Baba mzazi hataki binti yake aolewe

Baba mzazi hataki binti yake aolewe

Katika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.

Hila huyo binti anamiaka 36 hivi Sasa. Na Ni mwalimu wa chekechekea. Shida Ni kwamba Baba mzazi hataki binti yake aolewe kabisa. Binti akipanda mtu akienda kumwambia Baba yake , Baba anajibu "sitaki kujua kuhusu hayo Mambo na usiniambie Tena hebu toka hapa" kamfanyia hivi Mara kadhaa tuu Hadi binti analia inafika kipindi analia.

Miaka Kama 4 Nyuma alitengeneza mahusiano, na kijana mmoja kanisa huyo kijana Kaka Yale tunasalinae hapa hapa kanisani na Kaka Yale ameoa.

Binti na kijana walipenda sana ikafika mpaka kipindi kanisa Zima wakajua mapaka baba yake, japo Baba yake hakusema chochote, binti alikuwa anaenda mapaka kwenye geto la jamaa kufanya usafi na kumsaidia Baadhi ya kazi nyumbani kwake, na ikafika hatua wakakubaliana wafunge ndoa. Shida ikafika namna ya kwenda kwa mzee wake.

Wakaamua kwenda kwa uongozi wa kanisa kuomba waandae utaratibu wa kwenda kwa Baba yake KUPITIA Mwamvuli wa kanisa. Kanisa likaamua kuchugua wazee wakanisa Kama 3 wanaoeshimika kanisani waende kwa mzee. Kijana akandaa barua ya posa na wazee wakaenda.

Walipo fika nyumbani kwa wakakalibishwa vizuri sana na vinywaji juu. Wakaongea na kueleza kilicho wapeleka, mzee akawajibu kuwa "Nani aliyewahambia kuwa Mimi ninaoza binti na sijatangaza binti yangu alitewe posa, sitaki kusikia kuhusu haya Mambo hebu tokeni hapa sitaki kuwaona tokeni tokeni" wazee wabusara wakandoka na kurudisha taarifa.

Binti yule alivyorudi home mzee wake hakusema chochote alinyamaza tuu mapaka leo , na binti mara nyingi akimwambia Baba nimepata mchumba mzee hapana sitaki kusika.

Washiriki wa kanisa walisema Sana juu ya iyo ishu , mpaka shemeji Yale "mke wa Kaka yake" alilalamika Sana na akasema Wenda akawa anamtaka au anatembea na binti yake.

Kijana alipata mchuba mwingine na akafunga ndoa kanisani na ukumbi nje ya kanisa na ilikuwa Ni mzuri Sana watu walikula na walifurahi , yule binti hakuja kwenye ndoa.

Hivi sababu gani inaweza kupelekea Baba mzazi kukataa binti Yale asiolewe shida Ni Nini wakuu.
Karibuni......
Hebu tuanza taratibu, je mzee ameoa?
 
Sio lazima Kila kitu amshirikishe Baba Yake, kwa umri wake si angehama akaishi kwake? Tuna complicate issues tu sometimes
Hao bado wana umri wa early 20s. Muda ni mwalimu mzuri.
 
Miaka 36 bado anasubiri hadi mzee wake (baba yake) atoe ruhusa ya kuolewa!!? Peleka kitumbua kwa mpenzi wake kichakatwe ,beba mimba na moja kwa moja jisogeze kwa mwenza wako muendelezo wa kuchakatana na kukuzia kiumbe wakati huo maisha yanasonga mbele.

Duniani hakuna jipya ujue ohoooo!
 
Sheria ya ndoa imebainisha kuwa vitu vitakavyo fanya ndoa isifungwe ni pamoja na wazazi au mzazi Kama hajalizia ndoa iyo kufungwa kwaio ili ndoa ifungwe ni lazima wazazi warizie kufungwa kwaio ndoa
Sheria ya wapi hii?
Au umetunga?

Kuna ndoa nyingi sana zinafungwa bila kuwepo wazazi...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Tena sababu hiyo pengine ndiyo iliyosababisha Baba kuachana na Mkewe baada ya Mama kugundua hiyo tta
Soma vizuri mkuu,
Mama wa huyo Dada alishafariki,
Kwa hiyo mzee alioa mwanamke mwingine ambaye anaishi na mpaka Sasa.
 
Sheria ya wapi hii?
Au umetunga?

Kuna ndoa nyingi sana zinafungwa bila kuwepo wazazi...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ninavyofahamu Mimi mkuu Baba wa binti akiwepo hai ndie anayetoa kibali kwamba mwanae ndo aoelewe. Na yeye ndio anayeoza, Kama kashafariki anachaguliwa mtoto wa kiume katika familia, mbali na hapo mnaenda kwa Baba mkubwa au Mdogo.
Sasa hao wanaofunga ndoa bila upande mmoja kutokuwepo , sijui wao maana ya kuoa wanaielewaje.
 
In short mzee ni mchawi.
Kamfunga binti yake na anamkula either binti anajua au hajui kuwa analiwa na baba yake.
Ningekuwa hapo ningemsaidia huyo binti
Mwisho wa siku binti atakuwa chizi
 
Sheria ya ndoa imebainisha kuwa vitu vitakavyo fanya ndoa isifungwe ni pamoja na wazazi au mzazi Kama hajalizia ndoa iyo kufungwa kwaio ili ndoa ifungwe ni lazima wazazi warizie kufungwa kwaio ndoa
Mimi nimefunga ndoa kwa DC Ilala, hakuna sehemu wameniuliza kuhusu mzazi.
Mashahidi 2 tu biashara imeisha.
 
In short mzee ni mchawi.
Kamfunfa binti yake na anamkula either binti anajua au hajui kuwa analiwa na baba yake.
Ningekua hapo ningemsaidia huyo binti
Mwisho wa siku binti atakuwa chizi
Ungemsaidiaje huyo binti? weka hapa huo msaada wako huenda ukamfikia huyo binti.
 
Sio lazima Kila kitu amshirikishe Baba Yake, kwa umri wake si angehama akaishi kwake? Tuna complicate issues tu sometimes
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiih
 
Back
Top Bottom