Baba niruhusu nizae

Baba niruhusu nizae

Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
naomba namba zake ba mkwe... ila asiwe na kamdomo wala Gubu
 
Kasongo ye ye ee
Mobali na ngai

Kasongo nga nawe oo

Zonga libala ee

Kasongo yo yo, mobali na ngai

Kasongo nga nawe oo

Zonga libala ee

Nga na ndako Kasongo

miso na nzela

Soki okozonga dia ee

yebisa nga ye ee

Libala na ndako Kasongo

batunaka ngai

Tata azali wapi ee

naloba nini ee
mikolo mileki mingi
 
Grahams ERoni Wazee wa hovyo mnaongezeka jukwaani🤣🤣🤣
Umefanya nitafute miwani yangu ya macho harakaharaka nikajua umenitumia Babu yako Salio la sikukuu 😜

Kuna wakati bora kuchukua uamuzi wa namna hiyo

Kwa maisha ya sasa, Vijana wengi wa miaka kati 23-36 wengi hawapo tayari Kwa majukumu ya kuwa na familia

Walio wengi ni MBA(married but available) ndiyo akina sisi na Mzee mwenzangu ERoni
 
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Kama anafanya kazi hapo kwako anafanya nini. Mwambie aishi kwake ndio ataelewa. Vinginevyo tutakushangaa. Huko atajifunza maisha yalivyo. Hata hayo maombi si ya kawaida. NASISITIZA APANGE NYUMBA AISHI HUKO NA HUYO BWANA WAKE. PAMBAFU ZAKE. AMEKUCHOKA
 
Umefanya nitafute miwani yangu ya macho harakaharaka nikajua umenitumia Babu yako Salio la sikukuu 😜

Kuna wakati bora kuchukua uamuzi wa namna hiyo

Kwa maisha ya sasa, Vijana wengi wa miaka kati 23-36 wengi hawapo tayari Kwa majukumu ya kuwa na familia

Walio wengi ni MBA(married but available) ndiyo akina sisi na Mzee mwenzangu ERoni
Hiyo MBA nimeikubali mzee mwenzangu🤣🤣🤣
 
Kumbe tupo wengi.story yake inafanana na yangu kwa asilimia kubwa. mimi nilipofikisha umri huo nikaamua kuzaa bila ndoa. sasa hivi ni 36 na katoto kangu kana miaka miwili. nina mfurahia sana mtoto wangu sasa napambana kwa ajili yake. na nina amani mambo ya ndoa nilishayaweka kwenye dampo la taka sasa ni kupambana tu na maisha. unaweza subiri ndoa mwisho wa siku umri ukakuacha kabisa ndoa ukakosa na mtoto ukakosa vilevile.


Kwaiyo umeamua kuzini hadi siku ya Mwisho ya MAISHA ya hapa duniani?


Na unasemaje unamfurahia MTOTO wakati huyo MTOTO sio wako 100% , hisa zako kwa mtoto wewe kama mama ni 50% na zilizobaki ni za Baba wa MTOTO Kwaiyo hakuna mwenye hati miliki ya MTOTO kati ya Baba na mama duniani


Huyo MTOTO kama alivyotoka wakati unamzaa NDIVYO atakavyozidi kutoka kwenda mbali na wewe kadri siku zinavyokwenda na itafika wakati hata kuingia chumbani kwake itabidi upige hodi 😁, kua makini Sana B'se Watoto wenye wazazi kama nyie huja kuwasababishia wazazi wao matatizo makubwa Sana kwa mitazamo ambayo mzazi ameijenga hasa hi inatokea kwa akina MAMA


MTOTO/Watoto Ndio Danger zone ya wazazi/mzazi, chunguza Dunia ya sasa utakuta wazazi wengi wamepigwa na stroke kwasababu ya Matendo ya Watoto wao Why? B'SE walicheza na mahali ilipo HATARI yao
 
haha mmoja ananitosha madam nishaitwa mama inatosha. napambana kumtengenezea huyu mmoja kesho yake.
Dadakidoti, ongeza mtoto wa pili mapema iwezekanavyo: iwe kupitia kwa huyo uliyezaa nae mtoto wa kwanza au pata Dume la Mbegu jingine kabla umri haujakutupa mkono!

Utakuja kuukumbuka ushauri wangu!
 
Kama anafanya kazi hapo kwako anafanya nini. Mwambie aishi kwake ndio ataelewa. Vinginevyo tutakushangaa. Huko atajifunza maisha yalivyo. Hata hayo maombi si ya kawaida. NASISITIZA APANGE NYUMBA AISHI HUKO NA HUYO BWANA WAKE. PAMBAFU ZAKE. AMEKUCHOKA
uwe unasoma vizuri mtoto yupo dodoma mie siishi nae yupo job kwake
 
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Ndio ujue wanaume hawajali mambo ya elimu nankipato cha mwanamke.
Hapa ni tako titi na sura tuu. Kama huna watu wanappza haja zao wanasepa
 
Kumbe tupo wengi.story yake inafanana na yangu kwa asilimia kubwa. mimi nilipofikisha umri huo nikaamua kuzaa bila ndoa. sasa hivi ni 36 na katoto kangu kana miaka miwili. nina mfurahia sana mtoto wangu sasa napambana kwa ajili yake. na nina amani mambo ya ndoa nilishayaweka kwenye dampo la taka sasa ni kupambana tu na maisha. unaweza subiri ndoa mwisho wa siku umri ukakuacha kabisa ndoa ukakosa na mtoto ukakosa vilevile.
Kha! Kwa hiyo mnawaombaga hao jamaa wakojolee ndani ama mnawakaba kabali
 
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza


Ulifanya makosa kumkubali Mkuu NDOA haikimbiliwi ni jambo sensitive Sana, wangapi wameoa na kuolewa na hawakumaliza hata mwaka katika NDOA? Kwaiyo Yeye kuchelewa kuolewa sio tatizo ni MUNGU anamuepusha na matapeli kama hao wame za watu means kuna mtu SAHIHI kwake yupo ni swala la muda SAHIHI kufika tu na kila kitu kitakaa sawa


Right things happen For right peoples at right time and right place 👉tengua lidhaa yako Mkuu kwa MTOTO wako ili umuokoe na kuzimu


NB: mazezi ya kuzimu tunaanza kuyafanya hapa hapa duniani, na mazoezi ya pepo tunaanza kuyafanya hapa hapa


Heaven is just a presence peace, and hell is just a lack of peace ✍️



Hakuna single mama mwenye AMANI 📌
 
Ulifanya makosa kumkubali Mkuu NDOA haikimbiliwi ni jambo sensitive Sana, wangapi wameoa na kuolewa na hawakumaliza hata mwaka katika NDOA? Kwaiyo Yeye kuchelewa kuolewa sio tatizo ni MUNGU anamuepusha na matapeli kama hao wame za watu means kuna mtu SAHIHI kwake yupo ni swala la muda SAHIHI kufika tu na kila kitu kitakaa sawa


Right things happen For right peoples at right time and right place 👉tengua lidhaa yako Mkuu kwa MTOTO wako ili umuokoe na kuzimu


NB: mazezi ya kuzimu tunaanza kuyafanya hapa hapa duniani, na mazoezi ya pepo tunaanza kuyafanya hapa hapa


Heaven is just a presence peace, and hell is just a lack of peace ✍️



Hakuna single mama mwenye AMANI 📌
Kashindwa kuvumilia,anataka watoto ana 34 ana miaka michache mno ya kuzaa,otherwise hatazaa kabisa,nimemuelewa,ninemruhusu,sikuwa na njia nyingine
 
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Simulizi yako ina uwalakini.Mtoto uliyemlea tangu akiwa na miaka mitatu(three) na anakuita baba huwezi kumuita mdada.Halafu neno "mdada" halipo kwenye kiswahili fasaha labda cha magumashi.Huyo unatakiwa umuite binti yako na kamwe si vinginevyo. Pili,wewe unaanzaje kujua mambo ya ndani ya binti yako hadi yahusuyo unyumba wake?
 
Back
Top Bottom