Baba mtoto kanitelekeza

Baba mtoto kanitelekeza

Single mothers mara nyingi wao ndo wazinguaji,hawawezi kutulia, inawezekana huo ulevi unatokana pia na wewe kumpa stress huyo jamaa.

Maisha ni uvumilivu hamna aliyekamilika, heri hata shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua.

By the way maamuzi ni yako mwanaume hawezi kubadilika tu na kufukuzia wanawake wengine bila kuwa kuna mapungufu aliona kwako au ameona we siyo mtu sahihi hata wa kuzaa naye ndo maana hatua ya mwanzo alikuambia itoe.
Sasa mbona unamkaripia hivyo mke wangu chaukimya , basi tumwite na jamaa yake ili tusikie kutoka pande zote mbili
 
Butin your description you did a judging a book by its cover and now umetendwa.

Usimtumainiye Mwanaume sana. Stand your ground
Wewe ulinijudge Kwa maandishi.
Mimi simtumainii yeye na wala sikuwahi kumtumainia yeye. Hayo yaliyotokea ni kawaida sana.
 
Wewe ulinijudge Kwa maandishi.
Mimi simtumainii yeye na wala sikuwahi kumtumainia yeye. Hayo yaliyotokea ni kawaida sana.
Ni kweli nimekujudge kwa maandishi kwani wewe ndo uliandika mkeka labda useme ulitunga story kufurahisha genge.

Unapoandika tegemea kukosolewa ama kusifiea. Mimi nasema umechemsha. Na ukidhani kutafunana kabla ya ndoa ni tunu basi ndo umechemka bigtime.

Nakemea vikali ngono kabla ya ndoa
 
Ni kweli nimekujudge kwa maandishi kwani wewe ndo uliandika mkeka labda useme ulitunga story kufurahisha genge.

Unapoandika tegemea kukosolewa ama kusifiea. Mimi nasema umechemsha. Na ukidhani kutafunana kabla ya ndoa ni tunu basi ndo umechemka bigtime.

Nakemea vikali ngono kabla ya ndoa
No Sina mpango wa kusifiwa but it seems unaongea mradi or otherwise ungeelewa point yangu.
Mtazamo wako kuwa nimekosea au nimepata, it doesn't matter kwangu. Wala sikukukosoa kwa mtazamo wako hasi. My point was wewe kujudge. Hujui mbeleni kwangu kuna nini na kwanini haya yametokea.
Siogopi challenge yoyote ninayokutana nayo sababu kwangu naichukulia ni +situation.
So go ahead 😊
 
No Sina mpango wa kusifiwa but it seems unaongea mradi or otherwise ungeelewa point yangu.
Mtazamo wako kuwa nimekosea au nimepata, it doesn't matter kwangu. Wala sikukukosoa kwa mtazamo wako hasi. My point was wewe kujudge. Hujui mbeleni kwangu kuna nini na kwanini haya yametokea.
Siogopi challenge yoyote ninayokutana nayo sababu kwangu naichukulia ni +situation.
So go ahead 😊
Nimeshakujibu kwenye previous posts
 
Nilidhani unalamika kumbe una raha zote. Siku hizi mwanamke kulalamika kuhusu mapenzi ni marufuku. Big up!
 
Nilidhani unalamika kumbe una raha zote. Siku hizi mwanamke kulalamika kuhusu mapenzi ni marufuku. Big up!
😊 Silalamiki dear. Nimependa kushare na baadhi wanaopitia situation kama hizi, wasihisi unaongea au kuwa watumwa na kufanya Yale mioyo yao inakataa.
 
Back
Top Bottom