Baba " mwanangu upo tayari taratibu za ndoa ziendelee'' @Etugrul bey" ndio baba''

Ipo siku utapata kauli nzuri ila 0 chemistry😅
Maisha haya
 
Mkataa pema.....
 
Pole yake mke wa kwanza,mi mtu akishanipenda kwakweli nampenda automatic na kinyume chake ni kweli,maisha yangu yamekuwa mazuri kwa sababu hiyo
 
Eti umejiridhisha anakupenda
Wewee moyo wa mtu kichaka subiria show
 
Ni Kama Vile sikuelewielewi..

Yaani ulimuoa mara ya kwanza, ukawa hujampenda.. mkaachana.

Sasa hivi unataka kumuoa kama mke wa Pili, na kwa maelezo yako bado hujampenda.

Mbona kama unataka kurudia kosa lilelile.
 
pole yake mke wa kwanza,mi mtu akishanipenda kwakweli nampenda automatic na kinyume chake ni kweli,maisha yangu yamekuwa mazuri kwa sababu hiyo
Samahani Kwanza unaongea kama me au ke...usinielewe vibaya tafadhali
 
Ni Kama Vile sikuelewielewi..

Yaani ulimuoa mara ya kwanza, ukawa hujampenda.. mkaachana.

Sasa hivi unataka kumuoa kama mke wa Pili, na kwa maelezo yako bado hujampenda.

Mbona kama unataka kurudia kosa lilelile.
Kama ikatokea kumrudia sasa HV ni Kwa AJILI ya malezi ya watoto na hata hivyo hilo Jambo kutokea ni asilimia ndogo sana....na let's say Kwa mfano limetokea nitakuwa na utulivu WA nafsi Kwa mke mwingine,kwahiyo hata kama kwake nikikutana naye mara chache chache itakuwa sio mbaya....ishu ni kwamba sitalazimika kuzini ktk mazingira haya.

Lkn ukifikiria kiundani ni mtihani kumrudia .kwasababu je kipindi hiki ambacho nimemuacha je kama amempata mwamba anaye mkuna vizur unafikir akiwa ndani ya ndoa.....hawezi kuchepuka kwakuwa kumbuka Mimi tayar sitamtafuna kihivyoo kwasababu sina appetite nae Sana!
 
Eti umejiridhisha anakupenda
Wewee moyo wa mtu kichaka subiria show
Kaka sijisifii nipo vzr Sana ktk kumsoma mtu vizur ....huwa sikurupuki, wavulana ndio hukurupuka Ila big boys huwa Makini sana
 
Hapa naongelea uhalisia sababu uhalisia upo. Sasa unapoleta habari ambazo hazina uhalisia tunazirudisha katika uhalisia ambao ndiyo mzani wetu.
Kaka labda nikusaidie Kitu kimoja huenda umekimiss kwenye story yangu....kifupi ingetakiwa nisimuoe kabisa huyo mwanamke nilishajua simpendi....Ila kosa nililolifanya ni kutositisha ndoa isifungwe...na hii kutokana na je ningewaambia nini ndugu zangu na mke mtarajiwa tena dakika za mwisho?

Yaani hata kuishi naye hiyo miaka Saba nimejitahidi Sana tena Sana.....msio elewa haya mazingira mnalaumu Tu....kuna watu wanapendana haswaa na wamedumu miezi mitatu Tu! VP khs Mimi ambaye sikumpenda kabisa?

Ndio maana nimetoa hii story ili watarajiwa wajifunze wasijeingia ktk mazingira kama niliyo ingia mimi kwakuwa yanahuzunisha sana
 
Sawa kabisa kingunebe ....tangu Jana nilihisi huu ni mwandiko wa kike ingawa sikuwa na uhakika💯......kama ni hivyo upo sahihi kabisa.

Wanawake huwa wanapenda kupitia kusikia ndio asili Yao au Kwa maana nyingine mwanamke akionyeshwa upendo nae automatical anapenda...ndio maana si ajabu kukuta mwanamke anapenda sex voice ya mwanaume hata hajamuona....au ukachat nae Kwa maneno mazuri mazuri akajikuta ana fall in love mazima!

Lkn kinyume chake mwanaume anapenda kwa kuona,yaani tunamuona mwanamke Kwanza ndio tunampenda....hlf mambo mengine yanafuatia baadae

Kwahiyo nakubaliana na wewe kabisa unavyosema mtu akikupenda automatical unampenda....

Halafu dada yangu weka basi hata avatar ya kike hapo bhana utawafanya watu washindwe hata kuja kukusalimia pm wakijua ni me 😂😂😂😂
 
Mimi imenitokea bahati Mwanamke ana akili mpaka kwenye dini hayuko vibaya kaniomba nimuoe Mimi nimechomoa sababu sina hisia nae kabisa tokea enzi tunasoma pamoja nikahisi hata tukiwa kwenye ndoa sitokuwa na appetite nae .Kama najiona hata show nisingepiga vyema yangenikuta kama yako kuonekana dhaifu na nisengekuwa mtu romantic kwake.

Umejitahidi kudumu katika ndoa kwa miaka hiyo yote, tujitahidi kuepuka zinaa na tusiwe tunaweka wazi mambo yetu maovu ya nyuma isipokuwa ikipatikana haja na kiasi cha haja , mwisho tuwe wenye kutubia mara kwa mara na kuomba thabati .

Allaah atuongoze ,atuhiadhi na atujaalie mwisho mwema aamiyn.
 
Kweli kabisa hata ,Mimi In shaa Allaah nitatafuta Mzuri(anayanivutia) kati ya wale Wenye Tabia njema , kama uwezekano wa kupata mzuri na Wenye Tabia njema upo why mtu ujitese eti tabia kwanza ? nakuunga mkono kauli yako kuwa "Lazima kuwe na mvuto kwanza"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…