Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweliNimejaribu kukaa nafasi ya huyo dada nimehisi uchungu mno😓
Kwa,mwendo huo angekuja kuwa mlevi hoy hoyaUsinge muacha mkuu dawa ya hiyo hali ni K -VANT ndogo alafu unasuuzia na kilimanjaro tatu baridiii
Baada hapo hakuna tena swala la cjui simpendi cjui sina hisia ni mwendo wa kuchakata tuuu
Tatizo la kisaikolojia huwa Lina sababu zake na mara hizo sababu zinapoondoka basi tatizo nalo hutoka.....sababu nilikuwa na mke nisiye mpenda ndio ikapelekea matatizo hayo Kwa maana hisia zangu zilifubaa au Kwisha kabisa....na hii hata Kwa wanandoa ambao kutwa kucha ni ugomvi Tu hupatwa na tatizo hili..lkn hawa kwakuwa wanapendana ni rahisi kurekebisha hiyo Hali....lkn kwangu Mimi sikumpenda mke wangu kwahiyo huwezi lazimisha kumpenda mtu hata kidogo....nimepona bossKama ni tatizo la kisaikolojia litaendelea kujitokeza hata huko mbeleni, fikiria kujitafutia tiba ya kisaikolojia kuliko kufikiria kutoka taraka. Agano la ndoa ni kubwa sana, ukiamua kuingia fanya kila linalowezekana kubakia, oa acha oa tena sio mtindo wa maisha wa mtu mstaarabu kama wewe shekhe, hilo ni kuwaachia wanyama na binadam wa aina hiyo, changamoto za ndoa ni nyingi hiyo yako ikiwa mojawapo, kila linalowezekana kufanyika lazima lifanyike ndoa iwe salama na hakuna lisilowezekana chini ya jua.
Kwa mwanaume hisia zikitumika saana kuliko akili ni sawa na chuma kwenye maji kitazama tu, ni mpaka kifanyiwe maujanja kiwe meli mdio pona pona yake.Mkuu ertugrul nae ana moyo....kuna jamaa mmoja ameongea point Sana kuwa....ukiona madhaifu ya mwenzako ni mazito kuyabeba basi ujue,Hilo sio chaguo lako la moyo na akili....nakubaliana na point yake
Kwenye mapenzi panatumika akili na Moyo mkuu
Mkuu EINSTEIN112 nafarijika Sana kupata maoni yenu nyie ambao mnajua hii ishu ilivyo....shukraniHii ishu kuwa wengi hasa wanaume tunapitia, watakaokushangaa bado hawapo kwenye mahusiano, mdada mwingine mmesex mara mbili anakushikia mimba,anaanza kufosi ndoa.
Basi labda nimejichanganya mkuu....nilimaanisha Tabia na mwonekano lazima viende sambamba....shukrani Kwa kuniweka sawaHivyo ndivyo ilivyo lakini wewe hiyo comment niliyoquote umeandika kua unapenda zaidi tabia kuliko umbo/sura ya mwanamke.
Sasa ndo hapo penye walakin, ikiwa unapenda ziaid tabia na mkeo alikua na tabia njema kwanini hukumpenda badala yale ukaenda kuchepuka na mtu unayedhani ana tabia mbovu kwasababu ya kazi yake ya mapokezi hospotalini.
Sawa kila kitu na wakati wake mkuu..ukifika utapenda Tu so relax kakaSio naogopa kupenda, sijui kupenda.
Kila nnaekua nae namuona wa kawaida na wa kupita tu. Sina ile ya kua na malengo ya muda mreefu coz mpango wa ndoa kwa sasa upo kando.
Sawa Kaka huo ni mtazamo wako na maoni yako....hivyo siwezi kukupinga mkuuKwa mwanaume hisia zikitumika saana kuliko akili ni sawa na chuma kwenye maji kitazama tu, ni mpaka kifanyiwe maujanja kiwe meli mdio pona pona yake.
Jitahidi kuitumia akili zaidi kuliko hisia kaka, sisemi umekosea saana sababu sijaona maelezo ya kina kuhusu huyu mpya, ila kwa maelezo yako wa zamani ndio alikuwa "MKE MKEO"
ukihesabu ulichobakiza pasina kuhesabu ulichopoteza, huwezi kuona hasara.
Hii ni mbinu ya dharura kuokoa jahazi kwanza huku ukifikilia nama gani ya kusolve..Kwa,mwendo huo angekuja kuwa mlevi hoy hoya
Unajua mwanaume anapenda mwanamke mwenye amsha amsha na asil ya umalaya kiasi yaan kwa bedi uwe na manjonjo haswaaNimejisikia vibaya sana. Yani wanawake wema hawanaga bahati. Itafika mahali binti yangu nitamwambia mwanangu bora uwe sister tu.
Makurumbembe ndo yanapata wanaume wema. Wanawake wema wanaishia kuachika tena unakuta hana baya. Mkuu jua tu nimejisikia vibaya.
Pole SanaNimejisikia vibaya sana. Yani wanawake wema hawanaga bahati. Itafika mahali binti yangu nitamwambia mwanangu bora uwe sister tu.
Makurumbembe ndo yanapata wanaume wema. Wanawake wema wanaishia kuachika tena unakuta hana baya. Mkuu jua tu nimejisikia vibaya.
Lakini kuna wanaume wakiona mwanamke mjuzi wanajua huyu kicheche ndo na wao hawatulii. Tena si nyie mnaolalamika siku hizi wanawake ni malaya mnawaacha ama??Unajua mwanaume anapenda mwanamke mwenye amsha amsha na asil ya umalaya kiasi yaan kwa bedi uwe na manjonjo haswaa
Wanawake wema wengi wanakasoro ya kitandani wavivu hawapend kujifunza mambo ya kitandani
Wao wako bize na mapishi malezi usafi na heshima ndio maana wakiachika watu wengi husikitika Sana kwan kitabia Kila mtu amemkubali
Yeye Hana makosa mkuu...Mimi ndio mwenye shida ya kutompendaUmeharibu kwenye hitimisho,huyo bibie hakuwa na kosa kwa mujibu wa maelezo yako
Sawa mkuu bahati nzuri unajua nini ambacho huenda kikakujia mbele yako....Ila maadam umelijua Hilo basi utakuwa vile vile umejitayarisha kisaikolojia kudili nalo....kila la kheri mkuuMimi binafsi najiingiza kwenye kitanzi hiki hiki huku najiona yani kitabia yupo vizur sana lakinib simuelew kabsaa mwenzangu na ananipenda sanaa. Na vile nilmkuta kajitunza but sina hisia nae kabsa namuonyesha kila dalili but yeye kangangana nwanzo mwisho.. lakini mimi nahisi nitakuja kumpenda mbeleni ni mtu mchapakaz na ana vision form iv leaver fulani mwenye akili za kawaida.. appearance ni wa kawaida but sina hisia nae kabsaa.. mfano sijawahi hata kumtumia hela ila za kwake hua natumia sana 2 na zawadi hua ananipa sana tu... naona nikomae tu labda badae nitakuja kujutia mana naeza kuja kukutana na vichaa tu nakaa tu kusubiria kama nikija kushindwa basi nitajikaza