mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Niliwahi kuwa katika mahusiano ya namna kama hiyo ilikuwa ni shida kubwa sana. Meanzoni mambo yalikuwa mazuri show inapigwa hadi Binti akikaa anacheka tu mwenyewe, ukimuuliza anakwambia nimekumbuka tu venye unanifanya vizuri hadi huku chini kunatamani kuongee kukushukuru.
Tatizo lake ni kauli mbovu na lugha chafu. Akikasirika hachagui neno la kukuambia anaropoka tu, ile hali ilikuwa inanipa tabu sana kuweza kuivumilia. Nilifanya kila namna kumueleza lakini alirudia tabia ile mara kwa mara.
Mwili na hisia zangu kwake vikapoa kama barafu, nikakosa stamina nikapoteza hamu ya kuwa naye mwishowe akawa ananituhumu kuwa namsaliti. Nilibwaga manyanga nikatembea nikasonga mbele.
Akina mama chungeni sana kauli zenu kwa waume zenu zinakata sana stimu kauli chafu
Tatizo lake ni kauli mbovu na lugha chafu. Akikasirika hachagui neno la kukuambia anaropoka tu, ile hali ilikuwa inanipa tabu sana kuweza kuivumilia. Nilifanya kila namna kumueleza lakini alirudia tabia ile mara kwa mara.
Mwili na hisia zangu kwake vikapoa kama barafu, nikakosa stamina nikapoteza hamu ya kuwa naye mwishowe akawa ananituhumu kuwa namsaliti. Nilibwaga manyanga nikatembea nikasonga mbele.
Akina mama chungeni sana kauli zenu kwa waume zenu zinakata sana stimu kauli chafu