Baba " mwanangu upo tayari taratibu za ndoa ziendelee'' @Etugrul bey" ndio baba''

Baba " mwanangu upo tayari taratibu za ndoa ziendelee'' @Etugrul bey" ndio baba''

Mimi imenitokea bahati Mwanamke ana akili mpaka kwenye dini hayuko vibaya kaniomba nimuoe Mimi nimechomoa sababu sina hisia nae kabisa tokea enzi tunasoma pamoja nikahisi hata tukiwa kwenye ndoa sitokuwa na appetite nae .Kama najiona hata show nisingepiga vyema yangenikuta kama yako kuonekana dhaifu na nisengekuwa mtu romantic kwake.

Umejitahidi kudumu katika ndoa kwa miaka hiyo yote, tujitahidi kuepuka zinaa na tusiwe tunaweka wazi mambo yetu maovu ya nyuma isipokuwa ikipatikana haja na kiasi cha haja , mwisho tuwe wenye kutubia mara kwa mara na kuomba thabati .

Allaah atuongoze ,atuhiadhi na atujaalie mwisho mwema aamiyn.
Amiin thuma amiin ndugu yangu adriz
 
Back
Top Bottom