila mahala inahitajika, Mungu aliweka amri 10 hakuhitaji kutoa demokrasia, Zamani walitawaliwa na wafalme na Mungu alibariki.Pia sidhani kama unaelewa vizuri taratibu za kumpata mrithi wa kiti cha Petro, Sio kura na demokrasia pekee kama unavyodhani ni utaratibu unaohusisha mambo mengi kiimani.
Unajua Tofauti ya Amri na Uongozi wa kidemokrasia?Is not about nani anafuata au hafuati zipi..!! Hizo hizo unazotakiwa kuzifuata au kuzitekeleza, una demokrasia nazo..!!???
Usimfananishe Mama wa Mungu na Nyerere au fimbo ya Bungeni[emoji1787]Kwa hiyo fimbo inayobebwa bungeni / Siwa inapoinamiwa pale inapowekwa mahala pake, au sanamu za Nyerere na viongozi mashuhuri zinasujudiwa?
Mama mlezi au mzazi?Maria hachukui nafasi ya yeyote, Ila haimaanishi na yeye hana nafasi! Yeye ni mama mlezi wa Yesu.